Nguvu na uwezo alionao Malkia Elizabeth

Duh,,,,,,,hawa watu sijui wanakula nini aisee.
Na mimi huwa nashangaa naona vizee vingi mitaani ambao wengi ni zaidi ya miaka 80 lakini leo huku afrika kuona wazee wakongwe ni nadra yaani watu wanakufa bado wadogo.
Naona maradhi na maisha magumu yanachangia
 
Wanaoamini juu ya freemasonry, aliens, uchawi, ulozi, ushirikina ni watu wenye upeo Mdogo sana wa kufikiri sababu yote hayo hayapo.
usichanganye uchawi na alliens jambo vyote vinatekelezwa kwa minajiri ya kudanganya na kupotosha.
 
usichanganye uchawi na alliens jambo vyote vinatekelezwa kwa minajiri ya kudanganya na kupotosha.
Unajua matumizi ya alama ya mkato(,). Nimetumia alama ya mkato kama kiunganishi hivyo kila nilichotaja kinajitegemea from uchawi, ushirikina, ulozi, hadi extraterrestrials(aliens). Ninajua tofauti yao na yote kwa umoja wao hayapo ni story tu
 
kashtukia ndio

kashtukia ndio mana aliandaa mpango maalum wa kumwokoa binadamu.
Huo mpango wa vitisho kuwa usipompenda kama anavyokupenda atakuchoma moto for eternal life [emoji12] [emoji12]
 
Hayo yote mwisho wake hapa hapa duniani
 
Kwahiyo unataka kusema kama mzee wa msoga angekuwa malkia?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…