kiatu kipya
JF-Expert Member
- Dec 4, 2016
- 3,269
- 1,977
Mshamba ni wewe ambaye unaficha upuuziHuyu mkibosho ni mshamba sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mshamba ni wewe ambaye unaficha upuuziHuyu mkibosho ni mshamba sana
Soma Uhuru hujashikwa mdomo na mikonoAnazingua sana!
Nafuu nagebadili title Na kujiita mwanahabari wa ufipa!.
Mtu anasema yupo huru halafu anatoa habari za kutoka upande mmoja?!?!
Hawa chandema nao wanazingua!..
Elewa hivyo au wew kichwa kidogoSijakuelewa
.Elewa hivyo au wew kichwa kidogo
Hiyo plate number unaichukulia kirahisi pia?Habari Bila ushahidi! Inaukakasi!
Lakin mwanahabari huru mbona habari zako Huwa ni za mlengo mmoja Na wewe unasema upo huru?
Poa Poa kamandaHuyo siyo wa kubishana naye mkuu!.
Niliona anaanza kushobokea comments zangu!. Nilimpa jibu moja KAMWE hatosahau Na sidhani kama atakuwa an qot comments zangu!.
Hebu usiwe una mjibu mpotezee tu!.
Maana kazidi kucomment mambo ya kijinga yasiyo Na maana
T494DDU[emoji61] [emoji379] [emoji83] [emoji196]Habari Bila ushahidi! Inaukakasi!
Lakin mwanahabari huru mbona habari zako Huwa ni za mlengo mmoja Na wewe unasema upo huru?
"Mheshimiwa John Heche na Wana Tarime jihadharini. Wale vijana watesi waliokuwa wametumwa Mwanza kuwateka vijana wetu wawili wakawakosa, Saa Saba usiku wa kuamkia leo wameelekea Tarime".
"Ni Vijana watatu wanatumia Gari aina ya Noah Silver T494 DDU. Wanafuatilia Press Conference na wanamvizia Chacha Heche Katibu wa CHADEMA Mkoa wa Mara na mdogo wa John Heche".
Mzushi tu wewe huna lolote. Hata hii ulitengeneza wewe na kutuaminisha hivyo. Wewe safisha vyoo vya wazungu huko. Tuko ok wanaowatumia wameingia choo cha kike
Hahahahahaha comedian huyu hatari bado utwambie na zitto ana fatiliwa na gari gani hahahaha...
Kama wewe unajua omba tuone uombaji wako mfyuuuuHujui hata kuomba
Hata Lissu mlisema hivyohivyo.
Wauaji wakubwa nyinyi, ila siku za ibada mnakaa mbele kabisa na makamera juu.
Mungu atawalipa kwa matendo yenu.
mpaka mtu atapotekwa?You can't prove anything
Dua la kuku hilo. Wauaji mnao wenyewe huko kwa kugombea madaraka. Sisi tumeshayapata na njia nyeupeeeee 2020. Kaeni mdanganywe na kina wavuta bangi Kimambi na huyo bwege mzushi. Jawabu langu ni hiyo attachment ... ni kweli au uongo?Hata Lissu mlisema hivyohivyo.
Wauaji wakubwa nyinyi, ila siku za ibada mnakaa mbele kabisa na makamera juu.
Mungu atawalipa kwa matendo yenu.
Mungu ibariki Chadema"Mheshimiwa John Heche na Wana Tarime jihadharini. Wale vijana watesi waliokuwa wametumwa Mwanza kuwateka vijana wetu wawili wakawakosa, Saa Saba usiku wa kuamkia leo wameelekea Tarime".
"Ni Vijana watatu wanatumia Gari aina ya Noah Silver T494 DDU. Wanafuatilia Press Conference na wanamvizia Chacha Heche Katibu wa CHADEMA Mkoa wa Mara na mdogo wa John Heche".
Inawekezana wewe [emoji196] ni kati ya hao wa3 kwenye noah[emoji200]
Umeshtukiwa unatokwa povu kubwaaa.
Angalia nyuma yako unafatiliwa wewe[emoji196] [emoji83]
Haya mambo huwezi kuyaamini mpaka siku ukimkuta mama yako mzazi mtaroni , ccm haijawahi kuwa na rafiki hata kama ungekuwa mwenyekiti wa Taifa , kikwete anatukanwa , kinana ametengwa , Nape chupuchupu kuuawa , ndio uwe wewe mvaa fulana na kofia alizotapeliwa shigongo ?Ha ha ha Mara lema kafunguliwa tairi mara Selasini anafuatiliwa sasa mnakuja na kiki mpya ya heche