Nguvu inayotumika kupambanua ni ushahidi tosha kuwa Mkataba wa Bandari una walakini

Nguvu inayotumika kupambanua ni ushahidi tosha kuwa Mkataba wa Bandari una walakini

VUTA-NKUVUTE

JF-Expert Member
Joined
Nov 25, 2010
Posts
6,137
Reaction score
17,908
Kila uchao, viongozi wanapishana hadi kugongana kwenye kuwahi 'kuuchambua' na 'kuupambanua' mkataba wa ukodishwaji wa Bandari kati ya Tanzania na Emirati kupitia DP World. Mkataba ulishasainiwa na kuidhinishwa na Bunge. Umebaki utekelezaji tu. Lakini, kelele za wananchi juu ya mkataba huo haziishi.

Viongozi, wakiongozwa na Waziri wa Uchukuzi Profesa Makame Mbarawa na Msemaji Mkuu wa Serikali Gerson Msigwa, wamekuwa wakipambania 'kueleweka' juu ya mkataba huo. Wanapojibanza ni faida tutakazozipata kama taifa. Hawagusi kabisa hatari na hasara za kimkataba tutakazozipata kama taifa.

Wanaelezwa viongozi wa dini; wanafafanuliwa watu wa chini; wanaandikiwa watu wa mtandaoni; wanaambiwa watu wa redioni; wanaoneshwa watu runingani lakini mambo bado ni magumu. Kila mtanzania anayejaribu kuuchambua mkataba huo (kupitia inayoitwa nakala ya mtandaoni), hakubaliani na mkataba huo.

Viongozi wa chama na Serikali wanaeleza lakini ni kama wanabezwa; wanasema kwa kuhema lakini ho0ja zao hazisikiki ipasavyo. Wanaonekana 'wamekatiwa' kitu kidogo. Wananchi na viongozi hadi wa dini hawatosheki na maelezo juu ya mkataba huo. Lakini, nguvu kubwa inatumika kuuelezea bila mafanikio.

Tunajua kuwa mkataba mtautekeleza. Tunajua kuwa mkataba ulishaanza kazi yake. Tunajua kuwa hata mikataba itakayozaliwa na huu wa sasa itakuwa na ukakasi halisi na mikali kama fisi. Tunajua kuwa maoni yetu hayatafua dafu kwenu wakuu wetu. Lakini, amini nawaambia, watanzania wameshasajili jambo hili mioyoni mwao.

Hakika, nguvu kubwa inayotumika kuuelezea mkataba huu wa DP World (ulioibuliwa bila idhini ya Serikali na baadaye kufanywa kama public document) ni kilelezo na ushahidi tosha kuwa mkataba huu una walakini mkubwa.

Sauti iliayo nyikani!

Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Chato, Geita)
 
Bandari zetu wamepewa maharamia wa kiarabu, tena mbaya zaidi wakajaribu kutudanganya ule mkataba unahusisha bandari ya Dsm, kwa gati namba 5-8 pekee, wakati ukweli sio huo.

Ukweli ni kwamba, bandari zote Tanganyika amepewa mwarabu, za bahari na maziwa, tena kwa mkataba usio na kikomo, hivi wewe mtanganyika kweli unaweza vipi kukaa kimya, au kuwa upande wa wanyonyaji, kwenye jambo muhimu kama hili kwa mustakabali wa vizazi vyetu?

Hapana aisee, nasema haiwezekani, mwarabu muhimu atuachie bandari zetu watanganyika, hata kama atatuumiza kwenye fidia tutakazomlipa kwa sababu ya makubaliano ya hovyo waliyoingia kati ya mwarabu, na serikali ya mkoloni wa Tanganyika.
 
Kila uchao, viongozi wanapishana hadi kugongana kwenye kuwahi 'kuuchambua' na 'kuupambanua' mkataba wa ukodishwaji wa Bandari kati ya Tanzania na Emirati kupitia DP World. Mkataba ulishasainiwa na kuidhinishwa na Bunge. Umebaki utekelezaji tu. Lakini, kelele za wananchi juu ya mkataba huo haziishi.

Viongozi, wakiongozwa na Waziri wa Uchukuzi Profesa Makame Mbarawa na Msemaji Mkuu wa Serikali Gerson Msigwa, wamekuwa wakipambania 'kueleweka' juu ya mkataba huo. Wanapojibanza ni faida tutakazozipata kama taifa. Hawagusi kabisa hatari na hasara za kimkataba tutakazozipata kama taifa.

Wanaelezwa viongozi wa dini; wanafafanuliwa watu wa chini; wanaandikiwa watu wa mtandaoni; wanaambiwa watu wa redioni; wanaoneshwa watu runingani lakini mambo bado ni magumu. Kila mtanzania anayejaribu kuuchambua mkataba huo (kupitia inayoitwa nakala ya mtandaoni), hakubaliani na mkataba huo.

Viongozi wa chama na Serikali wanaeleza lakini ni kama wanabezwa; wanasema kwa kuhema lakini ho0ja zao hazisikiki ipasavyo. Wanaonekana 'wamekatiwa' kitu kidogo. Wananchi na viongozi hadi wa dini hawatosheki na maelezo juu ya mkataba huo. Lakini, nguvu kubwa inatumika kuuelezea bila mafanikio.

Tunajua kuwa mkataba mtautekeleza. Tunajua kuwa mkataba ulishaanza kazi yake. Tunajua kuwa hata mikataba itakayozaliwa na huu wa sasa itakuwa na ukakasi halisi na mikali kama fisi. Tunajua kuwa maoni yetu hayatafua dafu kwenu wakuu wetu. Lakini, amini nawaambia, watanzania wameshasajili jambo hili mioyoni mwao.

Hakika, nguvu kubwa inayotumika kuuelezea mkataba huu wa DP World (ulioibuliwa bila idhini ya Serikali na baadaye kufanywa kama public document) ni kilelezo na ushahidi tosha kuwa mkataba huu una walakini mkubwa.

Sauti iliayo nyikani!

Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Chato, Geita)
Kwa hiyo kama mkataba una maslahi ya Taifa usipiganiwe?
 
Kila uchao, viongozi wanapishana hadi kugongana kwenye kuwahi 'kuuchambua' na 'kuupambanua' mkataba wa ukodishwaji wa Bandari kati ya Tanzania na Emirati kupitia DP World. Mkataba ulishasainiwa na kuidhinishwa na Bunge. Umebaki utekelezaji tu. Lakini, kelele za wananchi juu ya mkataba huo haziishi.

Viongozi, wakiongozwa na Waziri wa Uchukuzi Profesa Makame Mbarawa na Msemaji Mkuu wa Serikali Gerson Msigwa, wamekuwa wakipambania 'kueleweka' juu ya mkataba huo. Wanapojibanza ni faida tutakazozipata kama taifa. Hawagusi kabisa hatari na hasara za kimkataba tutakazozipata kama taifa.

Wanaelezwa viongozi wa dini; wanafafanuliwa watu wa chini; wanaandikiwa watu wa mtandaoni; wanaambiwa watu wa redioni; wanaoneshwa watu runingani lakini mambo bado ni magumu. Kila mtanzania anayejaribu kuuchambua mkataba huo (kupitia inayoitwa nakala ya mtandaoni), hakubaliani na mkataba huo.

Viongozi wa chama na Serikali wanaeleza lakini ni kama wanabezwa; wanasema kwa kuhema lakini ho0ja zao hazisikiki ipasavyo. Wanaonekana 'wamekatiwa' kitu kidogo. Wananchi na viongozi hadi wa dini hawatosheki na maelezo juu ya mkataba huo. Lakini, nguvu kubwa inatumika kuuelezea bila mafanikio.

Tunajua kuwa mkataba mtautekeleza. Tunajua kuwa mkataba ulishaanza kazi yake. Tunajua kuwa hata mikataba itakayozaliwa na huu wa sasa itakuwa na ukakasi halisi na mikali kama fisi. Tunajua kuwa maoni yetu hayatafua dafu kwenu wakuu wetu. Lakini, amini nawaambia, watanzania wameshasajili jambo hili mioyoni mwao.

Hakika, nguvu kubwa inayotumika kuuelezea mkataba huu wa DP World (ulioibuliwa bila idhini ya Serikali na baadaye kufanywa kama public document) ni kilelezo na ushahidi tosha kuwa mkataba huu una walakini mkubwa.

Sauti iliayo nyikani!

Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Chato, Geita)
Samia anaweka rekodi ya kuwa rais wa kwanza mwanamke mwenye harufu ya ufisadi
 
Kila uchao, viongozi wanapishana hadi kugongana kwenye kuwahi 'kuuchambua' na 'kuupambanua' mkataba wa ukodishwaji wa Bandari kati ya Tanzania na Emirati kupitia DP World. Mkataba ulishasainiwa na kuidhinishwa na Bunge. Umebaki utekelezaji tu. Lakini, kelele za wananchi juu ya mkataba huo haziishi.

Viongozi, wakiongozwa na Waziri wa Uchukuzi Profesa Makame Mbarawa na Msemaji Mkuu wa Serikali Gerson Msigwa, wamekuwa wakipambania 'kueleweka' juu ya mkataba huo. Wanapojibanza ni faida tutakazozipata kama taifa. Hawagusi kabisa hatari na hasara za kimkataba tutakazozipata kama taifa.

Wanaelezwa viongozi wa dini; wanafafanuliwa watu wa chini; wanaandikiwa watu wa mtandaoni; wanaambiwa watu wa redioni; wanaoneshwa watu runingani lakini mambo bado ni magumu. Kila mtanzania anayejaribu kuuchambua mkataba huo (kupitia inayoitwa nakala ya mtandaoni), hakubaliani na mkataba huo.

Viongozi wa chama na Serikali wanaeleza lakini ni kama wanabezwa; wanasema kwa kuhema lakini ho0ja zao hazisikiki ipasavyo. Wanaonekana 'wamekatiwa' kitu kidogo. Wananchi na viongozi hadi wa dini hawatosheki na maelezo juu ya mkataba huo. Lakini, nguvu kubwa inatumika kuuelezea bila mafanikio.

Tunajua kuwa mkataba mtautekeleza. Tunajua kuwa mkataba ulishaanza kazi yake. Tunajua kuwa hata mikataba itakayozaliwa na huu wa sasa itakuwa na ukakasi halisi na mikali kama fisi. Tunajua kuwa maoni yetu hayatafua dafu kwenu wakuu wetu. Lakini, amini nawaambia, watanzania wameshasajili jambo hili mioyoni mwao.

Hakika, nguvu kubwa inayotumika kuuelezea mkataba huu wa DP World (ulioibuliwa bila idhini ya Serikali na baadaye kufanywa kama public document) ni kilelezo na ushahidi tosha kuwa mkataba huu una walakini mkubwa.

Sauti iliayo nyikani!

Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Chato, Geita)
Umechelewa sana kutoa Neno. Faizafox akatawala hoja
 
Kila uchao, viongozi wanapishana hadi kugongana kwenye kuwahi 'kuuchambua' na 'kuupambanua' mkataba wa ukodishwaji wa Bandari kati ya Tanzania na Emirati kupitia DP World. Mkataba ulishasainiwa na kuidhinishwa na Bunge. Umebaki utekelezaji tu. Lakini, kelele za wananchi juu ya mkataba huo haziishi.

Viongozi, wakiongozwa na Waziri wa Uchukuzi Profesa Makame Mbarawa na Msemaji Mkuu wa Serikali Gerson Msigwa, wamekuwa wakipambania 'kueleweka' juu ya mkataba huo. Wanapojibanza ni faida tutakazozipata kama taifa. Hawagusi kabisa hatari na hasara za kimkataba tutakazozipata kama taifa.

Wanaelezwa viongozi wa dini; wanafafanuliwa watu wa chini; wanaandikiwa watu wa mtandaoni; wanaambiwa watu wa redioni; wanaoneshwa watu runingani lakini mambo bado ni magumu. Kila mtanzania anayejaribu kuuchambua mkataba huo (kupitia inayoitwa nakala ya mtandaoni), hakubaliani na mkataba huo.

Viongozi wa chama na Serikali wanaeleza lakini ni kama wanabezwa; wanasema kwa kuhema lakini ho0ja zao hazisikiki ipasavyo. Wanaonekana 'wamekatiwa' kitu kidogo. Wananchi na viongozi hadi wa dini hawatosheki na maelezo juu ya mkataba huo. Lakini, nguvu kubwa inatumika kuuelezea bila mafanikio.

Tunajua kuwa mkataba mtautekeleza. Tunajua kuwa mkataba ulishaanza kazi yake. Tunajua kuwa hata mikataba itakayozaliwa na huu wa sasa itakuwa na ukakasi halisi na mikali kama fisi. Tunajua kuwa maoni yetu hayatafua dafu kwenu wakuu wetu. Lakini, amini nawaambia, watanzania wameshasajili jambo hili mioyoni mwao.

Hakika, nguvu kubwa inayotumika kuuelezea mkataba huu wa DP World (ulioibuliwa bila idhini ya Serikali na baadaye kufanywa kama public document) ni kilelezo na ushahidi tosha kuwa mkataba huu una walakini mkubwa.

Sauti iliayo nyikani!

Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Chato, Geita)
Unaweza kuwa unatumika kwa wewe mwenyewe kujua au kutojua. Huo sio mkataba wa kwanza kupita njia ulizopita mpaka jamii ikaufahamu.
 
Kila uchao, viongozi wanapishana hadi kugongana kwenye kuwahi 'kuuchambua' na 'kuupambanua' mkataba wa ukodishwaji wa Bandari kati ya Tanzania na Emirati kupitia DP World. Mkataba ulishasainiwa na kuidhinishwa na Bunge. Umebaki utekelezaji tu. Lakini, kelele za wananchi juu ya mkataba huo haziishi.

Viongozi, wakiongozwa na Waziri wa Uchukuzi Profesa Makame Mbarawa na Msemaji Mkuu wa Serikali Gerson Msigwa, wamekuwa wakipambania 'kueleweka' juu ya mkataba huo. Wanapojibanza ni faida tutakazozipata kama taifa. Hawagusi kabisa hatari na hasara za kimkataba tutakazozipata kama taifa.

Wanaelezwa viongozi wa dini; wanafafanuliwa watu wa chini; wanaandikiwa watu wa mtandaoni; wanaambiwa watu wa redioni; wanaoneshwa watu runingani lakini mambo bado ni magumu. Kila mtanzania anayejaribu kuuchambua mkataba huo (kupitia inayoitwa nakala ya mtandaoni), hakubaliani na mkataba huo.

Viongozi wa chama na Serikali wanaeleza lakini ni kama wanabezwa; wanasema kwa kuhema lakini ho0ja zao hazisikiki ipasavyo. Wanaonekana 'wamekatiwa' kitu kidogo. Wananchi na viongozi hadi wa dini hawatosheki na maelezo juu ya mkataba huo. Lakini, nguvu kubwa inatumika kuuelezea bila mafanikio.

Tunajua kuwa mkataba mtautekeleza. Tunajua kuwa mkataba ulishaanza kazi yake. Tunajua kuwa hata mikataba itakayozaliwa na huu wa sasa itakuwa na ukakasi halisi na mikali kama fisi. Tunajua kuwa maoni yetu hayatafua dafu kwenu wakuu wetu. Lakini, amini nawaambia, watanzania wameshasajili jambo hili mioyoni mwao.

Hakika, nguvu kubwa inayotumika kuuelezea mkataba huu wa DP World (ulioibuliwa bila idhini ya Serikali na baadaye kufanywa kama public document) ni kilelezo na ushahidi tosha kuwa mkataba huu una walakini mkubwa.

Sauti iliayo nyikani!

Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Chato, Geita)
Vipi kuhusu nguvu inayotumika kuupotosha?
 
Nimemsikiliza Prof Mkumbo kwenye Mjadala wa Kitaifa: Kulinda na Kuendeleza Umoja wa Kitaifa akitetea Bunge kuridhia Mkataba wa Makubaliano ya kushirikiana (IGA) kati ya JMT na Dubai. Kwa herufi kubwa napingana naye.



Bila kumng'unya maneno namwita CHAWA. Sababu zangu kuu 2 ni kama ifuatavyo:
1) Sera ya CCM Serikali haijihusishi na shughuli za biashara moja kwa moja isipokuwa kuwezesha.
2) Amedai DPW itajisajiri kwa BRELA kama makampuni yote ya ndani nje.

Tuna kampuni nyingi tu za kigeni, ambazo zimewekeza Tanzania, kwa mitaji mikubwa (km kampuni za uchimbaji madini), lakini nchi zao hazikuingia Mikataba ya IGA yenye masharti kama huo wa Bandari. Kuna nini nyuma ya Mkataba hadi DPW iwekeze nchini kwa kivuli na nguvu ya nchi yao? Mawanda yote ya Mkataba yanalinda maslahi ya DPW na kuipa nguvu kubwa kama nchi.
 
Kila uchao, viongozi wanapishana hadi kugongana kwenye kuwahi 'kuuchambua' na 'kuupambanua' mkataba wa ukodishwaji wa Bandari kati ya Tanzania na Emirati kupitia DP World. Mkataba ulishasainiwa na kuidhinishwa na Bunge. Umebaki utekelezaji tu. Lakini, kelele za wananchi juu ya mkataba huo haziishi.

Viongozi, wakiongozwa na Waziri wa Uchukuzi Profesa Makame Mbarawa na Msemaji Mkuu wa Serikali Gerson Msigwa, wamekuwa wakipambania 'kueleweka' juu ya mkataba huo. Wanapojibanza ni faida tutakazozipata kama taifa. Hawagusi kabisa hatari na hasara za kimkataba tutakazozipata kama taifa.

Wanaelezwa viongozi wa dini; wanafafanuliwa watu wa chini; wanaandikiwa watu wa mtandaoni; wanaambiwa watu wa redioni; wanaoneshwa watu runingani lakini mambo bado ni magumu. Kila mtanzania anayejaribu kuuchambua mkataba huo (kupitia inayoitwa nakala ya mtandaoni), hakubaliani na mkataba huo.

Viongozi wa chama na Serikali wanaeleza lakini ni kama wanabezwa; wanasema kwa kuhema lakini ho0ja zao hazisikiki ipasavyo. Wanaonekana 'wamekatiwa' kitu kidogo. Wananchi na viongozi hadi wa dini hawatosheki na maelezo juu ya mkataba huo. Lakini, nguvu kubwa inatumika kuuelezea bila mafanikio.

Tunajua kuwa mkataba mtautekeleza. Tunajua kuwa mkataba ulishaanza kazi yake. Tunajua kuwa hata mikataba itakayozaliwa na huu wa sasa itakuwa na ukakasi halisi na mikali kama fisi. Tunajua kuwa maoni yetu hayatafua dafu kwenu wakuu wetu. Lakini, amini nawaambia, watanzania wameshasajili jambo hili mioyoni mwao.

Hakika, nguvu kubwa inayotumika kuuelezea mkataba huu wa DP World (ulioibuliwa bila idhini ya Serikali na baadaye kufanywa kama public document) ni kilelezo na ushahidi tosha kuwa mkataba huu una walakini mkubwa.

Sauti iliayo nyikani!

Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Chato, Geita)
Kweli kabisa, na Mi nawambia wajiandae kuzurula na washangiliaji 300 kila kiongozi wao atapoenda, maana kuanzia sasa mizomewo au kutoshangiliwa kumeanza rasmi... Ndio wajue tushaamua jambo letu moyoni🤣🤣
 
Bandari zetu wamepewa maharamia wa kiarabu, tena mbaya zaidi wakajaribu kutudanganya ule mkataba unahusisha bandari ya Dsm, kwa gati namba 5-8 pekee, wakati ukweli sio huo.

Ukweli ni kwamba, bandari zote Tanganyika amepewa mwarabu, za bahari na maziwa, tena kwa mkataba usio na kikomo, hivi wewe mtanganyika kweli unaweza vipi kukaa kimya, au kuwa upande wa wanyonyaji, kwenye jambo muhimu kama hili kwa mustakabali wa vizazi vyetu?

Hapana aisee, nasema haiwezekani, mwarabu muhimu atuachie bandari zetu watanganyika, hata kama atatuumiza kwenye fidia tutakazomlipa kwa sababu ya makubaliano ya hovyo waliyoingia kati ya mwarabu, na serikali ya mkoloni wa Tanganyika.
Huku ni kumleta Mwarabu atutawale kwa mara ya pili kwenye ardhi yetu wenyewe.
 
Tunajua kuwa mkataba mtautekeleza. Tunajua kuwa mkataba ulishaanza kazi yake. Tunajua kuwa hata mikataba itakayozaliwa na huu wa sasa itakuwa na ukakasi halisi na mikali kama fisi. Tunajua kuwa maoni yetu hayatafua dafu kwenu wakuu wetu. Lakini, amini nawaambia, watanzania wameshasajili jambo hili mioyoni mwao.​
 
Back
Top Bottom