Samiaagain2025
JF-Expert Member
- Dec 2, 2020
- 3,626
- 3,869
Unaelewa maana ya maslahi ya Taifa?.Au unaandika ujinga tu.
Kwa hiyo kama mkataba una maslahi ya Taifa usipiganiwe?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hiyo kama mkataba una maslahi ya Taifa usipiganiwe?
Ni mkataba wa kihuni kabisa unaoweza kusainiwa na mtu punguani tu au fisadi wa kimataifa. Soma Article 14 (2) hasa kifungu cha (iii)mkataba unasema Tanzania itaijulisha Dubai juu ya fursa zozote zilizopo, na zitakazokuwepo, hili ni tusi kubwa sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu, wengine hatuna huo mkataba. Tuwekee hapa.Ni mkataba wa kihuni kabisa unaoweza kusainiwa na mtu punguani tu au fisadi wa kimataifa. Soma Article 14 (2) hasa kifungu cha (iii)
Huu hapaView attachment AZIMIO LA BANDARI.pdfMkuu, wengine hatuna huo mkataba. Tuwekee hapa.