Nguvu kazi ya Tanzania ni Milioni 25

Nguvu kazi ya Tanzania ni Milioni 25

Kidagaa kimemwozea

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2018
Posts
3,680
Reaction score
6,554
Watu wengi hawafuatilii takwimu na hawa ndio wanapiga kelele kuwa Tanzania sii nchi maskini inayohitaji misaada na mikopo. Je unajua kati ya watanzania Milion 65, ni watanzania milion 25.7 pekee ndio wenye uwezo wa kufanya kazi ya kujiingizia kipato? Nikiwa na maana hao wengine wanaobaki hawawezi kutumika kama nguvu kazi. Kwenye hiyo milion 25 toa hapo vijana wavivu na wale wasio na kazi maalumu(job less) pia toa hapo baadhi ya wanawake wanaoamini kufanya kazi sio jukumu lao (ukizingatia wanawake wametuzidi kidogo kwa idadi)

Katika hiyo nguvu kazi ya milion 25, ni watanzania milioni 4 pekee waliosajiliwa kama walipa kodi wa moja kwa moja.
Kwa ufupi Tanzania tunahitaji nguvu ya ziada kuondoka katika utegemezi
 
Watu wengi hawafuatilii takwimu na hawa ndio wanapiga kelele kuwa Tanzania sii nchi maskini inayohitaji misaada na mikopo. Je unajua kati ya watanzania Milion 65, ni watanzania milion 25.7 pekee ndio wenye uwezo wa kufanya kazi ya kujiingizia kipato? Nikiwa na maana hao wengine wanaobaki hawawezi kutumika kama nguvu kazi. Kwenye hiyo milion 25 toa hapo vijana wavivu na wale wasio na kazi maalumu(job less) pia toa hapo baadhi ya wanawake wanaoamini kufanya kazi sio jukumu lao (ukizingatia wanawake wametuzidi kidogo kwa idadi)

Katika hiyo nguvu kazi ya milion 25, ni watanzania milioni 4 pekee waliosajiliwa kama walipa kodi wa moja kwa moja.
Kwa ufupi Tanzania tunahitaji nguvu ya ziada kuondoka katika utegemezi
Naona unapambana sana kuonesha misaada ni muhimu kwetu kuliko kujisimamia wenyewe.
Je, hawa masikini milioni 49.3 wasioweza kuishi bila misaada wanaishije wakati misaada inayokuja sasa haiwafikii hata kwa 50% ingali wanaishi?
Kama mmekopa zaidi ya Tsh trillion 35 na maisha yanazidi kuwa magumu hii misaada ndio itasaidia nini?

Mpumbavu hata umtwange kwenye kinu mpumbavu wake haumtoki! Hapa nimekujibu tu lakini najua akili yako inawaza misaada tu huwezi kufikiri kwa usahihi.

Mh Magufuli ndio alikuwa na maono ya hii nchi sema hatukumuelewa.

Unatuambia watu milioni 49.3 hawawezi kufanya kazi ya kujiingizia kipato wakati vijana kwa wamama, wababa mpaka wazee wanatafuta shughuli za kufanya hawapati. Ninyi kazi yenu ni kutapanya hela tu kitu ambacho mngekua wazalendo mngeweza kutumia hata nusu ya pesa mnazotapanya kutengeneza ajira lukuki

Bora kusiwe na misaada muanze kutuongezea kodi kila mahal huenda watanzania wakachukua hatua fulani ya kueleweka
 
Naona unapambana sana kuonesha misaada ni muhimu kwetu kuliko kujisimamia wenyewe.
Je, hawa masikini milioni 49.3 wasioweza kuishi bila misaada wanaishije wakati misaada inayokuja sasa haiwafikii hata kwa 50% ingali wanaishi?
Kama mmekopa zaidi ya Tsh trillion 35 na maisha yanazidi kuwa magumu hii misaada ndio itasaidia nini?

Mpumbavu hata umtwange kwenye kinu mpumbavu wake haumtoki! Hapa nimekujibu tu lakini najua akili yako inawaza misaada tu huwezi kufikiri kwa usahihi.

Mh Magufuli ndio alikuwa na maono ya hii nchi sema hatukumuelewa.

Unatuambia watu milioni 49.3 hawawezi kufanya kazi ya kujiingizia kipato wakati vijana kwa wamama, wababa mpaka wazee wanatafuta shughuli za kufanya hawapati. Ninyi kazi yenu ni kutapanya hela tu kitu ambacho mngekua wazalendo mngeweza kutumia hata nusu ya pesa mnazotapanya kutengeneza ajira lukuki

Bora kusiwe na misaada muanze kutuongezea kodi kila mahal huenda watanzania wakachukua hatua fulani ya kueleweka
Soma tena kwa utaratibu mkuu
 
Nimesoma kwa makini. Unataka kumaanisha watanzania milioni 49.3 wanaishi kwa misaada ya mataifa mengine
Namaanisha hao watu wanaobaki wote tunaita population Tegemezi. Hapo kuna kundi kubwa la watoto, jobles , wanawake wasiofanya kazi , wazee na wenye shida mbalimbali
 
Watu wengi hawafuatilii takwimu na hawa ndio wanapiga kelele kuwa Tanzania sii nchi maskini inayohitaji misaada na mikopo. Je unajua kati ya watanzania Milion 65, ni watanzania milion 25.7 pekee ndio wenye uwezo wa kufanya kazi ya kujiingizia kipato? Nikiwa na maana hao wengine wanaobaki hawawezi kutumika kama nguvu kazi. Kwenye hiyo milion 25 toa hapo vijana wavivu na wale wasio na kazi maalumu(job less) pia toa hapo baadhi ya wanawake wanaoamini kufanya kazi sio jukumu lao (ukizingatia wanawake wametuzidi kidogo kwa idadi)

Katika hiyo nguvu kazi ya milion 25, ni watanzania milioni 4 pekee waliosajiliwa kama walipa kodi wa moja kwa moja.
Kwa ufupi Tanzania tunahitaji nguvu ya ziada kuondoka katika utegemezi
Siyo kweli hawawezi kuzidi 1.5M, sababu hata waliopo makazini ni uvivu tupu haswa watumishi wa serikali kati ya laki 8 nadhani sahivi wanafanya kazi ipasavyo hawazidi laki 2, sekta binafsi sawa, njoo sasa huku kwenye betting, Yanya na Simba, Pool table, kutafuta mademu, kukaa kwa ndugu n.k ndiyo kuna balaa zaidi
 
Namaanisha hao watu wanaobaki wote tunaita population Tegemezi. Hapo kuna kundi kubwa la watoto, jobles , wanawake wasiofanya kazi , wazee na wenye shida mbalimbali
Unadhani mataifa yanayoleta hicho unachoita msaada hayana masikini?
Au unadhani wanaleta hizo peremende kwakuwa wanatupenda? Au hujui kuna masharti yake au kuna milango tumewaachia wazi ndipo wanatudanganyia ili tuzidi kuchelewa safari yetu ambayo inatutaka sisi wenyewe tuianze?

Jaribu kuwa mwema kwa kupanda mbegu njema kwenye akili za watanzania ili hata vizazi vijavyo visije kutuona tulikuwa hatujakamilika katika uumbaji.
Fikiria leo hii usikie familia yako inakiri mdomoni kwamba hawataweza kusonga mbele pasipo msaada wa jirani, wakati huohuo jirani anaekupa msaada anakupa kidogo sana kuliko kile anachovuna kwako utajisikiaje? Jirani mwenyewe anakupa kwa masharti

Ukitaka ujue ubaya wa wanaoleta hiki unachoita msaada, siku tukiamua kupambana serious na matatizo yetu wataanza kutupiga vita. Unajua kwanini?
 
Unadhani mataifa yanayoleta hicho unachoita msaada hayana masikini?
Au unadhani wanaleta hizo peremende kwakuwa wanatupenda? Au hujui kuna masharti yake au kuna milango tumewaachia wazi ndipo wanatudanganyia ili tuzidi kuchelewa safari yetu ambayo inatutaka sisi wenyewe tuianze?

Jaribu kuwa mwema kwa kupanda mbegu njema kwenye akili za watanzania ili hata vizazi vijavyo visije kutuona tulikuwa hatujakamilika katika uumbaji.
Fikiria leo hii usikie familia yako inakiri mdomoni kwamba hawataweza kusonga mbele pasipo msaada wa jirani, wakati huohuo jirani anaekupa msaada anakupa kidogo sana kuliko kile anachovuna kwako utajisikiaje? Jirani mwenyewe anakupa kwa masharti

Ukitaka ujue ubaya wa wanaoleta hiki unachoita msaada, siku tukiamua kupambana serious na matatizo yetu wataanza kutupiga vita. Unajua kwanini?
🤣 wanao masikini ila sio wengi kama sisi. Tupambane tufikie levo za kutoa misaada na sisi huko ulaya
 
Unadhani mataifa yanayoleta hicho unachoita msaada hayana masikini?
Au unadhani wanaleta hizo peremende kwakuwa wanatupenda? Au hujui kuna masharti yake au kuna milango tumewaachia wazi ndipo wanatudanganyia ili tuzidi kuchelewa safari yetu ambayo inatutaka sisi wenyewe tuianze?

Jaribu kuwa mwema kwa kupanda mbegu njema kwenye akili za watanzania ili hata vizazi vijavyo visije kutuona tulikuwa hatujakamilika katika uumbaji.
Fikiria leo hii usikie familia yako inakiri mdomoni kwamba hawataweza kusonga mbele pasipo msaada wa jirani, wakati huohuo jirani anaekupa msaada anakupa kidogo sana kuliko kile anachovuna kwako utajisikiaje? Jirani mwenyewe anakupa kwa masharti

Ukitaka ujue ubaya wa wanaoleta hiki unachoita msaada, siku tukiamua kupambana serious na matatizo yetu wataanza kutupiga vita. Unajua kwanini?
Angalau robo ya watanzania wangekuwa na uelewa wa kiwango hiki basi tungejikomboa mapema sana, shida ya watanzania wengi akiwemo mleta mada hawataki kuaminika kbs kwamba Kuna kitu kiitwacho ubinafsi,ubadhirifu na ufisadi ndio vinatafuna taifa hili..kusoma hawajui hata picha hawaoni
 
Watu wengi hawafuatilii takwimu na hawa ndio wanapiga kelele kuwa Tanzania sii nchi maskini inayohitaji misaada na mikopo. Je unajua kati ya watanzania Milion 65, ni watanzania milion 25.7 pekee ndio wenye uwezo wa kufanya kazi ya kujiingizia kipato? Nikiwa na maana hao wengine wanaobaki hawawezi kutumika kama nguvu kazi. Kwenye hiyo milion 25 toa hapo vijana wavivu na wale wasio na kazi maalumu(job less) pia toa hapo baadhi ya wanawake wanaoamini kufanya kazi sio jukumu lao (ukizingatia wanawake wametuzidi kidogo kwa idadi)

Katika hiyo nguvu kazi ya milion 25, ni watanzania milioni 4 pekee waliosajiliwa kama walipa kodi wa moja kwa moja.
Kwa ufupi Tanzania tunahitaji nguvu ya ziada kuondoka katika utegemezi
Watanganyika walio wengi, kusifia ndio biashara yetu!

Sijajua tunafanya kazi muda Gani🙃
 

Attachments

  • VID-20250130-WA0027.mp4
    8.9 MB
  • VID-20250130-WA0007.mp4
    7 MB
  • VID-20250128-WA0033.mp4
    3.9 MB
  • VID-20250127-WA0059.mp4
    3.5 MB
  • VID-20250127-WA0072.mp4
    12.3 MB
  • VID-20250127-WA0066.mp4
    6.9 MB
Angalau robo ya watanzania wangekuwa na uelewa wa kiwango hiki basi tungejikomboa mapema sana, shida ya watanzania wengi akiwemo mleta mada hawataki kuaminika kbs kwamba Kuna kitu kiitwacho ubinafsi,ubadhirifu na ufisadi ndio vinatafuna taifa hili..kusoma hawajui hata picha hawaoni
ninatambua na kuheshimu misingi ya utawala bora. Nao nimuhimu katika.uchumi.lakini peke yake haitoshi kuleta maendeleo nchini bila kuwa.na kundi kubwa linaloweza kufanya kazi
 
Back
Top Bottom