Crimea
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 25,874
- 36,030
Hujui hata kuombaHuyu shetani mlomchagua si afe tu kuliko kuuwa wengine.Ee Mungu mpe kilema cha maisha,mpe ukoma akose miguu,mikono na midomo ikatike kinywa kibaki wazi ashindwe kusema.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hujui hata kuombaHuyu shetani mlomchagua si afe tu kuliko kuuwa wengine.Ee Mungu mpe kilema cha maisha,mpe ukoma akose miguu,mikono na midomo ikatike kinywa kibaki wazi ashindwe kusema.
Anazingua sana!Mimi nimemshangaa huyu mwanahabari wa ufipa hadi nimechoka.
Anatafuta umaarufuNi tahadhali nzuri ili mtu awe makini. Ila ninashindwa kuelewa, ni kwa nn hizi taarifa wahusika wasipewe kwa siri ili ikiwezekana hao wanaotumwa kuua wadhibitiwe na ikibidi wachomwe moto kabla ya kuleta madhara?
Sasa unatangaza in-public ili iweje, huoni kama hao watu watasitisha mpango wao kwa sasa na kupanga siku nyingine? Huko CDM kuna watu makini sana lakini sijui mnatuonaje, this is rubbish.
Dawa ya hawa wauaji ni kukamata mmoja baada ya mwingine na kuwaua pia kimya kimya, sasa maajabu unaleta hii hbr hapa, ili isaidie nn maana hawa washenzi wataendelea na mauaji hata kama si leo. Naona kama ni upuuzi tu wa bwana Ngurumo ili kutafuta huruma ya wananchi japo naamini kweli alitishiwa kupotezwa otherwise asingekimbia nchi
Watatu ni wachache tu, cheni inaweza kuwa hata na watu 100...Ungempa taarifa kimyakimya ili muwavizie na kuwadhibiti hao "watatu" chini kwa chini, baada ya kubanwa wangewapa taarifa za kutosha. Kisha baada ya hapo mnaweza kuwaachia au "mengineyo". Anae watuma atajua kua sasa ni jino kwa jino.
Una maana Gani kiongoziNimeamini hiyu jamaa alikuwa jasusi.
Hao wasio julikana haliwezi kuguswa na polisi. Ni kundi lililo undwa na Magufuli kwa ajili ya kunyamazisha wote wanao pingana na Magufuli wakiwa na hoja zisizo jibika.Ni tahadhali nzuri ili mtu awe makini. Ila ninashindwa kuelewa, ni kwa nn hizi taarifa wahusika wasipewe kwa siri ili ikiwezekana hao wanaotumwa kuua wadhibitiwe na ikibidi wachomwe moto kabla ya kuleta madhara?
Sasa unatangaza in-public ili iweje, huoni kama hao watu watasitisha mpango wao kwa sasa na kupanga siku nyingine? Huko CDM kuna watu makini sana lakini sijui mnatuonaje, this is rubbish.
Dawa ya hawa wauaji ni kukamata mmoja baada ya mwingine na kuwaua pia kimya kimya, sasa maajabu unaleta hii hbr hapa, ili isaidie nn maana hawa washenzi wataendelea na mauaji hata kama si leo. Naona kama ni upuuzi tu wa bwana Ngurumo ili kutafuta huruma ya wananchi japo naamini kweli alitishiwa kupotezwa otherwise asingekimbia nchi
Huu upole hata Mungu haupendiWapinzani amueni moja tu sasa!
Kwenye jiko la kupikia hizi hujuma kuna wanaojitmbua.Ngurumoooooo! We ni nouma aisee. Uko Finland ya TZ wayajua kabla yetu?
Yeye yuko Helsinki anayajuaje mambo hayo wakati hata sisi hatujui mambo hayo.Una maana Gani kiongozi
Nimeuliza hilo swali hapo juu!.Yeye yuko Helsinki anayajuaje mambo hayo wakati hata sisi hatujui mambo hayo.
Wanasubiri auwawe au amiminiwe risasi mwingine ndipo wataamua.......Wapinzani amueni moja tu sasa!
Inawekezana wewe [emoji196] ni kati ya hao wa3 kwenye noah[emoji200]Mzushi tu wewe huna lolote. Hata hii ulitengeneza wewe na kutuaminisha hivyo. Wewe safisha vyoo vya wazungu huko. Tuko ok wanaowatumia wameingia choo cha kike
Ni tahadhali nzuri ili mtu awe makini. Ila ninashindwa kuelewa, ni kwa nn hizi taarifa wahusika wasipewe kwa siri ili ikiwezekana hao wanaotumwa kuua wadhibitiwe na ikibidi wachomwe moto kabla ya kuleta madhara?
Sasa unatangaza in-public ili iweje, huoni kama hao watu watasitisha mpango wao kwa sasa na kupanga siku nyingine? Huko CDM kuna watu makini sana lakini sijui mnatuonaje, this is rubbish.
Dawa ya hawa wauaji ni kukamata mmoja baada ya mwingine na kuwaua pia kimya kimya, sasa maajabu unaleta hii hbr hapa, ili isaidie nn maana hawa washenzi wataendelea na mauaji hata kama si leo. Naona kama ni upuuzi tu wa bwana Ngurumo ili kutafuta huruma ya wananchi japo naamini kweli alitishiwa kupotezwa otherwise asingekimbia nchi
Inabidi ifikie kipindi sasa tumalizane tu chini kwa chini. Watu wanawapa sana sifa hawa wasiojulikana wakati wanaweza wakakutana na kitu ambacho hawakukitegemea kabisa. Ifike muda tuamue moja tuUngempa taarifa kimyakimya ili muwavizie na kuwadhibiti hao "watatu" chini kwa chini, baada ya kubanwa wangewapa taarifa za kutosha. Kisha baada ya hapo mnaweza kuwaachia au "mengineyo". Anae watuma atajua kua sasa ni jino kwa jino.
Wahenga walisema,"mcheka kovu,asiyefikwa na jeraha". Siku yatakapokutokea ndipo utajua haya mambo sio ya kuyachekea kama ufanyavyo sasa.Hahahahahaha comedian huyu hatari bado utwambie na zitto ana fatiliwa na gari gani hahahaha...
Ndo kazi uliyotumwa kufanya Finland???"Mheshimiwa John Heche na Wana Tarime jihadharini. Wale vijana watesi waliokuwa wametumwa Mwanza kuwateka vijana wetu wawili wakawakosa, Saa Saba usiku wa kuamkia leo wameelekea Tarime".
"Ni Vijana watatu wanatumia Gari aina ya Noah Silver T494 DDU. Wanafuatilia Press Conference na wanamvizia Chacha Heche Katibu wa CHADEMA Mkoa wa Mara na mdogo wa John Heche".