Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
- Thread starter
- #81
jaribu tuone
Sijawahi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijawahi
Mh hii rangi ya mbwa😆😆 Khakhi inakaa poa sana mkuu, ukipata kadeti ya khakhi au Jeans khakhi iliyo tulia
👇👇
View attachment 3111482
Kuna suruwali ya pink nilikuchukulia kumbe bora nimpe mume mwenzio tu😅😅Haunivalishi nguo ya pink kmmk
Rangi ya njanomimi siwezi kuvaa nguo ya njano rangi ya njano hapana naona kama ni rangi ya wagogo hii 🤗 weww kwako ni ipi
wagogo ni watani zangu
Inategemea nguo ya wapi. Mfano nyeupe ikiwa shati navaa ila suruali nyeupe siwezi. Nyekundu kama shati ama gauni navaa ila kama ni p!chu marufuku. Rangi nazopenda kiujumla ni nyeusi, kijivu, pink, blue nyeusi, khaki etc.
Wewe mpage tu mwanaume kuvaa nguo za pink sio dalili nzuri hahaaKuna suruwali ya pink nilikuchukulia kumbe bora nimpe mume mwenzio tu😅😅
wagogo ndio rangi zaoNjano,kijani,orange na zote zenye kelele
za machoRangi ya njano
😅😅😅kwakweli ipo ki kike kike sana, mi sipendi chupi au bra nyekunduWewe mpage tu mwanaume kuvaa nguo za pink sio dalili nzuri hahaa
nga wa kienyeji😅😅😅kwakweli ipo ki kike kike sana, mi sipendi chupi au bra nyekundu
Yani zinaumiza na machoukivaa unakuwa kama mga
nga wa kienyeji
Nina boot moja ya play boy sema sijapiga pichaMkuu kumbe unazielewa boots pia 👏View attachment 3111494
my g nishamwambia ukija umevaa nyekundu yaani pichu nyekundu bra nyekundu sikukuli nitajua tu umekuja kunirogaYani zinaumiza na macho
😅😅😅 bora avae black,my g nishamwambia ukija umevaa nyekundu yaani pichu nyekundu bra nyekundu sikukuli nitajua tu umekuja kuniroga
Daaah huyu ni wewe? Kwahiyo sahivi uko wapi.....Pink kiujumla [Kasoro shati la pink - hili hua linakaa vizuri] Njano pure, kijani pure hata baadhi ya nyekundu pure sivai !!View attachment 3111469
😅😅😅 bora avae black,
wa watuDaaah huyu ni wewe? Kwahiyo sahivi uko wapi.....
Wasambaa pia zile zenye manyoka nyokaahaha
wagogo ndio rangi zao
Apokee simu yangu, namba inaishia 120..... Nimuulize kituushamtamani kijana
wa watu
Wasambaa pia zile zenye manyoka nyoka