Nguvu nilizowekeza kwenye ujana wangu nakula Matunda yake sasa

1. Kilimo cha mboga mboga
2. Ufugaji wa ngombe na nguruwe pamoja na kuviuza butcher (supplier)
3. Appartment kadhaa nzuri, sina nyingi
 
Mzee wetu mwenyezi Mungu azidi kukuhifadhi na kukupa afya jamali,aaaamin aaaamin[emoji120]
 
Hapa JF kila mtu tajiri,,

Lofa ni Mimi tu mwandende [emoji1787][emoji1787]
Aisee ni kweli wewe ni lofa... thats why unatembea na wake za watu, na ukala kibuti cha kikatili na mchuchu wachuo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Sio kila kitu lazima niweke humu mkuu,

Vingine ni confidential
...Confidential ni Kufoji Mkuu ?? Usingetaja Hata huo Mwaka Uliostaafu !
Labda kama Unadanganya TU ! [emoji848][emoji848]
 
Inategemea na hicho kitu chenyewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…