wastani kwa idadi
JF-Expert Member
- Jun 28, 2024
- 503
- 1,432
Nimetoka zangu kazini nikaona niende kununua mahitaji kadhaa sokoni.
Ghafla nikaona tunaambiwa na vijana jamani mpishe hii njia kidogo iwe wazi kwa muda, nilidhani labda kuna emergency nikasimama.
Ghafla wakaingia vijana wawili kumbe ni ugomvi.
Moja wao kavaa vizuri tu sikuweza kumdhania, akaanza kumuongelesha mwenzie huniwezi, hata hajmaliza neno akarushiwa ngumi nzito sana akadondoka chini, hapo alipigwa kipigo cha mbwa koko ikabidi wawaachanishe tu.
kijana kaambulia aibu kubwa mbele ya hadhara, kaondoka uso chini kwa kosa kubwa alilofanya la kuongea kwenye street fight.
Kwa bahati nzuri hakuna silaha zilizotumika, vijana wamemalizana kiume kwa kuzichapa kavu.
Ghafla nikaona tunaambiwa na vijana jamani mpishe hii njia kidogo iwe wazi kwa muda, nilidhani labda kuna emergency nikasimama.
Ghafla wakaingia vijana wawili kumbe ni ugomvi.
Moja wao kavaa vizuri tu sikuweza kumdhania, akaanza kumuongelesha mwenzie huniwezi, hata hajmaliza neno akarushiwa ngumi nzito sana akadondoka chini, hapo alipigwa kipigo cha mbwa koko ikabidi wawaachanishe tu.
kijana kaambulia aibu kubwa mbele ya hadhara, kaondoka uso chini kwa kosa kubwa alilofanya la kuongea kwenye street fight.
Kwa bahati nzuri hakuna silaha zilizotumika, vijana wamemalizana kiume kwa kuzichapa kavu.