Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ongezea nyama hata mie wa la saba kama King msukuma niweze elewaNeno kubwa sana hli, Ila sinahakika kama wengi wetu tunafahanu nini maana na umuhimu wa compound interest
Kumbuka kuwa bila mchongo kutoboa ni shidaaaa japo wachache sana wanatoboa!!!!Mzee wa mchongo huyu!
Hongera sana kwa hilo japo baadhi binadamu wengi hapa jamvini hatupendi kuona au kusikia maendeleo ya wengine17M net profit
Pensheni ni muendelezo kama alivyosema awaliSasa hapa kumbe ishu ni pension kwanza
Hongera sana kwani JF ni shule inayotembeaUsihofu hujanikwaza hata
Changamoto kuu niliyoipata ni kupata ule ujasiri wa uthubutu basi, kabla ya hapo nilikuwa muoga sana ila ile courage ndo ilikuwa msaada wangu
Nilianza na appartment kwanza mkuu, na savings
Ila 2016 nilivyostaafu nilikuwa na muda mwingi ndo nikajiingiza kwenye (kilimo cha mboga, ufugaji,)
Hapa nilitumia miaka 3 mpaka kuwa stable changamoto kuu ni usimamizi bora, na inabidi uwe na elimu nzuri kuhusu hili suala,
Sema haikunipa shida maana ilikuwa small scale hivyo ilikuwa rahisi ku menage
Vizuri saana mzee,watumishi siku hizi tunawaza kuchukua mkopo na kujenga kijumba kisicho isha na kumiliki IST. Tunasubir kustaafu. Unatushaurije?-Mashamba(kilimo cha mbogamboga)
-ufugaji wa ngombe na nguruwe(butcher) supplier
-appartment kadhaa.
-bank savings.
-mpesa wakala,,,, hivyo tu
Hapo kwenye uwakala changamoto hakuna?Asante kwa maoni yako,
Ila nilishaeleza hapo awali vitega uchumi vizuri ni
-shamba la mboga
-ufugaji wa ngombe, nguruwe
-appartment kadhaa
-wakala mpesa
- savings kwenye bank yenye interest nzuri
Hivi havijawahi kunipa stress hata kidogo mkuu
Fanya liten bas Babu 😁17M net profit
Asante, swali je Ulikuwa unalewa pombe?Salaam kwenu wote,
Mimi ni mgeni humu ila ningependa kushare kisa kidogo cha maisha ya ujana wangu. Nimezaliwa 1953.
Kusema kweli mwenyezi Mungu alinijalia sana mimi, kwenye elimu ya darasani nilikuwa vizuri sana nikafanikiwa kumaliza chuo mwaka X kipindi hicho. Bahati nzuri nikapata kazi yangu kwenye kampuni Y, nilifanya kwa miaka 3 kabla ya kuhamishwa kupelekwa kwenye kituo kingine. ambapo nilipata mshahara na marupu marupu matamu kweli. Nilitumikia hiyo nafasi kwa miaka 35.
Mpaka nilivyostaafu rasmi 2016, namshukuru Mungu sana kwa kunijaalia akili ya kuona mbele, na kuweza kupanga hatma ya maisha yangu.
Niliweza kujiingiza kwenye kuwekeza kwenye vitega uchumi mbalimbali ambavyo ndo vinanilea sasa hivi.
Nawashauri vijana mtakaosoma hiki kisa tafadhali tafadhali tumieni muda wenu vizuri, msije mkajuta baadae mkiona mzee ni masikini jua haikuja hivi hivi, likewise mkiona mzee ni tajiri jua ni tu watu walijitoa haswa haswa,
Zingatia: Tumieni ujana wenu vizuri, narudia tena tumieni ujana wenu
Vizuri, narudia tumieni ujana wenu vizuri. Msije Mkajuta kwenye uzee wenu, maana muda utakuwa umekutupa mkono na ndipo maradhi yatakavyoanza kukushambulia.
Kwangu mimi navyoona umri wa kuweka nguvu ni (25-55) hapa ndo inabidi ufanye uwekezaji mkubwa na uchakarike sana.
Lakini kumbukeni pia kumtanguliza Mungu kwenye kila mfanyacho ili azidi kuwabariki. Mimi namshukuru Mungu wanangu 4 wapo vizuri kila mtu yupo kwao na famili zao. Mimi nalea wajukuu tu wakija likizo. Hivyo ni faraja sana kwangu.
Namshukuru Mungu kwa kunijaalia uzee mzuri, japo haikuwa rahisi mpaka kufikia hapa nilipo.
Muwe na Jumapili njema 👐👐👐👐👐
Maisha ya uzee ni mafupi sana na changamoto zake ni nyingi lakini ni maamuzi yako tu ww ule bata ujanani halafu usumbue nduguzo au uwekeze ujanani na ule bata uzeeniSasa tufanye kweli wewe ni mzee, maisha umeyala mda gani sasa??!!
Au hiyo akiba yako umehisi itakubakisha milele[emoji23][emoji23]
Life is good and better u enjoy life when u are youth
Utakulaje bata uzeeni wakati kama ulivyosema maisha ya uzee ni mafupi pia yana changamoto nying??!!Maisha ya uzee ni mafupi sana na changamoto zake ni nyingi lakini ni maamuzi yako tu ww ule bata ujanani halafu usumbue nduguzo au uwekeze ujanani na ule bata uzeeni
Ahsante sana babu.Usifanye hivyo mkuu, mimi nilijenga 2005 nikiwa na miaka 52, sikuwahi kabisa kujenga nilinunua gari nikiwa na 55,
Hivyo vilikuja baadae, nilijibana sana, mkuu,
Mkuu mbona babu/baba yetu kaongea vizuri tu.Hakuna majigambo bali angalia msisitizo wake kwenye kuchacharika then siyo lazima aseme uwekeze wapi.Wewe fanya utafiti wako upate mahala pazuri pa kuwekeza.Mzee ungeelekeza vizuri namna ulivyoanza kuwekeza na sehemu ulizowekeza uzi wako ungekuwa na manufaa sana Kwa wasomaji, ila Kwa style hii uliyokuja nayo uzi wako umejaa majigambo na mipasho.
Uwe na j.pili njema nawe pia
rabbitus ndio nini kuchange username sasa?😔😔😔 unadhani utanikimbia🤣👋 af lile jambo langu umelipotezea eeh🤣🤣🤣👋Sometimes unakuwa na akili sana mshamba_hachekwi we Lovie Lady kamata huyu kijana mtafika mbali sana pamoja😅 usije kusema sikukwambia
Sijapotezea Lovie Lady 😂 nakuzingatia uje, mtaka cha uvungunu......rabbitus ndio nini kuchange username sasa?😔😔😔 unadhani utanikimbia🤣👋 af lile jambo langu umelipotezea eeh🤣🤣🤣👋
Uyu mshamba_hachekwi nishamwambia atafute kwanza💰💰💰💰💰af tutazungumza lugha moja🤣🤣🤣👋