Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
SIKILIZA CLIP, KUNA TEUZI ALIKATAANgurumo aliomba uDC Kwa shujaa Magufuli akanyimwa AKANUNA
Alibembeleza sana teuzi Kwa shujaa Magufuli 😀SIKILIZA CLIP, KUNA TEUZI ALIKATAA
Weka ushahidi hapaNgurumo aliomba uDC Kwa shujaa Magufuli akanyimwa AKANUNA
Ushahidi wa kuomba au wa kununa? 🐼Weka ushahidi hapa
Ngurumo alikuwa kiongozi wa Chadema kupitia Mbowe miaka ya nyuma na alikuwa mkurugenzi wa free Media akiwa mhariri mtendaji wa gazeti la Tanzania Daima lillopata umaarufu kupitia wafuasi wa Chadema. Mbowe alipobadili gear angani na gazeti likaenda na maji. Mbaya zaidi taarifa za Lowassa kuingia Chadema zilikuwa zinavujishwa na gazeti la Tanzania Daima mapema kabla hata watu hawajawa na uelewa wa hiyo ishu. Mbowe na Ngurumo ni Dam DamAmesema TUSITISHANE, TUVUMILIANE. TUEPUKE MACHAWA NA WAPAMBE NA WABANBAIZAJI.
Na wewe uliombaGA nini ukapewa UKAFURAHI?Ngurumo aliomba uDC Kwa shujaa Magufuli akanyimwa AKANUNA
Na wewe uliombaGA nini ukapewa UKAFURAHI?Ngurumo aliomba uDC Kwa shujaa Magufuli akanyimwa AKANUNA
Wakati Shujaa yuko Mkwawa High school miye nilikuwa pale The Highlands sec school so aliniomba niwe Mshauri tu😀Na wewe uliombaGA nini ukapewa UKAFURAHI?
Naijua hiyo Highlands Secondary School. Ipo jirani na Kleruu kabla hujavuka barabara kwenda Lugalo Sekondari. Ila kipindi hicho ilikuwa shule ya "vilaza" pamoja na Mwembetogwa Sekondari na siamini kama Mwamba Magufuli angeweza kutafuta "Mshauri" hapo!😀😀😀😀Wakati Shujaa yuko Mkwawa High school miye nilikuwa pale The Highlands sec school so aliniomba niwe Mshauri tu😀
Huyu ni lizee linaitwa Lusungo ni majitu ya hovyo mno.Kuna watu bado hawataki kuamini kwamba Uchaguzi Mkuu wa Chadema Taifa umeisha, na ndugu Tundu Lissu kutokea Mkoa wa Singida ameshinda nafasi ya Mwenyekiti Taifa.
Mkuu Retired na wenzio, chukulieni hiyo ni changamoto kwamba mliyetaka awe hajawa
Mpeni ushirikiano Mhe. Lissu ili atimize majukumu yake
Kuendelea kumwanzishia nyuzi humu kila kukicha mkionesha Chuki zenu za waziwazi inaleta picha kwamba, hamkuwa tayari Chama Kiongozwe na Wakuja/Washamba kama mnavyosema humu
Lakini ndiyo mshindi, na ndiye Mwenyekiti wenu hadi 2029 panapo majaaliwa
Tatizo, watu kama hao hawana tofauti na machawa ya ccm. Hawasikilizi wala hawazingatii maoni ya umma.Huyu ni lizee linaitwa Lusungo ni majitu ya hovyo mno.
Inashangaza mtu unajiita mwanachama wa CHADEMA huku hutaki mabadiliko ni mambo ya kushangaza kidogo.
Humu nawaona wapo zaidi ya wanne, kazi yao ni kuandika nyuzi za kumtabiria Lissu kushindwa na kumbeza kwamba ni WA shambaHuyu ni lizee linaitwa Lusungo ni majitu ya hovyo mno.
Inashangaza mtu unajiita mwanachama wa CHADEMA huku hutaki mabadiliko ni mambo ya kushangaza kidogo.
This is very much acknowledged! Na diyo maana Mbowe hakuja! akijua fika kuwa siyo M/Kiti tena.Kubali uchaguzi umeisha na Lissu ndiye mshindi na Mbowe siyo tena Mwenyekiti wa CHADEMA.