Tetesi: Ngurumo: Chacha Heche wale watu wasiojulikana wanakufwatilia kwa gari Number hii T494DDU Noah silver

Tetesi: Ngurumo: Chacha Heche wale watu wasiojulikana wanakufwatilia kwa gari Number hii T494DDU Noah silver

Ni tahadhali nzuri ili mtu awe makini. Ila ninashindwa kuelewa, ni kwa nn hizi taarifa wahusika wasipewe kwa siri ili ikiwezekana hao wanaotumwa kuua wadhibitiwe na ikibidi wachomwe moto kabla ya kuleta madhara?

Sasa unatangaza in-public ili iweje, huoni kama hao watu watasitisha mpango wao kwa sasa na kupanga siku nyingine? Huko CDM kuna watu makini sana lakini sijui mnatuonaje, this is rubbish.

Dawa ya hawa wauaji ni kukamata mmoja baada ya mwingine na kuwaua pia kimya kimya, sasa maajabu unaleta hii hbr hapa, ili isaidie nn maana hawa washenzi wataendelea na mauaji hata kama si leo. Naona kama ni upuuzi tu wa bwana Ngurumo ili kutafuta huruma ya wananchi japo naamini kweli alitishiwa kupotezwa otherwise asingekimbia nchi
Umeandika kwa ukali ila hili ni bonge la Point!

Haya mambo yanataka usiri ili tuyakomeshe mazima
 
Hatuwezi kuwa na mashaka na habari hii maana yameshatukuta tayari.Tuna imani ni kweli.Cha msingi umakini uwepo.
 
Hivi Chadema ni Chama cha Siasa au ni Saccoss ya Undugu wa Kufa na Kuzikana!?
Chacha Heche Katibu wa Chadema mkoa wa Mara, mdogo wake John Heche Mbunge wa Chadema!
Halafu mnapiga kelele za Upendeleo!?
 
Ngurumo na Mange wametofautiana Jinsia tu lkn akili zimefanana.

Tangu atudanganye swala la Mtulia kuwa anaumwa sana.. Huyu jamaa namuona ni bonge la kiazi
anaeumwa huwa haponi? kupona kunachukua siku ngapi?
 
Iko siku ataamka mdomo umepinda wewe subiri tu siku utaona
Huyu shetani mlomchagua si afe tu kuliko kuuwa wengine.Ee Mungu mpe kilema cha maisha,mpe ukoma akose miguu,mikono na midomo ikatike kinywa kibaki wazi ashindwe kusema.
 
Habari Bila ushahidi! Inaukakasi!

Lakin mwanahabari huru mbona habari zako Huwa ni za mlengo mmoja Na wewe unasema upo huru?
hata Lisu hakuwa na ushahidi.. na hao wanaoulizia ushahidi ndio hao namba zao zimatajwa hapo juu
 
Iko siku ataamka mdomo umepinda wewe subiri tu siku utaona
Huyu shetani mlomchagua si afe tu kuliko kuuwa wengine.Ee Mungu mpe kilema cha maisha,mpe ukoma akose miguu,mikono na midomo ikatike kinywa kibaki wazi ashindwe kusema.
 
Ni tahadhali nzuri ili mtu awe makini. Ila ninashindwa kuelewa, ni kwa nn hizi taarifa wahusika wasipewe kwa siri ili ikiwezekana hao wanaotumwa kuua wadhibitiwe na ikibidi wachomwe moto kabla ya kuleta madhara?

Sasa unatangaza in-public ili iweje, huoni kama hao watu watasitisha mpango wao kwa sasa na kupanga siku nyingine? Huko CDM kuna watu makini sana lakini sijui mnatuonaje, this is rubbish.

Dawa ya hawa wauaji ni kukamata mmoja baada ya mwingine na kuwaua pia kimya kimya, sasa maajabu unaleta hii hbr hapa, ili isaidie nn maana hawa washenzi wataendelea na mauaji hata kama si leo. Naona kama ni upuuzi tu wa bwana Ngurumo ili kutafuta huruma ya wananchi japo naamini kweli alitishiwa kupotezwa otherwise asingekimbia nchi
Mbona Lissu alisema hadharani lakini bado wakapiga marisasi kibao.

Kunyamaza peke yake hakutoshi. Unless una uwezo wa kupambana nao. Kumzomea mchawi hadharani sometimes inasaidia maana ataona aibu kukuroga.

Kufail kwa mpango wa Lissu utakuwa umewaponyesha wengi!!
 
Magari ya Noah ni ya kuogopa sana.. Kwanza yako mengi mno hata yakifanya tukio ni ngumu mno kujua ni lipi, hata majambazi wanapenda sana Noah sbb ni mengi na ni ngumu kugundua alafu yanakimbia sana aisee.. Noah ni gari ikikuacha kuipata ni kazi sana.. Labda huenda hao ni majambazi
 
Magari ya Noah ni ya kuogopa sana.. Kwanza yako mengi mno hata yakifanya tukio ni ngumu mno kujua ni lipi, hata majambazi wanapenda sana Noah sbb ni mengi na ni ngumu kugundua alafu yanakimbia sana aisee.. Noah ni gari ikikuacha kuipata ni kazi sana.. Labda huenda hao ni majambazi
Naoh haikimbii kama ikifukuzwa na gari zenyewe wafalume wa barabarani kama Vx ,Subaru, Jeep nk isipokuwa kinachofanya watumie Noah ni kwa sababu ni gari zilizosambaa sana nchini ni nyingi hakuna mfano kila kona kuna Noah ni kama jezi ya man U au Liverpool ama Arsenal au Madrid na Barcelona
 
upinzani kwisha habari yenu
Umekwisha vipi? Mbona mnachukua pesa za nyongeza za mishahara ya watumishi wa uma kuzitumia kukandamiza Demokrasia? Pesa za maendeleo hakuna lakini pesa za kuwanunua wabunge, madiwani kurudia chaguzi kwa gharama kubwa zipo, hamtaki kuongeza mishahara lakini pesa za kuwabambikia kesi, kuwapiga Risasi, kuwafunga jela Wapinzani Zipo, pesa za kuhujumu upinzani zipo nyingi
 
Mbona Lissu alisema hadharani lakini bado wakapiga marisasi kibao.

Kunyamaza peke yake hakutoshi. Unless una uwezo wa kupambana nao. Kumzomea mchawi hadharani sometimes inasaidia maana ataona aibu kukuroga.

Kufail kwa mpango wa Lissu utakuwa umewaponyesha wengi!!
Wanatumia katiba za Zaire ya marehemu Mabutu na idd Amin Dada wa uganda kutawala Tanzania, pesa nyingi inatumika kukandamiza Demokrasia badala ya nyongeza ya mishahara na maendeleo.
 
Kwa kuwaanika hadharani inasaidia maana hawataendelea na mipango yao. Ukiwaua kimyakimya nao watarudi kulipa kisasi na sisi tutalipa tena kisasi na wao tena....then civil war, ivyo hoja ya kuua kimya sio ya afya na haitasaidia
Ni tahadhali nzuri ili mtu awe makini. Ila ninashindwa kuelewa, ni kwa nn hizi taarifa wahusika wasipewe kwa siri ili ikiwezekana hao wanaotumwa kuua wadhibitiwe na ikibidi wachomwe moto kabla ya kuleta madhara?

Sasa unatangaza in-public ili iweje, huoni kama hao watu watasitisha mpango wao kwa sasa na kupanga siku nyingine? Huko CDM kuna watu makini sana lakini sijui mnatuonaje, this is rubbish.

Dawa ya hawa wauaji ni kukamata mmoja baada ya mwingine na kuwaua pia kimya kimya, sasa maajabu unaleta hii hbr hapa, ili isaidie nn maana hawa washenzi wataendelea na mauaji hata kama si leo. Naona kama ni upuuzi tu wa bwana Ngurumo ili kutafuta huruma ya wananchi japo naamini kweli alitishiwa kupotezwa otherwise asingekimbia nchi
 
Habari Bila ushahidi! Inaukakasi!

Lakin mwanahabari huru mbona habari zako Huwa ni za mlengo mmoja Na wewe unasema upo huru?
mimi naona habari za "Mwanahabari Huru" huwa zinalengaga kote kote.
kwa mfano hii hapa...."wasiojulikana" ni wa kutoka mlengo wa Lumumba na Heche ni Ufipa.
balanced!
 
Kwa kuwaanika hadharani inasaidia maana hawataendelea na mipango yao. Ukiwaua kimyakimya nao watarudi kulipa kisasi na sisi tutalipa tena kisasi na wao tena....then civil war, ivyo hoja ya kuua kimya sio ya afya na haitasaidia
Sasa Taifa si Nchi ya Aman tena mpaka kikundi cha Maliyamungu idd Amin Bashite cha watu wasiojulikana kifutwe na Heri Kisanduku makapero afungwe jela kwa Kitendo alichomfanyia Tundu Lisu, na ikibidi Cyprian msiba , le mutuz na Jerry muro wachezee kichapo viboko 12 kila wakionekana huko mitaani ili waache Tabia mbovu ya kula pesa za Umma kwa kazi haramu ya kuhujumu upinzani.
 
Back
Top Bottom