Nguvu nilizowekeza kwenye ujana wangu nakula Matunda yake sasa

Nguvu nilizowekeza kwenye ujana wangu nakula Matunda yake sasa

Salaam kwenu wote,

Mimi ni mgeni humu ila ningependa kushare kisa kidogo cha maisha ya ujana wangu,

Nimezaliwa 1953

Kusema kweli mwenyezi Mungu alinijalia sana mimi, kwenye elimu ya darasani nilikuwa vizuri sana nikafanikiwa kumaliza chuo mwaka X kipindi hicho

Bahati nzuri nikapata kazi yangu kwenye kampuni Y, nili fanya kwa miaka 3 kabla ya kuhamishwa kupelekwa kwenye kituo kingine

Ambapo nilipata mshahara na marupu marupu matamu kweli,

Nilitumikia hiyo nafasi kwa miaka 35

Mpaka nilivyostaafu rasmi 2016, namshukuru Mungu sana kwa kunijaalia akili ya kuona mbele, na kuweza kupanga hatma ya maisha yangu,


Niliweza kujiingiza kwenye kuwekeza kwenye vitega uchumi, mbalimbali

Ambavyo ndo vinanilea sasa hivi

nawashaurini vijana mtakaosoma hiki kisa tafadhali tafadhali tumieni muda wenu vizuri, msije mkajuta baadae mkiona mzee ni masikini jua haikuja hivi hivi, likewise mkiona mzee ni tajiri jua ni tu watu walijitoa haswa haswa,

Zingatia:
[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]

-TUMIENI UJANA WENU VIZURI,
-NARUDIA TENA TUMIENI UJANA WENU
VIZURI,
-NARUDIA TUMIENI UJANA WENU VIZURI


MSIJE
MKAJUTA KWENYE UZEE WENU, MAANA MUDA UTAKUWA UMEKUTUPA MKONO NA NDIPO MARADHI YATAKAVYOANZA KUKUSHAMBULIA,

Kwangu mimi navyoona umri wa kuweka nguvu ni (25-55) hapa ndo inabidi ufanye uwekezaji mkubwa na uchakarike sana

Lakini kumbukeni pia kumtanguliza Mungu kwenye kila mfanyacho, ili azidi kuwabariki,

Mimi namshukuru Mungu wanangu 4 wapo vizuri kila mtu yupo kwao NA FAMILIA ZAO

Mimi nalea wajukuu tu wakija likizo,

Hivyo ni faraja sana kwangu,

Namshukuru Mungu kwa kunijaalia uzee mzuri, japo haikuwa rahisi mpaka kufikia hapa nilipo,

Muwe na jpili njema [emoji114][emoji114][emoji114][emoji114][emoji114]
Ulifanyanje ukawekeza kazi uliojiriwa mshahara ulikuwa sh ngap na baada ya kusitafu kuinua mgogo ilipewa kiasi gani baada ya kupewa ukiwekeza kwenye nn
 
Salaam kwenu wote,

Mimi ni mgeni humu ila ningependa kushare kisa kidogo cha maisha ya ujana wangu,

Nimezaliwa 1953

Kusema kweli mwenyezi Mungu alinijalia sana mimi, kwenye elimu ya darasani nilikuwa vizuri sana nikafanikiwa kumaliza chuo mwaka X kipindi hicho

Bahati nzuri nikapata kazi yangu kwenye kampuni Y, nili fanya kwa miaka 3 kabla ya kuhamishwa kupelekwa kwenye kituo kingine

Ambapo nilipata mshahara na marupu marupu matamu kweli,

Nilitumikia hiyo nafasi kwa miaka 35

Mpaka nilivyostaafu rasmi 2016, namshukuru Mungu sana kwa kunijaalia akili ya kuona mbele, na kuweza kupanga hatma ya maisha yangu,


Niliweza kujiingiza kwenye kuwekeza kwenye vitega uchumi, mbalimbali

Ambavyo ndo vinanilea sasa hivi

nawashaurini vijana mtakaosoma hiki kisa tafadhali tafadhali tumieni muda wenu vizuri, msije mkajuta baadae mkiona mzee ni masikini jua haikuja hivi hivi, likewise mkiona mzee ni tajiri jua ni tu watu walijitoa haswa haswa,

Zingatia:
👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇

-TUMIENI UJANA WENU VIZURI,
-NARUDIA TENA TUMIENI UJANA WENU
VIZURI,
-NARUDIA TUMIENI UJANA WENU VIZURI


MSIJE
MKAJUTA KWENYE UZEE WENU, MAANA MUDA UTAKUWA UMEKUTUPA MKONO NA NDIPO MARADHI YATAKAVYOANZA KUKUSHAMBULIA,

Kwangu mimi navyoona umri wa kuweka nguvu ni (25-55) hapa ndo inabidi ufanye uwekezaji mkubwa na uchakarike sana

Lakini kumbukeni pia kumtanguliza Mungu kwenye kila mfanyacho, ili azidi kuwabariki,

Mimi namshukuru Mungu wanangu 4 wapo vizuri kila mtu yupo kwao NA FAMILIA ZAO

Mimi nalea wajukuu tu wakija likizo,

Hivyo ni faraja sana kwangu,

Namshukuru Mungu kwa kunijaalia uzee mzuri, japo haikuwa rahisi mpaka kufikia hapa nilipo,

Muwe na jpili njema 👐👐👐👐👐
Chai
 
Lovie Lady, asante kwa kuniita.
Ushauri wa babu ni mzuri sana, inatupasa kuufanyia kazi hasa kwa wale ambao bado wanajitafuta. Kwa upande wangu nilisha jipata miaka 10 iliyopita, kwa sasa naongezea tu. 😅

Kama kijana ukifanikiwa ku invest kabla hujafika 45 ni vizuri zaidi. Hutakiwi kupambana tu kila siku bila kuoshi vizuri, wakati unapambana kumbuka kuishi maisha mazuri pia. Wengi wetu tunapotezwa na ule msemo wa ' chumia juani ulie kivulini'. Unakuta mtu anapambana kuwekeza tu akiamini kuwa akizeeka ndipo aannze kutumia pesa zake. Lakini anasahau kuwa maisha ya uzee ni mafupi sana kuliko ya ujana.

Lovie Lady najua lengo lako kuniita hapa ni kwa vile unahisi napinga mwanamke kuwa na pesa, niliposema "A good woman wants your love, time, and attention. Not your money." haikuwa na maana tusiwapa pesa. Maana yake ni kwamba Mwanaume akikupenda, akakupa muda wake na akakusikiliza ina maanisha kuwa umeshapata pesa yake.

Mwanaume mwenye sifa hizo hapo huwa haombwi pesa, anatoa pesa kwa mke wake. Mnapokosea ni pale mnapoonyesha kuvutiwa zaidi na pesa kuliko mwenye pesa.

Ushauri wangu
Kama Mwanaume wako ana pesa, usimuombe, mpende na umvutie. Ukifanya hivyo atakupenda, atakupa muda wake na atakusikiliza, kwa kufanya hivyo tayari unamiliki pesa zake. (hapa Angalia uwezo wake wa kipato)

Lovie Lady mimi siombwi hela na mwanamke wangu maana najua ili aendelee kunivutia lazima nimhudumie vizuri. Amani ya moyo wa mwanamke ni pesa sio mapenzi hilo nalitambua. 👍
@Peterrabbit🪓🪓🪓🪓🪓🪓🪓🪓🪓🪓🪓🪓🪓🪓🪓🪓🪓🪓🪓🪓🪓🪓🪓🪓🪓🪓🪓🪓🪓🪓🪓🪓🪓🪓🪓🪓🪓🪓🪓🪓🪓🪓🪓🪓🪓🪓🪓🪓🪓

Wacha we hongera sana 👏👏👏👏👏👏👏

Kwani kukupenda itanigharimu sh ngap?siwezi kukupenda? Wewe na huyo mpenz wako🤣🤣🤣👋

Wewe ndio umejua kutuewa sisi Wanawake👌

Ahsante kwa darasa ila sasa kuna mwanaume utampenda..utamheshimu..utamtii lakin kutingisha mfuko wake mpaka uongee..hajiongezi ng’oo ata uumwe liko liko tu..kwenye maradhi kashindwa ata kwa vitu vidogo vidogo pia ni mzigo simply because uko strong financially😔

Wapo wanaume ambao hawajui kua mwanamke ata kama anajiweza kwa kiwango chake lakin hakuna kitu kinachonogesha mahusiano kwa mwanamke kama 💰💰💰💰💰💰💰💰💰💰💰💰💰💰

Ata kama Mwanamke anajiweza sio kwamba hataki Pesa ya Mume wake/Mpenz wake we mpe tu 💰💰💰💰💰💰💰
 
KIBABU_53 Sema enzi zenu fursa zilikua nje nje😊

Ahsante sana kwa nasaha zenye kuleta ari ya mapambano na hongera sana 🤝🤝🤝kuyaishi maisha ya ndoto zako Babu💪💪💪🙏🙏🙏

Peterrabbit Pita hapa yaan hii kitu 😙😙😙💰💰💰💰💰💰💰💰💰💰💰💰💰💰💰💰💰💰💰💰💰💰💰💰🤣🤣🤣👋

mshamba_hachekwi zingatia nasaha za Babu🙏🙏🙏
Lovie Lady wealth is not guaranteed, it is a result of a combination of circumstances most of which are out of our control.... chamsingi furaha usitegemee kutajirika you will be disappointed
 
Mzee hongera sana!!

Iliwezekana kwako coz enzi hizo mlioa wake wa kweli wenye maadili ya kweli!

Sisi wa kwetu ni bora ulewe na uwe MALAYA kuliko KUWEKEZA mapesa mengi!

Ukiwekeza viburi vinaanza na matukio ya hovyo akijua ukimzingua tu mnaachana na mali pasu pasu pia atalea watoto na mali ataongezewa ILI awalee WATOTO!!

Tuna miaka kumi tu makazini tumejenga vijumba vyetu na VITEGA UCHUMI vya kama laki kadhaa lakini tunajuta hata huo uwekezaji tulifanya wa NINI!!!?

Wake zetu wanachagua wa kuishi nao ndani yaani kama hataki mtu fulani akae bas vituko vitaanza hadi muhusika ataomba nauli ya Kurudi!

SASA unajiuliza hivi huyu alivyo hivi NIKIENDELEA KUWEKEZA si ndio atashiba hadi atataka ajitawale mwenyewe!!?

Shukuru Mungu ulioa enzi zenu zileeee!!!?
NAMBA MOJA AJAYE NCHINI Pole sana Mkuu😔umeoa Shetani..kua makini sana uyo Mkeo kwa sifa zake izo kazi unayo 🤦‍♀️atakuua ili awe mrithi kamili wa Mali zako

Msome mapema sana ivyo ni viashiria vichache sana kuweza kung’amua kua ni mwanamke wa aina gani🤦‍♀️

Natanguliza samahani kubwa 🙏🙏🙏kama ni Mnyiramba +makabila ya Singida + Mmachame umekwisha 🤦‍♀️

Ingawa sio wote kwasababu UBAYA HAUNA KABILA
 
Mzee hongera sana!!

Iliwezekana kwako coz enzi hizo mlioa wake wa kweli wenye maadili ya kweli!

Sisi wa kwetu ni bora ulewe na uwe MALAYA kuliko KUWEKEZA mapesa mengi!

Ukiwekeza viburi vinaanza na matukio ya hovyo akijua ukimzingua tu mnaachana na mali pasu pasu pia atalea watoto na mali ataongezewa ILI awalee WATOTO!!

Tuna miaka kumi tu makazini tumejenga vijumba vyetu na VITEGA UCHUMI vya kama laki kadhaa lakini tunajuta hata huo uwekezaji tulifanya wa NINI!!!?

Wake zetu wanachagua wa kuishi nao ndani yaani kama hataki mtu fulani akae bas vituko vitaanza hadi muhusika ataomba nauli ya Kurudi!

SASA unajiuliza hivi huyu alivyo hivi NIKIENDELEA KUWEKEZA si ndio atashiba hadi atataka ajitawale mwenyewe!!?

Shukuru Mungu ulioa enzi zenu zileeee!!!?
Mkuu umeongea kwa uchungu sana
 
Ushauri mzuri sana lakini bandiko lako linaacha maswali kichwani.
Kwanini ufiche mwaka wa kumaliza chuo mpaka uandike mwaka x?
Umesema unashare kisa jinsi ulivyofanikiwa kwanini umeshindwa kufafanunua miradi uliyowekeza? Ina ukakasi? Naamini kabisa lengo la kushare story yako ya mafanikio ilikuwa kutoa hamasa kwa vijana, fafanua miradi yako vijana wahamasike.
Mtu aliyesoma elimu ya mkoloni hana uandishi wa kisasa mfano matumizi ya emojis, matumizi ya x, itoshe tu kusema wewe ni kijana japo umetoa ushauri mzuri kwa vijana.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio maana nikasem hizi ni hadith tu
 
Salaam kwenu wote,

Mimi ni mgeni humu ila ningependa kushare kisa kidogo cha maisha ya ujana wangu. Nimezaliwa 1953.

Kusema kweli mwenyezi Mungu alinijalia sana mimi, kwenye elimu ya darasani nilikuwa vizuri sana nikafanikiwa kumaliza chuo mwaka X kipindi hicho. Bahati nzuri nikapata kazi yangu kwenye kampuni Y, nilifanya kwa miaka 3 kabla ya kuhamishwa kupelekwa kwenye kituo kingine. ambapo nilipata mshahara na marupu marupu matamu kweli. Nilitumikia hiyo nafasi kwa miaka 35.

Mpaka nilivyostaafu rasmi 2016, namshukuru Mungu sana kwa kunijaalia akili ya kuona mbele, na kuweza kupanga hatma ya maisha yangu.

Niliweza kujiingiza kwenye kuwekeza kwenye vitega uchumi mbalimbali ambavyo ndo vinanilea sasa hivi.

Nawashauri vijana mtakaosoma hiki kisa tafadhali tafadhali tumieni muda wenu vizuri, msije mkajuta baadae mkiona mzee ni masikini jua haikuja hivi hivi, likewise mkiona mzee ni tajiri jua ni tu watu walijitoa haswa haswa,

Zingatia: Tumieni ujana wenu vizuri, narudia tena tumieni ujana wenu
Vizuri, narudia tumieni ujana wenu vizuri. Msije Mkajuta kwenye uzee wenu, maana muda utakuwa umekutupa mkono na ndipo maradhi yatakavyoanza kukushambulia.

Kwangu mimi navyoona umri wa kuweka nguvu ni (25-55) hapa ndo inabidi ufanye uwekezaji mkubwa na uchakarike sana.

Lakini kumbukeni pia kumtanguliza Mungu kwenye kila mfanyacho ili azidi kuwabariki. Mimi namshukuru Mungu wanangu 4 wapo vizuri kila mtu yupo kwao na famili zao. Mimi nalea wajukuu tu wakija likizo. Hivyo ni faraja sana kwangu.

Namshukuru Mungu kwa kunijaalia uzee mzuri, japo haikuwa rahisi mpaka kufikia hapa nilipo.

Muwe na Jumapili njema 👐👐👐👐👐

Ubarikiwe sana, ni faraja sana kusikia mstaafu anajivunia maisha yake, wengi wame fail...
 
Hongera sana mzee kwa ushauri mzuri. Nilizaliwa 1970. Miaka mingi nilipoteza kwenye mambo ya kipuuzi. Lakini kuanzia mwaka 2009 nikaanza kuwa focused kwanye mikakati yangu, based on creativity,kuchangamkia fursa,kubana matumizi,kupunguza idadi ya madem,kutokunywa pombe nk. SASA nina nyumba 10(9 napangisha), frem(maduka) ya kupangisha 24, duka langu la hardware na ofisi ya fani yangu, na ajira yangu bado inaendelea kwenye taasisi fulani sector binafsi. Nikifika 55 nitastafu kazi ili niliendelee kuitwa "boss" kwenye investments zangu, maana nimeajiri watu kadhaa.
 
Salaam kwenu wote,

Mimi ni mgeni humu ila ningependa kushare kisa kidogo cha maisha ya ujana wangu. Nimezaliwa 1953.

Kusema kweli mwenyezi Mungu alinijalia sana mimi, kwenye elimu ya darasani nilikuwa vizuri sana nikafanikiwa kumaliza chuo mwaka X kipindi hicho. Bahati nzuri nikapata kazi yangu kwenye kampuni Y, nilifanya kwa miaka 3 kabla ya kuhamishwa kupelekwa kwenye kituo kingine. ambapo nilipata mshahara na marupu marupu matamu kweli. Nilitumikia hiyo nafasi kwa miaka 35.

Mpaka nilivyostaafu rasmi 2016, namshukuru Mungu sana kwa kunijaalia akili ya kuona mbele, na kuweza kupanga hatma ya maisha yangu.

Niliweza kujiingiza kwenye kuwekeza kwenye vitega uchumi mbalimbali ambavyo ndo vinanilea sasa hivi.

Nawashauri vijana mtakaosoma hiki kisa tafadhali tafadhali tumieni muda wenu vizuri, msije mkajuta baadae mkiona mzee ni masikini jua haikuja hivi hivi, likewise mkiona mzee ni tajiri jua ni tu watu walijitoa haswa haswa,

Zingatia: Tumieni ujana wenu vizuri, narudia tena tumieni ujana wenu
Vizuri, narudia tumieni ujana wenu vizuri. Msije Mkajuta kwenye uzee wenu, maana muda utakuwa umekutupa mkono na ndipo maradhi yatakavyoanza kukushambulia.

Kwangu mimi navyoona umri wa kuweka nguvu ni (25-55) hapa ndo inabidi ufanye uwekezaji mkubwa na uchakarike sana.

Lakini kumbukeni pia kumtanguliza Mungu kwenye kila mfanyacho ili azidi kuwabariki. Mimi namshukuru Mungu wanangu 4 wapo vizuri kila mtu yupo kwao na famili zao. Mimi nalea wajukuu tu wakija likizo. Hivyo ni faraja sana kwangu.

Namshukuru Mungu kwa kunijaalia uzee mzuri, japo haikuwa rahisi mpaka kufikia hapa nilipo.

Muwe na Jumapili njema 👐👐👐👐👐
Wewe ni mwongo haswa maisha yako tunayajua ni ya kubangaiza mno. Ila leo umeamua kutubeba ujinga sio?
 
Back
Top Bottom