Tetesi: Ngurumo: Chacha Heche wale watu wasiojulikana wanakufwatilia kwa gari Number hii T494DDU Noah silver

Tetesi: Ngurumo: Chacha Heche wale watu wasiojulikana wanakufwatilia kwa gari Number hii T494DDU Noah silver

Mkuu taarifa lazima iwekwe public ili umma ujue uovu wa magufuli,halafu hao watu usidhani ni rahisi kuwazingira na kuwachoma moto,hao ni well trained na wanakuwa na silaha kali kama SMG au zaidi.

Kwani siku hizi kumiliki silaha, sheria iko wazi, ni kwa Mtanzania yeyote mwenye uwezo ! Nao watafute SMG, na mafunzo wakafanye !
 
Wewe cheka tu,usidhani uko salama kwa kulamba miguu yao,shetani huwa hana rafiki,ngoja amalizane na wapinzani kwanza kisha ndo atakuja kwenu nyie wenzake,muda utaongea,na hutakuwa jinga tena kama ulivyo lijinga,yakishakukuta tu akili itakurudia
Hata CCM wenye Visasi Visasi nae huwakomesha si unakumbuka manji, Rugamalila na sasa hanspope anamwinda amkomoe amekuwa na Roho kama za idd Amin Dada, Bokasa, Sadam Husein na madikteta wengine
 
Kiongozi malaika kwann anaua watu lkn! í ½í¸í ½í¸í ½í¸œ
 
Habari Bila ushahidi! Inaukakasi!

Lakin mwanahabari huru mbona habari zako Huwa ni za mlengo mmoja Na wewe unasema upo huru?
Unataka atunge za uongo ili awaridhishe. Hata akina Hitler yao ilifika mwisho tena kwa machungu zaidi.
 
Mzushi tu wewe huna lolote. Hata hii ulitengeneza wewe na kutuaminisha hivyo. Wewe safisha vyoo vya wazungu huko. Tuko ok wanaowatumia wameingia choo cha kike
Mbona imekuuma sana bwana au nawe umo ndani ya hiyo Noah nini! Mchawi analoga usiku lkn anajulikana sasa sembuse nyie.
 
Vijana geuzeni gari; hiyo zone ni mbaya. Ni Tarime muraaa
 
Kama wauaji wamefahamika ni suala la kutoa taarifa kwa vyombo vya ndani (yaani serikali za wahusika ili washughulikiwe wao kabla ya kitendo)

There comes a time where the one who hunt must be hunted ili apate adhabu aliyokusudia kuitenda kwa mwenzake.
 
Wana nchi wa Mara-Tarime wamepinda, km wauza mayai wa dar, watawapiga mishale mpaka watie adabu
 
Back
Top Bottom