Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
swali kuntu!Kiranga we ni noma!ahahahaKichaa ana uchaguzi gani wa kumtafuta Mungu?
Kwa kuanzia Soma biblia Takatifu kitabu cha Yoh. 1:1,5.(nguvu kiimani ni neno litokalo kwa Mungu).Kutembea juu ya maji nguvu imeundaje object..? vilevile na kupaa kwa mtume nguvu imeundaje..? object
oel200e
mkuu asante kwa udadavuzi wako lkn kama wewe unaamini ktk Mungu kwanini usinipe majibu tu..?
Unaweza kuthibitisha Mola yupo na huumba kwa kusema tu na hizo si hadithi tu?Wanasayansi wameshindwa kuelezea chanzo cha ulimwengu na vilivyomo,zaidi ya kutoa madai.
Mola huumba kwa kusema "Kuwa",basi kitu kinakuwa.
Sasa hiyo imani nayo, kujua umani ipi ni nzuri na ipi ni mbaya unatumia nini kujua?Usije kupoteza muda hata siku moja ukataka kuelezewa chanzo cha ulimwengu kisayansi,wanasayansi wanatumia dhana.
Pia kuna vitu vingine kwa kutumi akili na milango ya fahamu peke yake huwezi kuvidiriki katu.
Hapa inafanya kazi ni IMANI.
Ulitaka niseme hujajibu kabla sijauliza swali?Kumbe umeuliza katika post niliyonukuu! sasa iweje uulize swali na hapo hapo useme sijajibu?
Unafahamu kusema nguvu "hawezi" ni kujichanganya?Upendo ni nini kwako? Kujua na Kuweza yote ni nini kwako? Msingi wa hoja yako ni dhaifu kwani nilishakuambia Mungu HAWEZI kufanya upumbavu. Pia kama ungekuwa unalenga kujifunza ungekumbuka kuwa nilikuambia, Upendo ni tokeo la Kutii sheria za Mungu, wala si kugawa chakula kwa masikini na wagonjwa ILA TU KAMA UNATII SHERIA YA MUNGU.
Upendo si kumuumba tu binadamu like robot je ni zao la sheria? Ipi ni tofauti ya nafasi ya binadamu na Ujumbe vingine ulimwenguni?
Kwa sheria na nguvu ulimwengu ulifanyika UWEZO JUU YA ULIMWENGU , kwa sheria na nguvu ulimwengu unaishi UPENDO, kwa Upendo ulimwengu unadumu KUSUDIO/KUDRA.
Anaita sasa.
Sasa hiyo imani nayo, kujua umani ipi ni nzuri na ipi ni mbaya unatumia nini kujua?
Makalio?
Unatumia makalio kujua imani mbaya kutokana na ile mbaya.Unatumia makalio mzee kujua imani ipi ni mbaya kutokana na ile mbaya.
Nimekujibu kama ulivyoniuliza mzee ? Au umesahau nini swali lako? Rejea swali lako.Unatumia makalio kujua imani mbaya kutokana na ile mbaya.
No wonder unaamini Mungu yupo.
Unafahamu maana ya swali ni nini?Nimekujibu kama ulivyoniuliza mzee ? Au umesahau nini swali lako? Rejea swali lako.
Nina fahamu maana ya swali na nina elimu ya vipi nijibu maswali na wakati gani nijibu na wakati gani nisijibu.Unafahamu maana ya swali ni nini?
Sitegemei ufahamu. Unatumia makalio kufikiri.
Hujamaliza. Wewe huna haki ya kumaliza mjadala ambao haukuhusu wewe tu.Nina fahamu maana ya swali na nina elimu ya vipi nijibu maswali na wakati gani nijibu na wakati gani nisijibu.
Wasomi wetu wanasema "Bora ufanye mazungumzo na wajuzi elfu mtafikia muafaka kuliko kufanya mazungumzo na mjinga mmoja mtakwazana"
Nimekupa haki yako mzee.Kwa hapa nimefunga mazungumza na wewe.
Kisha nimekupa amani.Nimemaliza.
Sasa kama hata hujui ulimwengu umefanyikaje, ni wazi hata msingi wa hoja zako ni batili. Hujui unachokisema ama unakana kwa makusudi ili kuendeleza ubishi.Mimi sijui ulimwengu umefanyikaje, nataka kuangalia uwezekano wa unachosema, kama ni kitu kinachowezekana kimantiki au hakiwezekani.
Katika kuangalia kama kinawezekana au hakiwezekani, nataka kuijua hiyo asili na nguvu ikoje ili niipime vizuri.
Moja ya kitu kitakachonisaidia kuipima vizuri, ni kujua kama hiyo asili ina upendo au haina.
Ndiyo maana nikakuuliza, hiyo asili ina upendo au haina?
Kwa nini swali hili linakuwa gumu sana kwako kujibu?
Sasa kama hata hujui ulimwengu umefanyikaje, ni wazi hata msingi wa hoja zako ni batili. Hujui unachokisema ama unakana kwa makusudi ili kuendeleza ubishi.
Mungu ni Nguvu na Sheria zilizofanya Ulimwengu, sifa ya kwanza ya hiyo asili, ni yenyewe ndio The Creator, mengine yanafuata. Hii ni hatua ya kwanza ya kukuelewesha, jibu kama unatambua uwepo wa Asili iwe yenye upendo ama laa. Unachoogopa ni nini hasa? Dhamira yako ni ipi hasa, je kuongeza maarifa au kuendelea kubaki kuwa mpingaji tu siku zote?
Hakuna swali gumu utoalo, ila tu unapaswa kuelekezwa kwa hatua, nataka tuanze hapo kwanza, kumbuka mimi ndiye nitakaye kukuelekeza.
Mfano wako ni batili kabisa ndugu, kwa madai yako ya kutojua ulimwengu umefanyikaje ni sawa na kutojua square root nini, ajabu ukaambiwa square root ya 2 ni 5 ukaanza kupinga wakati hujui square root ni nini.Nitarudi kwenye hesabu, hesabu inafanya mambo yenye longolongo nyingi kuwa clear.
Umeema kama sijui ulimwengu umefanyikaje, msingi wa hoja zangu ni batili.
Kimsingi unachoniambia ni kwamba "kama hujui square root ya mbili ni nini, msingi wa kukataa kwamba square root ya mbili ni kumi ni batili".
Si kweli.
Sihitaji kujua jibu la swali ili kujua kwamba jibu fulani ni batili.
Naweza kuwa sijui square root ya mbili ni nini. Lakini nikajua kwamba square root ya mbili ni lazima iwe ndogo kuliko mbili, hivyo jibu lolote lililo kubwa kuliko mbili ni batili.
Naweza kulijua jibu batili bila hata ya kujua jibu ni nini.
By the way, unafahamu square root ni nini?
Nisije kuwa na assume tu unafahamu square root ni nini wakati hata hujui square root ni nini.
Mfano wako ni batili kabisa ndugu, kwa madai yako ya kutojua ulimwengu umefanyikaje ni sawa na kutojua square root nini, ajabu ukaambiwa square root ya 2 ni 5 ukaanza kupinga wakati hujui square root ni nini.
Duuuuuh nakumbuka mwl wangu na hizo habari za Vipeo na Vipeuo, vilinisumbua sana kwa kweli.