Tetesi: Ngurumo: Chacha Heche wale watu wasiojulikana wanakufwatilia kwa gari Number hii T494DDU Noah silver

Tetesi: Ngurumo: Chacha Heche wale watu wasiojulikana wanakufwatilia kwa gari Number hii T494DDU Noah silver

"Mheshimiwa *John Heche* na Wana Tarime jihadharini. Wale vijana watesi waliokuwa wametumwa Mwanza kuwateka vijana wetu wawili wakawakosa, Saa Saba usiku wa kuamkia leo wameelekea Tarime".

"Ni Vijana watatu wanatumia Gari aina ya *Noah Silver T494 DDU*. Wanafuatilia Press Conference na wanamvizia *Chacha Heche* Katibu wa CHADEMA Mkoa wa Mara na mdogo wa John Heche".
Mmmmh hatare
 
Hivi TL alijitengenezea lile Tukio ama?nasubiri jibu najua sahv unasubiria kwa hamu kuskia mshahara umepandishwa!

Ova
Huyo siyo wa kubishana naye mkuu!.
Niliona anaanza kushobokea comments zangu!. Nilimpa jibu moja KAMWE hatosahau Na sidhani kama atakuwa an qot comments zangu!.

Hebu usiwe una mjibu mpotezee tu!.
Maana kazidi kucomment mambo ya kijinga yasiyo Na maana
 
Habari Bila ushahidi! Inaukakasi!

Lakin mwanahabari huru mbona habari zako Huwa ni za mlengo mmoja Na wewe unasema upo huru?
Basi sawa JPM mgeni rasmi maadhimisho ya siku ya Wafanyakazi maarufu Mei Mosi kitaifa mjini Iringa.
 
Basi sawa JPM mgeni rasmi maadhimisho ya siku ya Wafanyakazi maarufu Mei Mosi kitaifa mjini Iringa.
Sasa Na wewe ume comments nini?
Au uonekane unajua Na wewe kuandika?
Habari ya JPM imefata nini hapa?!

Kuna WATU akili zenu sijuh mnaziweka wapi!.
Mnashindwa kufikiri .lipi ujibu lipi ukae kimya!.
Umepitwa kufikiri mpaka Na mtt wako wa mwisho!.
Kichwa kikubwa akili NUKTA!.
 
Sasa Na wewe ume comments nini?
Au uonekane unajua Na wewe kuandika?
Habari ya JPM imefata nini hapa?!

Kuna WATU akili zenu sijuh mnaziweka wapi!.
Mnashindwa kufikiri .lipi ujibu lipi ukae kimya!.
Umepitwa kufikiri mpaka Na mtt wako wa mwisho!.
Kichwa kikubwa akili NUKTA!.
Lakini mimi ndiyo niliyemfanya bi mkubwa wako akajifungua wewe nategemea baadaye utatafuta na akili ya bi mkubwa wako imekalia wapi hii ndiyo dunia kijana.
 
Lakini mimi ndiyo niliyemfanya bi mkubwa wako akajifungua wewe nategemea baadaye utatafuta na akili ya bi mkubwa wako imekalia wapi hii ndiyo dunia kijana.
Naona nikiendelea kujibizana Na wewe
Nitaonekana mpumbavu Na kujishushia heshima yangu humu jukwaani niliyoijenga kwa muda wa miaka 6!.

Pole kijana!. Labda kwa kukuambia kuwa huna hadhi ya kuwa marehemu Mzee wangu!.
 
Naona nikiendelea kujibizana Na wewe
Nitaonekana mpumbavu Na kujishushia heshima yangu humu jukwaani niliyoijenga kwa muda wa miaka 6!.

Pole kijana!. Labda kwa kukuambia kuwa huna hadhi ya kuwa marehemu Mzee wangu!.
Sasa wewe na bi mkubwa wako nani anayemjua baba yako mbona unamtusi bi mkubwa wako hadharani ninyi watoto wa miaka hii mna akili za namna gani?
 
"Mheshimiwa *John Heche* na Wana Tarime jihadharini. Wale vijana watesi waliokuwa wametumwa Mwanza kuwateka vijana wetu wawili wakawakosa, Saa Saba usiku wa kuamkia leo wameelekea Tarime".

"Ni Vijana watatu wanatumia Gari aina ya *Noah Silver T494 DDU*. Wanafuatilia Press Conference na wanamvizia *Chacha Heche* Katibu wa CHADEMA Mkoa wa Mara na mdogo wa John Heche".
Ben Saanane anakunywa chai na marafiki zake vijiweni
 
Haahaa yuko uswis Huyu, wabongo banna kwani ukiwa ukimbizini una lazimika kutoa kitu kipya kila siku?ana yajua ya Talime haahaa naona wame amua kujikimu kwa style hii hawa diaspora wetu. Ulaya Hanna kutegea ila mazombi wanao mfollow wako bongo
 
Ni tahadhali nzuri ili mtu awe makini. Ila ninashindwa kuelewa, ni kwa nn hizi taarifa wahusika wasipewe kwa siri ili ikiwezekana hao wanaotumwa kuua wadhibitiwe na ikibidi wachomwe moto kabla ya kuleta madhara?

Sasa unatangaza in-public ili iweje, huoni kama hao watu watasitisha mpango wao kwa sasa na kupanga siku nyingine? Huko CDM kuna watu makini sana lakini sijui mnatuonaje, this is rubbish.

Dawa ya hawa wauaji ni kukamata mmoja baada ya mwingine na kuwaua pia kimya kimya, sasa maajabu unaleta hii hbr hapa, ili isaidie nn maana hawa washenzi wataendelea na mauaji hata kama si leo. Naona kama ni upuuzi tu wa bwana Ngurumo ili kutafuta huruma ya wananchi japo naamini kweli alitishiwa kupotezwa otherwise asingekimbia nchi
Mkuu, wahusika wanafuatiliwa mawasiliano yao
 
Back
Top Bottom