Kwani kuna utaratibu wa nivae mavazi gani ili mimi nihudhurie mkutano wa mwanasiasa?Kweli ccm ni zaidi ya hatari. Ni wabobezi na welevu wa kila mbinu za ku deal na upinzani in a friendly way bila wao kujua.
Kumbe waliohudhuria ule mkutano wa Tundu Lisu alipokuwa akikinanga chama chake cha chadema, wengi waliohudhuria mkutano huo, pasipo Tundu Lissu kujua, walikuwa ni wana ccm. Ilifikia mahali wakajisahau na kumshangilia kwa kibwagizo cha ccm.
Kama una muda msikilize huyu mchambuzi makini wa siasa za Tanzania hapo chini.
View: https://youtube.com/watch?v=NU3b3IYQjhk&si=BOhK2JWMuwWTZ0kl
Mkutano wake haukufuata taratibu za chama chake, sasa utegemee nini? Mamuluki kutoka ccm waliingia ukumbini kirahisi. Hata kwenye sherehe hususani za harusi wazamiaji wataingia kwa wingi ukumbini kama kamati ya sherehe haikuweka utaratibu madhubuti wa mtu kuingia ukumbini. Hivyo ndivyo ilikuwa kwenye huo mkutano wa Lissu. Ukiwa na sare ya chama unaingia. Ukisalimu kwa piiiiiipoz, unaingia.Kwani kuna utaratibu wa nivae mavazi gani ili mimi nihudhurie mkutano wa mwanasiasa?
Chama ni nani? Wewe na Lissu na hao wachache ndiyo mnajiita chama? Kwa taarifa yako wenye kuamua hilo unalolitaka ni mkutano mkuu wa chama.Mnaongea sana lakini Mbowe atambue alama za nyakati. Chama kinamuhitaji Lissu kama Mwenyekiti, Heche kama katibu.
Wewe uko upande gan ndugu yanguBasi haya
Kuna tetesi za Wagombea zaidi ya 10, nitachagua upande nikiwasikiliza woteWewe uko upande gan ndugu yangu
Wewe tunakujua ni pro-mwamba.Kuna tetesi za Wagombea zaidi ya 10, nitachagua upande nikiwasikiliza wote
Maccm mnahangaika sana mnamuogopa sana LissuKweli ccm ni zaidi ya hatari. Ni wabobezi na welevu wa kila mbinu za ku deal na upinzani in a friendly way bila wao kujua.
Kumbe waliohudhuria ule mkutano wa Tundu Lisu alipokuwa akikinanga chama chake cha chadema, wengi waliohudhuria mkutano huo, pasipo Tundu Lissu kujua, walikuwa ni wana ccm. Ilifikia mahali wakajisahau na kumshangilia kwa kibwagizo cha ccm.
Kama una muda msikilize huyu mchambuzi makini wa siasa za Tanzania hapo chini.
View: https://youtube.com/watch?v=NU3b3IYQjhk&si=BOhK2JWMuwWTZ0kl
Wewe ndiye zuzu na taahira kabisa.Na yeye kama vile ni zuzu, akawa anachekelea na kufurahia hivyo vibwagizo vya ki ccm.
Ngurumo naye ni chawa wa Mbowe hana lolote.Kweli ccm ni zaidi ya hatari. Ni wabobezi na welevu wa kila mbinu za ku deal na upinzani in a friendly way bila wao kujua.
Kumbe waliohudhuria ule mkutano wa Tundu Lisu alipokuwa akikinanga chama chake cha chadema, wengi waliohudhuria mkutano huo, pasipo Tundu Lissu kujua, walikuwa ni wana ccm. Ilifikia mahali wakajisahau na kumshangilia kwa kibwagizo cha ccm.
Kama una muda msikilize huyu mchambuzi makini wa siasa za Tanzania hapo chini.
View: https://youtube.com/watch?v=NU3b3IYQjhk&si=BOhK2JWMuwWTZ0kl
Mwanaume kuwa mdaku hata haipendezi. Lissu kawasokomeza la kati maccm wote.Na yeye kama vile ni zuzu, akawa anachekelea na kufurahia hivyo vibwagizo vya ki ccm.
Hata kama walikuwepo NIA imetangazwa haijatangazwa?Kweli ccm ni zaidi ya hatari. Ni wabobezi na welevu wa kila mbinu za ku deal na upinzani in a friendly way bila wao kujua.
Kumbe waliohudhuria ule mkutano wa Tundu Lisu alipokuwa akikinanga chama chake cha chadema, wengi waliohudhuria mkutano huo, pasipo Tundu Lissu kujua, walikuwa ni wana ccm. Ilifikia mahali wakajisahau na kumshangilia kwa kibwagizo cha ccm.
Kama una muda msikilize huyu mchambuzi makini wa siasa za Tanzania hapo chini.
View: https://youtube.com/watch?v=NU3b3IYQjhk&si=BOhK2JWMuwWTZ0kl