X_INTELLIGENCE
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 10,400
- 14,339
sina muda wa kufua chupi navaa ikichafuka sana naitupa nanunua nyingine
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
A very good interview!![emoji28][emoji28][emoji28]Sawa dr
Lakini s kuna sanitary pads ?
Sky utaratibu wako ni mzuri ila ushauri wangu usipende kuanika ndani maana kuna uwezekano zikabaki na unyevu kwa muda mrefu na ukaja pata fungus.Kwa nyie watoto wa kike hakikisha inakauka kwa jua.Kuna wanaofuliwa na wapenzi wao, wake zao, waume zao (wa kwangu atafua ni kiwa mgonjwa labda). Unafua ukitoka kuoga, Jumamosi unafua na nguo zote chafu?
Mimi nimeweka kibeseni bafuni, zile nyeupe huwa ninaloweka na omo. Ninaanikia hukohuko bafuni nimenunua ile rail ya kuanikia nguo ni special kwa vyupi.
Kumbe we ni ke?Dah....Kumbe makomando tuko wengi ...😀😀😀😀
Dah ....commando ni commando tu...haina me wala ke....[emoji23] [emoji13] [emoji13] [emoji23] [emoji23]Kumbe we ni ke?
chupi zako nyeupe umesema unalowekea omo, je chupi zako nyeusi una utaratibu upi kwe kuzifua?Kuna wanaofuliwa na wapenzi wao, wake zao, waume zao (wa kwangu atafua ni kiwa mgonjwa labda). Unafua ukitoka kuoga, Jumamosi unafua na nguo zote chafu?
Mimi nimeweka kibeseni bafuni, zile nyeupe huwa ninaloweka na omo. Ninaanikia hukohuko bafuni nimenunua ile rail ya kuanikia nguo ni special kwa vyupi.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]tatizo la chupi kwa Mwanaume ukishaanza kukua... Sehemu za siri zitaanza kutokezea pembeni.
nyie zinawatoshea vizuri.
wewe inakutoshea?[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Mimi ni ke zinanitosha uzurwewe inakutoshea?
oouh.. hata kama ni ke.. bado maumbile yako ni nadogo.Mimi ni ke zinanitosha uzur
Hahahaa...[emoji3][emoji3][emoji3].Hivi kuna wanaume bado wanavaa chupi? msinione mshamba
naona kama ikishafika kwenye mapaja nitajihisi mwanamke.
Navaa kubwa inayonitoshaoouh.. hata kama ni ke.. bado maumbile yako ni nadogo.
aseeh bora hauvaiHahahaa...[emoji3][emoji3][emoji3].
Mimi hii kitu sijawahi kuvaaa eroo.
oouh.. wewe mjanjaNavaa kubwa inayonitosha
Kwanza ukivaa sijui mtu unajisikiaje [emoji3][emoji3].aseeh bora hauvai
Haha ila kwa wanaume si mshaur mtu avae chup kwanza zinajichora hasa kwenye suruali za vitambaa...unakuta mtu kavaa suti halaf akigeuka unaona vimistari vya chupi kwenye Mata*koouh.. wewe mjanja