Nguvu nilizowekeza kwenye ujana wangu nakula Matunda yake sasa

Nguvu nilizowekeza kwenye ujana wangu nakula Matunda yake sasa

Mzee gani unaandika habari unaweka mambo ya mkoa X, hii ni code ya vijana wadogo. Wazee wana codes zao sio mambo ya X na Y.
Well, ila kaongea point. Uzee/ Ujana wake sio wa kuujali kivile.
 
Sawa Mzee was y and x
Salaam kwenu wote,

Mimi ni mgeni humu ila ningependa kushare kisa kidogo cha maisha ya ujana wangu. Nimezaliwa 1953.

Kusema kweli mwenyezi Mungu alinijalia sana mimi, kwenye elimu ya darasani nilikuwa vizuri sana nikafanikiwa kumaliza chuo mwaka X kipindi hicho. Bahati nzuri nikapata kazi yangu kwenye kampuni Y, nilifanya kwa miaka 3 kabla ya kuhamishwa kupelekwa kwenye kituo kingine. ambapo nilipata mshahara na marupu marupu matamu kweli. Nilitumikia hiyo nafasi kwa miaka 35.

Mpaka nilivyostaafu rasmi 2016, namshukuru Mungu sana kwa kunijaalia akili ya kuona mbele, na kuweza kupanga hatma ya maisha yangu.

Niliweza kujiingiza kwenye kuwekeza kwenye vitega uchumi mbalimbali ambavyo ndo vinanilea sasa hivi.

Nawashauri vijana mtakaosoma hiki kisa tafadhali tafadhali tumieni muda wenu vizuri, msije mkajuta baadae mkiona mzee ni masikini jua haikuja hivi hivi, likewise mkiona mzee ni tajiri jua ni tu watu walijitoa haswa haswa,

Zingatia: Tumieni ujana wenu vizuri, narudia tena tumieni ujana wenu
Vizuri, narudia tumieni ujana wenu vizuri. Msije Mkajuta kwenye uzee wenu, maana muda utakuwa umekutupa mkono na ndipo maradhi yatakavyoanza kukushambulia.

Kwangu mimi navyoona umri wa kuweka nguvu ni (25-55) hapa ndo inabidi ufanye uwekezaji mkubwa na uchakarike sana.

Lakini kumbukeni pia kumtanguliza Mungu kwenye kila mfanyacho ili azidi kuwabariki. Mimi namshukuru Mungu wanangu 4 wapo vizuri kila mtu yupo kwao na famili zao. Mimi nalea wajukuu tu wakija likizo. Hivyo ni faraja sana kwangu.

Namshukuru Mungu kwa kunijaalia uzee mzuri, japo haikuwa rahisi mpaka kufikia hapa nilipo.

Muwe na Jumapili njema 👐👐👐👐👐
 
...shukuru sana kilichokusaidia kipindi hicho hakukuwa na mibususu kama za kipindi hiki, vijana wanahitaji maombi maalum maana maneno hawasikii tena sababu vita yao ya kutoboa na kufanya saving kwa miaka hii ni shida.!
 
Hiyo ni pointless maana anaandika vitu ambavyo hajapitia yeye. Asubiri mda wake utafika. Sio sasa
Unamaanisha kuwekeza ujanani kwa maandalizi ya uzee ni pointless sababu aliyezungumza sio mzee?
 
Unamaanisha kuwekeza ujanani kwa maandalizi ya uzee ni pointless sababu aliyezungumza sio mzee?
Simaabishi hivyo. Namaanisha huyu mtoa mada hajafikia huo uzee anaojinasibu nao hapa. Asubiri mda wake. Hii ndio pointless yenyewe.
 
Salaam kwenu wote,

Mimi ni mgeni humu ila ningependa kushare kisa kidogo cha maisha ya ujana wangu. Nimezaliwa 1953.

Kusema kweli mwenyezi Mungu alinijalia sana mimi, kwenye elimu ya darasani nilikuwa vizuri sana nikafanikiwa kumaliza chuo mwaka X kipindi hicho. Bahati nzuri nikapata kazi yangu kwenye kampuni Y, nilifanya kwa miaka 3 kabla ya kuhamishwa kupelekwa kwenye kituo kingine. ambapo nilipata mshahara na marupu marupu matamu kweli. Nilitumikia hiyo nafasi kwa miaka 35.

Mpaka nilivyostaafu rasmi 2016, namshukuru Mungu sana kwa kunijaalia akili ya kuona mbele, na kuweza kupanga hatma ya maisha yangu.

Niliweza kujiingiza kwenye kuwekeza kwenye vitega uchumi mbalimbali ambavyo ndo vinanilea sasa hivi.

Nawashauri vijana mtakaosoma hiki kisa tafadhali tafadhali tumieni muda wenu vizuri, msije mkajuta baadae mkiona mzee ni masikini jua haikuja hivi hivi, likewise mkiona mzee ni tajiri jua ni tu watu walijitoa haswa haswa,

Zingatia: Tumieni ujana wenu vizuri, narudia tena tumieni ujana wenu
Vizuri, narudia tumieni ujana wenu vizuri. Msije Mkajuta kwenye uzee wenu, maana muda utakuwa umekutupa mkono na ndipo maradhi yatakavyoanza kukushambulia.

Kwangu mimi navyoona umri wa kuweka nguvu ni (25-55) hapa ndo inabidi ufanye uwekezaji mkubwa na uchakarike sana.

Lakini kumbukeni pia kumtanguliza Mungu kwenye kila mfanyacho ili azidi kuwabariki. Mimi namshukuru Mungu wanangu 4 wapo vizuri kila mtu yupo kwao na famili zao. Mimi nalea wajukuu tu wakija likizo. Hivyo ni faraja sana kwangu.

Namshukuru Mungu kwa kunijaalia uzee mzuri, japo haikuwa rahisi mpaka kufikia hapa nilipo.

Muwe na Jumapili njema 👐👐👐👐👐
Nashukuru sana. Mi pia nina imani nafuata nyayo zako.
 
Salaam kwenu wote,

Mimi ni mgeni humu ila ningependa kushare kisa kidogo cha maisha ya ujana wangu. Nimezaliwa 1953.

Kusema kweli mwenyezi Mungu alinijalia sana mimi, kwenye elimu ya darasani nilikuwa vizuri sana nikafanikiwa kumaliza chuo mwaka X kipindi hicho. Bahati nzuri nikapata kazi yangu kwenye kampuni Y, nilifanya kwa miaka 3 kabla ya kuhamishwa kupelekwa kwenye kituo kingine. ambapo nilipata mshahara na marupu marupu matamu kweli. Nilitumikia hiyo nafasi kwa miaka 35.

Mpaka nilivyostaafu rasmi 2016, namshukuru Mungu sana kwa kunijaalia akili ya kuona mbele, na kuweza kupanga hatma ya maisha yangu.

Niliweza kujiingiza kwenye kuwekeza kwenye vitega uchumi mbalimbali ambavyo ndo vinanilea sasa hivi.

Nawashauri vijana mtakaosoma hiki kisa tafadhali tafadhali tumieni muda wenu vizuri, msije mkajuta baadae mkiona mzee ni masikini jua haikuja hivi hivi, likewise mkiona mzee ni tajiri jua ni tu watu walijitoa haswa haswa,

Zingatia: Tumieni ujana wenu vizuri, narudia tena tumieni ujana wenu
Vizuri, narudia tumieni ujana wenu vizuri. Msije Mkajuta kwenye uzee wenu, maana muda utakuwa umekutupa mkono na ndipo maradhi yatakavyoanza kukushambulia.

Kwangu mimi navyoona umri wa kuweka nguvu ni (25-55) hapa ndo inabidi ufanye uwekezaji mkubwa na uchakarike sana.

Lakini kumbukeni pia kumtanguliza Mungu kwenye kila mfanyacho ili azidi kuwabariki. Mimi namshukuru Mungu wanangu 4 wapo vizuri kila mtu yupo kwao na famili zao. Mimi nalea wajukuu tu wakija likizo. Hivyo ni faraja sana kwangu.

Namshukuru Mungu kwa kunijaalia uzee mzuri, japo haikuwa rahisi mpaka kufikia hapa nilipo.

Muwe na Jumapili njema 👐👐👐👐👐
Asante Kibabu ila hujafafanua uliwekezaje?,...
 
Ila haya maisha ni ungesr mtupu!

Yani unahangaika alafu ukija kufanikiwa na uzee huu hapa hata hela zenyewe huzifaidi
 
Salaam kwenu wote,

Mimi ni mgeni humu ila ningependa kushare kisa kidogo cha maisha ya ujana wangu. Nimezaliwa 1953.

Kusema kweli mwenyezi Mungu alinijalia sana mimi, kwenye elimu ya darasani nilikuwa vizuri sana nikafanikiwa kumaliza chuo mwaka X kipindi hicho. Bahati nzuri nikapata kazi yangu kwenye kampuni Y, nilifanya kwa miaka 3 kabla ya kuhamishwa kupelekwa kwenye kituo kingine. ambapo nilipata mshahara na marupu marupu matamu kweli. Nilitumikia hiyo nafasi kwa miaka 35.

Mpaka nilivyostaafu rasmi 2016, namshukuru Mungu sana kwa kunijaalia akili ya kuona mbele, na kuweza kupanga hatma ya maisha yangu.

Niliweza kujiingiza kwenye kuwekeza kwenye vitega uchumi mbalimbali ambavyo ndo vinanilea sasa hivi.

Nawashauri vijana mtakaosoma hiki kisa tafadhali tafadhali tumieni muda wenu vizuri, msije mkajuta baadae mkiona mzee ni masikini jua haikuja hivi hivi, likewise mkiona mzee ni tajiri jua ni tu watu walijitoa haswa haswa,

Zingatia: Tumieni ujana wenu vizuri, narudia tena tumieni ujana wenu
Vizuri, narudia tumieni ujana wenu vizuri. Msije Mkajuta kwenye uzee wenu, maana muda utakuwa umekutupa mkono na ndipo maradhi yatakavyoanza kukushambulia.

Kwangu mimi navyoona umri wa kuweka nguvu ni (25-55) hapa ndo inabidi ufanye uwekezaji mkubwa na uchakarike sana.

Lakini kumbukeni pia kumtanguliza Mungu kwenye kila mfanyacho ili azidi kuwabariki. Mimi namshukuru Mungu wanangu 4 wapo vizuri kila mtu yupo kwao na famili zao. Mimi nalea wajukuu tu wakija likizo. Hivyo ni faraja sana kwangu.

Namshukuru Mungu kwa kunijaalia uzee mzuri, japo haikuwa rahisi mpaka kufikia hapa nilipo.

Muwe na Jumapili njema 👐👐👐👐👐
Huu uandishi ni kama wa jamaa mmoja hivi aliyepigwa ban😉😉. Coz Yule jamaa mda wote alikuwa anajisifu tu.,..
 
Asante grandpa.
Mungu akupe umri mrefu ufaidi jasho lako.
Dream yangu nikustaafu nikifika 45yrs nikiwa na hazina ya vitega uchumi.

Kuhusu hawa wajukuu zako wengine sijui kama watakuelewa coz akili zao zote ziko kwa mambo yetu yaleee
 
Salaam kwenu wote,

Mimi ni mgeni humu ila ningependa kushare kisa kidogo cha maisha ya ujana wangu. Nimezaliwa 1953.

Kusema kweli mwenyezi Mungu alinijalia sana mimi, kwenye elimu ya darasani nilikuwa vizuri sana nikafanikiwa kumaliza chuo mwaka X kipindi hicho. Bahati nzuri nikapata kazi yangu kwenye kampuni Y, nilifanya kwa miaka 3 kabla ya kuhamishwa kupelekwa kwenye kituo kingine. ambapo nilipata mshahara na marupu marupu matamu kweli. Nilitumikia hiyo nafasi kwa miaka 35.

Mpaka nilivyostaafu rasmi 2016, namshukuru Mungu sana kwa kunijaalia akili ya kuona mbele, na kuweza kupanga hatma ya maisha yangu.

Niliweza kujiingiza kwenye kuwekeza kwenye vitega uchumi mbalimbali ambavyo ndo vinanilea sasa hivi.

Nawashauri vijana mtakaosoma hiki kisa tafadhali tafadhali tumieni muda wenu vizuri, msije mkajuta baadae mkiona mzee ni masikini jua haikuja hivi hivi, likewise mkiona mzee ni tajiri jua ni tu watu walijitoa haswa haswa,

Zingatia: Tumieni ujana wenu vizuri, narudia tena tumieni ujana wenu
Vizuri, narudia tumieni ujana wenu vizuri. Msije Mkajuta kwenye uzee wenu, maana muda utakuwa umekutupa mkono na ndipo maradhi yatakavyoanza kukushambulia.

Kwangu mimi navyoona umri wa kuweka nguvu ni (25-55) hapa ndo inabidi ufanye uwekezaji mkubwa na uchakarike sana.

Lakini kumbukeni pia kumtanguliza Mungu kwenye kila mfanyacho ili azidi kuwabariki. Mimi namshukuru Mungu wanangu 4 wapo vizuri kila mtu yupo kwao na famili zao. Mimi nalea wajukuu tu wakija likizo. Hivyo ni faraja sana kwangu.

Namshukuru Mungu kwa kunijaalia uzee mzuri, japo haikuwa rahisi mpaka kufikia hapa nilipo.

Muwe na Jumapili njema [emoji114][emoji114][emoji114][emoji114][emoji114]
Sawa mkuu umewekeza kwenye Nini hasa
 
Tunashukuru sana kwa nasaha zako mzee wetu....!

Uzee mwema huja kwa gharama kubwa wakati wa ujana...! Kuepuka uzinzi ili usichafue nafsi na roho, kuepuka starehe za kufuja pesa na kuchosha mwili

Uzee mwema huja kwa kuzingatia uwekezaji sio tu wa kiuchumi, bali pia kiroho,kiafya na kijamii....!

Ijali sana afya ya mwili wako, kwa kuhakikisha unakula chakula chenye manufaa, ufanyishe mazoezi mwili wako hakika katika uzee wako utakushukuru, epuka vilevi viharibio mwili maana afya ndo utajiri wa kwanza na usijinyime usingizi sababu ya starehe za usiku.

Ijali sana familia yako, zawadi pekee nzuri na itakayoacha kumbukumbu zisisofutika vichwani mwa wanao ni kumpenda na kumjali mama yao...! Wafundishe wanao yaliyo mema na maarifa yote uliyonayo yatakayowasaidia katika maisha yao, tenga muda wa kufurahi na kutaniana na wanao, wafanye marafiki hakika watakutunza uzeeni..

Kuna nguvu iliyo kuu kuliko zote, tafuta namna utakayoimini na kujiunganisha na nguvu hiyo, ili ikusaidia kufanikisha mambo yaliyo nje ya uwezo wa kibinadamu, kwa hakika binadamu ni roho, na mambo yote yanaanzia katika ulimwengu wa roho.

Kuwa mwenye utu kwa kujali hisia na maumivu ya wengine, usimfanyie mwenzio jambo usilopenda kufanyiwa. Pale utakapoweza kuweka tabasamu na furaha katika maisha ya wengine, hakika hayo ndio tunaita mafanikio...!

Kumbuka kile unachokula ndicho chako, pesa na vitu visikutoe utu wako kwa kuwa mbinafsi wa kutaka kujilimbikizia mali...!
 
Hakika hakuna kitu kinakuja hiv hiv.You must hustle..u must inject ur creativity, your money , your time and your strength.Kirahia rahis tuu et umeweka mikeka ya ku bet ndio ukatoboe !?sio kwel.
Japo sio mara zote ila mara nyingi maisha lazima yakuumize tuu ili kuvuna mafanikio.
Na kukata tamaa ni kitu rahis sana maana kuna time kila kitu unafanya hakitembei!.

Ahsante kutukumbusha.
Sometimea huwa na wish ufahamu huu nilio nao sasa at mid 30's ningeupata at mid 20's aisee ningekua mbali sana.
Sema ndio hivyo kila jambo na wakat wake...kuna time maisha yanangoja kwanza uwe na busara hata kama akil na juhud unazo tayar.
Vitu gani unashauri mtu afanye akiwa kwenye 20's, mi npo mwanzon kbs mwa 20
 
Asante grandpa.
Mungu akupe umri mrefu ufaidi jasho lako.
Dream yangu nikustaafu nikifika 45yrs nikiwa na hazina ya vitega uchumi.

Kuhusu hawa wajukuu zako wengine sijui kama watakuelewa coz akili zao zote ziko kwa mambo yetu yaleee
Shukran mjukuu, maisha ni kuchagua tu
 
Back
Top Bottom