Tetesi: Ngurumo: Chacha Heche wale watu wasiojulikana wanakufwatilia kwa gari Number hii T494DDU Noah silver

Tetesi: Ngurumo: Chacha Heche wale watu wasiojulikana wanakufwatilia kwa gari Number hii T494DDU Noah silver

Mzushi tu wewe huna lolote. Hata hii ulitengeneza wewe na kutuaminisha hivyo. Wewe safisha vyoo vya wazungu huko. Tuko ok wanaowatumia wameingia choo cha kike
Kwa nini wana ccm mnawatetea sana watu wasiojulikana? Kuna siri gani kati ya watu wasiojulikana na ccm?
Mana naona kila mada ikiletwa ya wasiojulikana mnapinga sana.
Lisu aliposema na watu wasiojulikana mlipinga sana na kuwatetea hao watu hatimaye yalimfika. Hivi wana ccm mnafurahia wanachofanyiwa wenzenu na hao wanaojiita wasiojulikana? Mnapata nini wanapoua watanzania wenzenu?
 
"Mheshimiwa John Heche na Wana Tarime jihadharini. Wale vijana watesi waliokuwa wametumwa Mwanza kuwateka vijana wetu wawili wakawakosa, Saa Saba usiku wa kuamkia leo wameelekea Tarime".

"Ni Vijana watatu wanatumia Gari aina ya Noah Silver T494 DDU. Wanafuatilia Press Conference na wanamvizia Chacha Heche Katibu wa CHADEMA Mkoa wa Mara na mdogo wa John Heche".
Mimi nikisema huyo Ngurumo anaratibu au anahusika na njama ya hii kitu nitakuwa nimekosea??
 
yawezekana Ngurumo ni Mange mwingine had I kipindi hiki kipite mambo yatanoga sana
hapo ndipo! ni yale mafaili ya siri za mange ambayo yapo mtandaoni kwa sasa, yamempunguzia audience trust . lazima anapojeruhiwa mmoja wanajeshi wenzake watake cover haraka!
 
Ungempa taarifa kimyakimya ili muwavizie na kuwadhibiti hao "watatu" chini kwa chini, baada ya kubanwa wangewapa taarifa za kutosha. Kisha baada ya hapo mnaweza kuwaachia au "mengineyo". Anae watuma atajua kua sasa ni jino kwa jino.
Sasa akimpa taarifa kimya kimya bavicha watajuaje ili wampigie vigeregere??
 
Ha ha ha Mara lema kafunguliwa tairi mara Selasini anafuatiliwa sasa mnakuja na kiki mpya ya heche
Kesho atakuja na stori suruali ya Mbowe imekutwa na kifungo cha kijani badala ya cheusi, atadai serikali inahusika. Jamaa amekuwa comedian. Acha atufurahishe kidogo, tusiwe serious mida yote na HAPA KAZI TU. Tunahitaji watu kama hawa kutuchekesha kwa kutumia siasa kama msingi wa vichekesho vyake.
 
Tunahitaji watu wengi kama kina Ngurmo ili kuwaumbua watu wasiojulikana na njama za Serikali dharimu.
 
Tunahitaji watu wengi kama kina Ngurmo ili kuwaumbua watu wasiojulikana na njama za Serikali dharimu.
Wasijekuwa wa awali sasa wanajulikana mmojawapo ni Heri Kisanduku makapero aliyemtandika Tundu Lisu Risasi kwa uratibu wa Jerry muro, le mutuz na Boss wao Maliyamungu idd Amin Bashite, hao wengine wapya watakuwa ni tawi la hicho kikundi kikongwe cha sasa.
 
Umekwisha vipi? Mbona mnachukua pesa za nyongeza za mishahara ya watumishi wa uma kuzitumia kukandamiza Demokrasia? Pesa za maendeleo hakuna lakini pesa za kuwanunua wabunge, madiwani kurudia chaguzi kwa gharama kubwa zipo, hamtaki kuongeza mishahara lakini pesa za kuwabambikia kesi, kuwapiga Risasi, kuwafunga jela Wapinzani Zipo, pesa za kuhujumu upinzani zipo nyingi
maisha yenu ni kulalamika tu,ukitaka kujua mmekwisha subiri 2020
 
Mzushi tu wewe huna lolote. Hata hii ulitengeneza wewe na kutuaminisha hivyo. Wewe safisha vyoo vya wazungu huko. Tuko ok wanaowatumia wameingia choo cha kike
Sina hakika kama unalijua vizuri hilo gazeti, sina hakika pia kama unajua wakati hiyo makala inatoka huyu unae mtuhumu alikua wapi na chombo gani!? Nina hakika umeanza kusoma magazeti juzi.
 
"Mheshimiwa John Heche na Wana Tarime jihadharini. Wale vijana watesi waliokuwa wametumwa Mwanza kuwateka vijana wetu wawili wakawakosa, Saa Saba usiku wa kuamkia leo wameelekea Tarime".

"Ni Vijana watatu wanatumia Gari aina ya Noah Silver T494 DDU. Wanafuatilia Press Conference na wanamvizia Chacha Heche Katibu wa CHADEMA Mkoa wa Mara na mdogo wa John Heche".
Hii ilitoka kabla ya mdogo wa Heche ajauliwa au baada !!??
 
Huyo jamaa naona anaelekea kuwa kama gazeti la udaku sasa.....Kwa nini asitulie awe anatoa taarifa za kueleweka...

Muda sio mrefu watu watakosa uaminifu kwake.
Mkuu bila shaka wewe ni timu lumumba. si unaona mdogo wake wamemuua kwa kisu tayari...? tips kama hizi ni muhimu na zikiwa public zinapunguza makali ya hao watu wasiojulikana
 
Ngurumoooooo! We ni nouma aisee. Uko Finland ya TZ wayajua kabla yetu?
Kitakachomkuta Magufuli hataamini,mkuu jiulize mtu yupo Finland lakini taarifa za ndani ya Tanzania na za siri anazipata,unajua kwa nini?
Unapokuwa kiongozi mbaya tayari unagawa watu,hata ulionao wanakuwa hawafurahishwi na uovu wako,hii ilimtokea Samuel Doe wa Liberia,siku ameitwa kwa ajili ya mazungumzo ya usuluhishi na waasi waliokuwa wakiongozwa na Prince Johnson aliwauliza maofisa wake wa usalama endapo hali ya usalama ilikuwa inaruhusu yeye kwenda nao wakamjibu,"mheshimiwa nenda tu hali ya usalama ni nzuri usihofu".
Kumbe CIA waliweka mtego mkubwa wa kwenda kumtesa na kumuua,na kwa sababu Doe alikuwa kaua watu wengi Liberia, maofisa wake wa usalama walimchoka pia,na walijua nini kingetokea endapo angeenda kuonana na Prince Johnson,matokeo yake wakamwacha auvae mkenge.
Kuna mataahira ya ccm humu kazi ni kusifia na kutetea kila kitu,hawajiulizi kwa nini siri zinavuja? Walivyo wajinga watakuambia "Huyo Ngurumo anaropoka kutafuta umaarufu".
 
Hivi Nani anampa taarifa ngurumo?
Unajiita mchawi mkuu,halafu hujui anayempa taarifa? Unachekesha kweli,acha uchawi uokoke,ndo utajua anayempa taarifa,siye tunajua kila kitu,magufuli anafanya mambo akidhani watu wanapenda ukatili wake,kumbe hata hao anaoshinda nao ikulu hawamtaki kabisa kwa tabia zake za kikatili.
 
Ha ha ha Mara lema kafunguliwa tairi mara Selasini anafuatiliwa sasa mnakuja na kiki mpya ya heche
Wewe cheka tu,usidhani uko salama kwa kulamba miguu yao,shetani huwa hana rafiki,ngoja amalizane na wapinzani kwanza kisha ndo atakuja kwenu nyie wenzake,muda utaongea,na hutakuwa jinga tena kama ulivyo lijinga,yakishakukuta tu akili itakurudia
 
Ni tahadhali nzuri ili mtu awe makini. Ila ninashindwa kuelewa, ni kwa nn hizi taarifa wahusika wasipewe kwa siri ili ikiwezekana hao wanaotumwa kuua wadhibitiwe na ikibidi wachomwe moto kabla ya kuleta madhara?

Sasa unatangaza in-public ili iweje, huoni kama hao watu watasitisha mpango wao kwa sasa na kupanga siku nyingine? Huko CDM kuna watu makini sana lakini sijui mnatuonaje, this is rubbish.

Dawa ya hawa wauaji ni kukamata mmoja baada ya mwingine na kuwaua pia kimya kimya, sasa maajabu unaleta hii hbr hapa, ili isaidie nn maana hawa washenzi wataendelea na mauaji hata kama si leo. Naona kama ni upuuzi tu wa bwana Ngurumo ili kutafuta huruma ya wananchi japo naamini kweli alitishiwa kupotezwa otherwise asingekimbia nchi
Duh !
DAWA YA MOTO NI MOTO !
 
Ni tahadhali nzuri ili mtu awe makini. Ila ninashindwa kuelewa, ni kwa nn hizi taarifa wahusika wasipewe kwa siri ili ikiwezekana hao wanaotumwa kuua wadhibitiwe na ikibidi wachomwe moto kabla ya kuleta madhara?

Sasa unatangaza in-public ili iweje, huoni kama hao watu watasitisha mpango wao kwa sasa na kupanga siku nyingine? Huko CDM kuna watu makini sana lakini sijui mnatuonaje, this is rubbish.

Dawa ya hawa wauaji ni kukamata mmoja baada ya mwingine na kuwaua pia kimya kimya, sasa maajabu unaleta hii hbr hapa, ili isaidie nn maana hawa washenzi wataendelea na mauaji hata kama si leo. Naona kama ni upuuzi tu wa bwana Ngurumo ili kutafuta huruma ya wananchi japo naamini kweli alitishiwa kupotezwa otherwise asingekimbia nchi
Mkuu taarifa lazima iwekwe public ili umma ujue uovu wa magufuli,halafu hao watu usidhani ni rahisi kuwazingira na kuwachoma moto,hao ni well trained na wanakuwa na silaha kali kama SMG au zaidi.
 
Back
Top Bottom