Nguvu na uwezo alionao Malkia Elizabeth

Nguvu na uwezo alionao Malkia Elizabeth

Duh,,,,,,,hawa watu sijui wanakula nini aisee.
Na mimi huwa nashangaa naona vizee vingi mitaani ambao wengi ni zaidi ya miaka 80 lakini leo huku afrika kuona wazee wakongwe ni nadra yaani watu wanakufa bado wadogo.
Naona maradhi na maisha magumu yanachangia
 
Wanaoamini juu ya freemasonry, aliens, uchawi, ulozi, ushirikina ni watu wenye upeo Mdogo sana wa kufikiri sababu yote hayo hayapo.
usichanganye uchawi na alliens jambo vyote vinatekelezwa kwa minajiri ya kudanganya na kupotosha.
 
usichanganye uchawi na alliens jambo vyote vinatekelezwa kwa minajiri ya kudanganya na kupotosha.
Unajua matumizi ya alama ya mkato(,). Nimetumia alama ya mkato kama kiunganishi hivyo kila nilichotaja kinajitegemea from uchawi, ushirikina, ulozi, hadi extraterrestrials(aliens). Ninajua tofauti yao na yote kwa umoja wao hayapo ni story tu
 
kashtukia ndio

kashtukia ndio mana aliandaa mpango maalum wa kumwokoa binadamu.
Huo mpango wa vitisho kuwa usipompenda kama anavyokupenda atakuchoma moto for eternal life [emoji12] [emoji12]
 
1. Haitaji leseni ya gari, huendesha bila leseni

2.Husafiri bila passport nje ya nchi

3.Huwa anasherehekea siku ya kuzaliwa mara mbili, ile ya kweli 21 april na jumamosi ya jully

4. Ana mtunga mashairi wake maalumu.

5.Ana ATM mashine yake binafsi ya kutoa ela

6.Bila ruhusa yake hakuna muswada utapitishwa kuwa sheria

7. Ana uwezo wa kutolipa kodi

8.Ana uwezo wa kumuonya waziri yoyote, na hata kumwajibisha

9. Ni malkia wa Australia pia

10. Ukiacha ukuu wake katika UK na Australia pia anaongoza nchi zifuatazo Antigua and Barbuda, the Bahamas, Barbados, Belize, Canada, Grenada, Jamaica, New Zealand, Papua New Guinea, Saint Kitts and Nevis, Saint Lucia, Saint Vincent and the Grenadines, Solomon Islands, na Tuvalu.

11.Ni mwenyekiti wa kanisa la Anglikana

12. Ana uwezo wa kuivunja serikali ya Australia

13. Anakinga ya kutoshitakiwa

14. Anamiliki ndege aina ya swans, kongoro katika mto thames

15. Anauwezo wa kumteuwa spika kwa amri yake
Hayo yote mwisho wake hapa hapa duniani
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Kwa hiyo halali na mmewe kudadekiiiiiii...
Huko ofisini ana shughuli ghan wakati mamlaka ya kutawala kaachiwa PM..

Kikwete angepewa ratiba ka hii angejiuzulu uraisi
Kwahiyo unataka kusema kama mzee wa msoga angekuwa malkia?
 
Back
Top Bottom