Daby
JF-Expert Member
- Oct 26, 2014
- 33,894
- 76,810
ndiyo maana nikawa najiuliza hivi unapovaa chupi imefika mapajani unajihisije kweli!Kwanza ukivaa sijui mtu unajisikiaje [emoji3][emoji3].
Mimi nimezoea kuiona kwenye misabwanda tuu bhana..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ndiyo maana nikawa najiuliza hivi unapovaa chupi imefika mapajani unajihisije kweli!Kwanza ukivaa sijui mtu unajisikiaje [emoji3][emoji3].
Mimi nimezoea kuiona kwenye misabwanda tuu bhana..
duuh.... na kwenye kuivaa...Haha ila kwa wanaume si mshaur mtu avae chup kwanza zinajichora hasa kwenye suruali za vitambaa...unakuta mtu kavaa suti halaf akigeuka unaona vimistari vya chupi kwenye Mata*k
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]duuh.... na kwenye kuivaa...
unajua udumbukizaji wa chupi ni tofauti na wa boxer. chupi inahitaji ujitwisttwist kidogo izame...
sasa sipatii picha Mwanaume akiwa anafanya hivyo.
Vyupi inapaswa vianikwe juani vikauke kwa jua na kupigwa pasi[emoji1]Kuna wanaofuliwa na wapenzi wao, wake zao, waume zao (wa kwangu atafua ni kiwa mgonjwa labda). Unafua ukitoka kuoga, Jumamosi unafua na nguo zote chafu?
Mimi nimeweka kibeseni bafuni, zile nyeupe huwa ninaloweka na omo. Ninaanikia hukohuko bafuni nimenunua ile rail ya kuanikia nguo ni special kwa vyupi.
ndo mana mnaugua sana UTI,anika chupi juani inasaidia kuua bacteriaKuna wanaofuliwa na wapenzi wao, wake zao, waume zao (wa kwangu atafua ni kiwa mgonjwa labda). Unafua ukitoka kuoga, Jumamosi unafua na nguo zote chafu?
Mimi nimeweka kibeseni bafuni, zile nyeupe huwa ninaloweka na omo. Ninaanikia hukohuko bafuni nimenunua ile rail ya kuanikia nguo ni special kwa vyupi.
HahahahaMi sifui hadi itoboke ndio naibadilisha kuwa pedi
Anafuaje kwa mashine au una mchuchumaisha anazifua?Mimi huwa nafuliwa na bae wangu.... Labda kama kwenye period ndo namsaidia
oouh... haya nimekusoma.Mimi nafua kila jmosi naloweka na aerial then naanika nje kwenye jua
Ata sijui anavyofua mii nazikuta tu zishafuliwa na kazianika bafuni sasa kwangu kuzitoa nje zipigwe na juaAnafuaje kwa mashine au una mchuchumaisha anazifua?
Kuna wanaume wana moyo. hongera.Ata sijui anavyofua mii nazikuta tu zishafuliwa na kazianika bafuni sasa kwangu kuzitoa nje zipigwe na jua
Kwann?Kuna wanaume wana moyo. hongera.
Kuna wanaofuliwa na wapenzi wao, wake zao, waume zao (wa kwangu atafua ni kiwa mgonjwa labda). Unafua ukitoka kuoga, Jumamosi unafua na nguo zote chafu?
Mimi nimeweka kibeseni bafuni, zile nyeupe huwa ninaloweka na omo. Ninaanikia hukohuko bafuni nimenunua ile rail ya kuanikia nguo ni special kwa vyupi.
Madoa u mean kama ulijichafua wakati wa hedhi au madoa ya kujilowanisha wakati ukipata hisia nyemvu???Hata nusu saa inatosha inategemea na madoa yenyewe.