Nguvu nilizowekeza kwenye ujana wangu nakula Matunda yake sasa

Nguvu nilizowekeza kwenye ujana wangu nakula Matunda yake sasa

Hongera sana mzee kwa ushauri mzuri. Nilizaliwa 1970. Miaka mingi nilipoteza kwenye mambo ya kipuuzi. Lakini kuanzia mwaka 2009 nikaanza kuwa focused kwanye mikakati yangu, based on creativity,kuchangamkia fursa,kubana matumizi,kupunguza idadi ya madem,kutokunywa pombe nk. SASA nina nyumba 10(9 napangisha), frem(maduka) ya kupangisha 24, duka langu la hardware na ofisi ya fani yangu, na ajira yangu bado inaendelea kwenye taasisi fulani sector binafsi. Nikifika 55 nitastafu kazi ili niliendelee kuitwa "boss" kwenye investments zangu, maana nimeajiri watu kadhaa.
Angalia sana hizo nyumba na frem zikianza kuchakaa zitakula pesa nyingi kuzikarabati kiasi kwamba unaweza kufikiria kuzibomoa na kuzijenga upya. Wekeza kwenye fursa zingine pia.
 
Jamani wasomaji wa huu uzi zingatia ushauri badala ya kutafuta details za mwandishi. Hata kama ametunga story lakini mi naona content ni za kufanyia kazi. Wanaopinga hawana lengo la kutengeneza kesho yao. Mshahara mkubwa siyo kigezo bali kanuni za kutumia kipato kidogo ukawekeza na kuendesha maisha.
 
Ahsante Sana mkuu kwa kutuhamasisha.
Vijana tunatakiwa tupambanie maisha yetu kwa jasho, machozi na damu.
 
Salaam kwenu wote,

Mimi ni mgeni humu ila ningependa kushare kisa kidogo cha maisha ya ujana wangu. Nimezaliwa 1953.

Kusema kweli mwenyezi Mungu alinijalia sana mimi, kwenye elimu ya darasani nilikuwa vizuri sana nikafanikiwa kumaliza chuo mwaka X kipindi hicho. Bahati nzuri nikapata kazi yangu kwenye kampuni Y, nilifanya kwa miaka 3 kabla ya kuhamishwa kupelekwa kwenye kituo kingine. ambapo nilipata mshahara na marupu marupu matamu kweli. Nilitumikia hiyo nafasi kwa miaka 35.

Mpaka nilivyostaafu rasmi 2016, namshukuru Mungu sana kwa kunijaalia akili ya kuona mbele, na kuweza kupanga hatma ya maisha yangu.

Niliweza kujiingiza kwenye kuwekeza kwenye vitega uchumi mbalimbali ambavyo ndo vinanilea sasa hivi.

Nawashauri vijana mtakaosoma hiki kisa tafadhali tafadhali tumieni muda wenu vizuri, msije mkajuta baadae mkiona mzee ni masikini jua haikuja hivi hivi, likewise mkiona mzee ni tajiri jua ni tu watu walijitoa haswa haswa,

Zingatia: Tumieni ujana wenu vizuri, narudia tena tumieni ujana wenu
Vizuri, narudia tumieni ujana wenu vizuri. Msije Mkajuta kwenye uzee wenu, maana muda utakuwa umekutupa mkono na ndipo maradhi yatakavyoanza kukushambulia.

Kwangu mimi navyoona umri wa kuweka nguvu ni (25-55) hapa ndo inabidi ufanye uwekezaji mkubwa na uchakarike sana.

Lakini kumbukeni pia kumtanguliza Mungu kwenye kila mfanyacho ili azidi kuwabariki. Mimi namshukuru Mungu wanangu 4 wapo vizuri kila mtu yupo kwao na famili zao. Mimi nalea wajukuu tu wakija likizo. Hivyo ni faraja sana kwangu.

Namshukuru Mungu kwa kunijaalia uzee mzuri, japo haikuwa rahisi mpaka kufikia hapa nilipo.

Muwe na Jumapili njema 👐👐👐👐👐
Shikamoo bro! Asante kwa kuwatahadharisha vijana! Mbona hata uzeeni watu wanatoboza tu! Fikria mzee aliyewekeza kwenye Kilimo cha ngano mwaka jana kapiga 600m huyo ni mwenzetu kweli? Kupambana haina mwisho mzee!
 
Salaam kwenu wote,

Mimi ni mgeni humu ila ningependa kushare kisa kidogo cha maisha ya ujana wangu. Nimezaliwa 1953.

Kusema kweli mwenyezi Mungu alinijalia sana mimi, kwenye elimu ya darasani nilikuwa vizuri sana nikafanikiwa kumaliza chuo mwaka X kipindi hicho. Bahati nzuri nikapata kazi yangu kwenye kampuni Y, nilifanya kwa miaka 3 kabla ya kuhamishwa kupelekwa kwenye kituo kingine. ambapo nilipata mshahara na marupu marupu matamu kweli. Nilitumikia hiyo nafasi kwa miaka 35.

Mpaka nilivyostaafu rasmi 2016, namshukuru Mungu sana kwa kunijaalia akili ya kuona mbele, na kuweza kupanga hatma ya maisha yangu.

Niliweza kujiingiza kwenye kuwekeza kwenye vitega uchumi mbalimbali ambavyo ndo vinanilea sasa hivi.

Nawashauri vijana mtakaosoma hiki kisa tafadhali tafadhali tumieni muda wenu vizuri, msije mkajuta baadae mkiona mzee ni masikini jua haikuja hivi hivi, likewise mkiona mzee ni tajiri jua ni tu watu walijitoa haswa haswa,

Zingatia: Tumieni ujana wenu vizuri, narudia tena tumieni ujana wenu
Vizuri, narudia tumieni ujana wenu vizuri. Msije Mkajuta kwenye uzee wenu, maana muda utakuwa umekutupa mkono na ndipo maradhi yatakavyoanza kukushambulia.

Kwangu mimi navyoona umri wa kuweka nguvu ni (25-55) hapa ndo inabidi ufanye uwekezaji mkubwa na uchakarike sana.

Lakini kumbukeni pia kumtanguliza Mungu kwenye kila mfanyacho ili azidi kuwabariki. Mimi namshukuru Mungu wanangu 4 wapo vizuri kila mtu yupo kwao na famili zao. Mimi nalea wajukuu tu wakija likizo. Hivyo ni faraja sana kwangu.

Namshukuru Mungu kwa kunijaalia uzee mzuri, japo haikuwa rahisi mpaka kufikia hapa nilipo.

Muwe na Jumapili njema 👐👐👐👐👐
Uzi wako hauna tofauti na wa vijana wa digitally.
Ungeeleza nini ulisoma, ulivyowekeza, turn over na cgallenges ulizokutana nazo si ungekuwa umefunza vijana wengi.

Yaani umestaafu na upo the end unaongea kijuu juu kama unajibu mtihani wa drs la saba unamuogopa nani?
Ungekuwa bosi wangu ungenifukuza kazi maana ningekuchana tu kwa uwasilisgaji jana huo.
Ilikuwa unaandikaje project/report huko kazini?
Uzi wako unatakiwa uakisi uwezo wako na uzoefu wako kazini na ktk ujasiliamali.
Nadhanu hujaamua kutuasa vihana au nawe ni kijana uliejivika uzee, vinginevyo umesahau jinsi ya kuwasilisha maudhui.
Samahani kama sijakuelewa ila huja ni impress sana kama ule uzi wa "magofu ya Rapta" na "nimeamka jioni sana".
Hao wawasilishaji waliamua kutuelimisha,
nyuzi zao zimeandikwa kwa Lengo la kuelimisha kweli.
Simaanishi uandike nyuzu ndefu ila utupe content kamili kwani umeamua kuibana kwa makusudi.
 
ujana zama hizi vishawishi vimezidi hela haikai ukiikamata tu chawa hawa hapa, mara msg za mbet, pisi kali hao kama wakimbizi
 
Kweli kabisa ni vema kujipanga ukiwa na nguvu kuliko kufanya starehe zisizo na faida ukaja kusumbua watu uzeeni Vijana zungatieni ushauri huu
 
ujana zama hizi vishawishi vimezidi hela haikai ukiikamata tu chawa hawa hapa, mara msg za mbet, pisi kali hao kama wakimbizi
Kwani lazima kuwa na hizo pisi Kali chagua mmoja mnaeendana fanyeni maisha
Hao chawa ni matokeo ya kukosa kwako mipaka na nidhamu ya matumiz ya fedha
 
Salaam kwenu wote,

Mimi ni mgeni humu ila ningependa kushare kisa kidogo cha maisha ya ujana wangu. Nimezaliwa 1953.

Kusema kweli mwenyezi Mungu alinijalia sana mimi, kwenye elimu ya darasani nilikuwa vizuri sana nikafanikiwa kumaliza chuo mwaka X kipindi hicho. Bahati nzuri nikapata kazi yangu kwenye kampuni Y, nilifanya kwa miaka 3 kabla ya kuhamishwa kupelekwa kwenye kituo kingine. ambapo nilipata mshahara na marupu marupu matamu kweli. Nilitumikia hiyo nafasi kwa miaka 35.

Mpaka nilivyostaafu rasmi 2016, namshukuru Mungu sana kwa kunijaalia akili ya kuona mbele, na kuweza kupanga hatma ya maisha yangu.

Niliweza kujiingiza kwenye kuwekeza kwenye vitega uchumi mbalimbali ambavyo ndo vinanilea sasa hivi.

Nawashauri vijana mtakaosoma hiki kisa tafadhali tafadhali tumieni muda wenu vizuri, msije mkajuta baadae mkiona mzee ni masikini jua haikuja hivi hivi, likewise mkiona mzee ni tajiri jua ni tu watu walijitoa haswa haswa,

Zingatia: Tumieni ujana wenu vizuri, narudia tena tumieni ujana wenu
Vizuri, narudia tumieni ujana wenu vizuri. Msije Mkajuta kwenye uzee wenu, maana muda utakuwa umekutupa mkono na ndipo maradhi yatakavyoanza kukushambulia.

Kwangu mimi navyoona umri wa kuweka nguvu ni (25-55) hapa ndo inabidi ufanye uwekezaji mkubwa na uchakarike sana.

Lakini kumbukeni pia kumtanguliza Mungu kwenye kila mfanyacho ili azidi kuwabariki. Mimi namshukuru Mungu wanangu 4 wapo vizuri kila mtu yupo kwao na famili zao. Mimi nalea wajukuu tu wakija likizo. Hivyo ni faraja sana kwangu.

Namshukuru Mungu kwa kunijaalia uzee mzuri, japo haikuwa rahisi mpaka kufikia hapa nilipo.

Muwe na Jumapili njema 👐👐👐👐👐
Wewe Mzee mwenzangu tumezaliea mwaka mmoja na tukasitaafu mwaka mmoja! Hongera sana. Hata mimi sijuti kwa kweli.
 
Mzee gani unaandika habari unaweka mambo ya mkoa X, hii ni code ya vijana wadogo. Wazee wana codes zao sio mambo ya X na Y.
 
Japo inawezekana wewe sio mzee ila umeongea jambo zuri sana. Nami naongezea
"MKUMBUKE MUUMBA WAKO SIKU ZA UJANA WAKO KABLA............"
 
Back
Top Bottom