Stanley Mitchell
JF-Expert Member
- Jan 2, 2014
- 4,574
- 4,070
Mkuu bado unakaa kwa shemeji?Mtoto wa sister akiwa na miaka mitano alimwambia mama yake sivai chupi mimi sio mwanamke na sitaki dada aniogeshe ananichungulia
Oh okay gotchaZile safari zetu za kwenda kulipa kodi mwezini
Gayish!navaa boxer toka nipo shule ya msingi
mama kaninunulia sana chupi nilikua nikivaa zikichafuka tu natupa uvunguni sikuwahi kuzipenda kabisaaaa.....namake money naenda nunua boxer.....leo hii nina boxer nyingi kuliko nguo zangu nyingine
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]nicheke niongeze cku za kuishi mie[emoji23][emoji23][emoji38][emoji38]zinakua kwa kufuata mwelekeo wa mwanga.
Asee we acha tu [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]utake usitake utacheka tu [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Asee we acha tu [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]utake usitake utacheka tu [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Kwa nini mkuu nyeupe huloweka kwa muda,kwani zina nini hizo?Kuna wanaofuliwa na wapenzi wao, wake zao, waume zao (wa kwangu atafua ni kiwa mgonjwa labda). Unafua ukitoka kuoga, Jumamosi unafua na nguo zote chafu?
Mimi nimeweka kibeseni bafuni, zile nyeupe huwa ninaloweka na omo. Ninaanikia hukohuko bafuni nimenunua ile rail ya kuanikia nguo ni special kwa vyupi.
Miss u farkhinaMwanamke inatakiwa ufue chupi unapoaga kuroeka au kurundika ni uchafu
Ndio maana wanaume wengi sisi mboo zetu zimepinda kushotoTena watoto wa kiume tunawavalisha vyupi wakishaanza kucheza mpira na wenazo huko nje sijui kuna lecture gani wanapata wakirudi wanajua jina la boxer
Aha ah ah ah my ribs, watu mna manenosijui nikuelezeje... chupi zinafunika tako.... na sehemu zetu siri zinakuwa ukikaa vibaya zitatokezea nje.
ila boxer inashuka hadi kwenye mapaja kidogo.
View attachment 805016
mimi sijui naonaje kuvaa chupi...kwanza uvaaji wake najiona wa kike kabisa. ukiwa unaivaa lazima uipandishe kwa kutingishatingisha mapaja ipande kama mwanamke na kuivuta vuta ikae vizuri.
ila boxer ni kasuruali kafupi. Chupi hapana kwangu.
Hahahaa umenifurahishaMimi nafua kila weekend. Alafu mara nyingi sivai maana zinanichosha tu nikivaa haijulikani kama nmevaa au nisipovaa haijulikani kama sijavaa. Hapa kwenyewe vitu vipo nje saaaafiii vinapunga hewa.
Kwa nini uilowekeUhii mm naloweka, nina kisado maalum kwaajil ya chupi, naloweka na sabuni kesho yake asubuhi bfr sijaoga nafua naanika, kama nipo home hiyo siku nitaanika nje.
Nipo bingwa wa kuloweka chupi. Nikiona nimefua uchafu hujatoka na nimechelewa, naisuuza na naweka maji upya na sabuni naloweka tena.
Uvivu tuKwa nini uiloweke
Madoa yanatoka wapi?Hata nusu saa inatosha inategemea na madoa yenyewe.