Nguvu nilizowekeza kwenye ujana wangu nakula Matunda yake sasa

Nguvu nilizowekeza kwenye ujana wangu nakula Matunda yake sasa

Salaam kwenu wote,

Mimi ni mgeni humu ila ningependa kushare kisa kidogo cha maisha ya ujana wangu,

Nimezaliwa 1953

Kusema kweli mwenyezi Mungu alinijalia sana mimi, kwenye elimu ya darasani nilikuwa vizuri sana nikafanikiwa kumaliza chuo mwaka X kipindi hicho

Bahati nzuri nikapata kazi yangu kwenye kampuni Y, nili fanya kwa miaka 3 kabla ya kuhamishwa kupelekwa kwenye kituo kingine

Ambapo nilipata mshahara na marupu marupu matamu kweli,

Nilitumikia hiyo nafasi kwa miaka 35

Mpaka nilivyostaafu rasmi 2016, namshukuru Mungu sana kwa kunijaalia akili ya kuona mbele, na kuweza kupanga hatma ya maisha yangu,


Niliweza kujiingiza kwenye kuwekeza kwenye vitega uchumi, mbalimbali

Ambavyo ndo vinanilea sasa hivi

nawashaurini vijana mtakaosoma hiki kisa tafadhali tafadhali tumieni muda wenu vizuri, msije mkajuta baadae mkiona mzee ni masikini jua haikuja hivi hivi, likewise mkiona mzee ni tajiri jua ni tu watu walijitoa haswa haswa,

Zingatia:
👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇

-TUMIENI UJANA WENU VIZURI,
-NARUDIA TENA TUMIENI UJANA WENU
VIZURI,
-NARUDIA TUMIENI UJANA WENU VIZURI


MSIJE
MKAJUTA KWENYE UZEE WENU, MAANA MUDA UTAKUWA UMEKUTUPA MKONO NA NDIPO MARADHI YATAKAVYOANZA KUKUSHAMBULIA,

Kwangu mimi navyoona umri wa kuweka nguvu ni (25-55) hapa ndo inabidi ufanye uwekezaji mkubwa na uchakarike sana

Lakini kumbukeni pia kumtanguliza Mungu kwenye kila mfanyacho, ili azidi kuwabariki,

Mimi namshukuru Mungu wanangu 4 wapo vizuri kila mtu yupo kwao NA FAMILIA ZAO

Mimi nalea wajukuu tu wakija likizo,

Hivyo ni faraja sana kwangu,

Namshukuru Mungu kwa kunijaalia uzee mzuri, japo haikuwa rahisi mpaka kufikia hapa nilipo,

Muwe na jpili njema 👐👐👐👐👐
Ubarikiwe sana kwa kutushirikisha
na ubarikiwe zaidi kama hukutumia fedha za umma ki wizi ili kujilimbikizia utajiri.
Ni hayo tuu kwa leo.
 
Mzee ungeelekeza vizuri namna ulivyoanza kuwekeza na sehemu ulizowekeza uzi wako ungekuwa na manufaa sana Kwa wasomaji, ila Kwa style hii uliyokuja nayo uzi wako umejaa majigambo na mipasho.

Uwe na j.pili njema nawe pia
Huyu mzee yuko kwenye uvuvi 🤣🤣
 
Ushauri mzuri sana lakini bandiko lako linaacha maswali kichwani.
Kwanini ufiche mwaka wa kumaliza chuo mpaka uandike mwaka x?
Umesema unashare kisa jinsi ulivyofanikiwa kwanini umeshindwa kufafanunua miradi uliyowekeza? Ina ukakasi? Naamini kabisa lengo la kushare story yako ya mafanikio ilikuwa kutoa hamasa kwa vijana, fafanua miradi yako vijana wahamasike.
Mtu aliyesoma elimu ya mkoloni hana uandishi wa kisasa mfano matumizi ya emojis, matumizi ya x, itoshe tu kusema wewe ni kijana japo umetoa ushauri mzuri kwa vijana.
Salaam kwenu wote,

Mimi ni mgeni humu ila ningependa kushare kisa kidogo cha maisha ya ujana wangu,

Nimezaliwa 1953

Kusema kweli mwenyezi Mungu alinijalia sana mimi, kwenye elimu ya darasani nilikuwa vizuri sana nikafanikiwa kumaliza chuo mwaka X kipindi hicho

Bahati nzuri nikapata kazi yangu kwenye kampuni Y, nili fanya kwa miaka 3 kabla ya kuhamishwa kupelekwa kwenye kituo kingine

Ambapo nilipata mshahara na marupu marupu matamu kweli,

Nilitumikia hiyo nafasi kwa miaka 35

Mpaka nilivyostaafu rasmi 2016, namshukuru Mungu sana kwa kunijaalia akili ya kuona mbele, na kuweza kupanga hatma ya maisha yangu,


Niliweza kujiingiza kwenye kuwekeza kwenye vitega uchumi, mbalimbali

Ambavyo ndo vinanilea sasa hivi

nawashaurini vijana mtakaosoma hiki kisa tafadhali tafadhali tumieni muda wenu vizuri, msije mkajuta baadae mkiona mzee ni masikini jua haikuja hivi hivi, likewise mkiona mzee ni tajiri jua ni tu watu walijitoa haswa haswa,

Zingatia:
[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]

-TUMIENI UJANA WENU VIZURI,
-NARUDIA TENA TUMIENI UJANA WENU
VIZURI,
-NARUDIA TUMIENI UJANA WENU VIZURI


MSIJE
MKAJUTA KWENYE UZEE WENU, MAANA MUDA UTAKUWA UMEKUTUPA MKONO NA NDIPO MARADHI YATAKAVYOANZA KUKUSHAMBULIA,

Kwangu mimi navyoona umri wa kuweka nguvu ni (25-55) hapa ndo inabidi ufanye uwekezaji mkubwa na uchakarike sana

Lakini kumbukeni pia kumtanguliza Mungu kwenye kila mfanyacho, ili azidi kuwabariki,

Mimi namshukuru Mungu wanangu 4 wapo vizuri kila mtu yupo kwao NA FAMILIA ZAO

Mimi nalea wajukuu tu wakija likizo,

Hivyo ni faraja sana kwangu,

Namshukuru Mungu kwa kunijaalia uzee mzuri, japo haikuwa rahisi mpaka kufikia hapa nilipo,

Muwe na jpili njema [emoji114][emoji114][emoji114][emoji114][emoji114]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ushauri mzuri sana lakini bandiko lako linaacha maswali kichwani.
Kwanini ufiche mwaka wa kumaliza chuo mpaka uandike mwaka x?
Umesema unashare kisa jinsi ulivyofanikiwa kwanini umeshindwa kufafanunua miradi uliyowekeza? Ina ukakasi? Naamini kabisa lengo la kushare story yako ya mafanikio ilikuwa kutoa hamasa kwa vijana, fafanua miradi yako vijana wahamasike.
Mtu aliyesoma elimu ya mkoloni hana uandishi wa kisasa mfano matumizi ya emojis, matumizi ya x, itoshe tu kusema wewe ni kijana japo umetoa ushauri mzuri kwa vijana.

Sent using Jamii Forums mobile app
Asante kwa maoni yako,

Ila nilishaeleza hapo awali vitega uchumi vizuri ni
-shamba la mboga
-ufugaji wa ngombe, nguruwe
-appartment kadhaa
-wakala mpesa
- savings kwenye bank yenye interest nzuri

Hivi havijawahi kunipa stress hata kidogo mkuu
 
Mzee ungeelekeza vizuri namna ulivyoanza kuwekeza na sehemu ulizowekeza uzi wako ungekuwa na manufaa sana Kwa wasomaji, ila Kwa style hii uliyokuja nayo uzi wako umejaa majigambo na mipasho.

Uwe na j.pili njema nawe pia
Huyu mzee kwakweli, sijui anataka waonekane vijana hawana adabu!

Sasa ngoja nimuulize mzee, je uwekezaji gani ni wa uhakika ambao kijana akiuwekeza ataendelea kula faida maisha yake yote?

Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app
 
Huyu mzee kwakweli, sijui anataka waonekane vijana hawana adabu!

Sasa ngoja nimuulize mzee, je uwekezaji gani ni wa uhakika ambao kijana akiuwekeza ataendelea kula faida maisha yake yote?

Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app
Uwekezaji wowote ule una probability ya (loose na gain)

Mimi wangu nishaelezea hapo juu nilivyoufanya, (real estate, agriculture, na savings zenye interest nzuri mbona utavuna tu mkuu)

Ndio kiti kinachoniwezesha na kuniweka mjini mimi,
 
Hamna mkalifu duniani hapa bora mimi nili forge wengine waliochota pesa za taasisi je?

Mkuu acha tu, kila mtu ana pungufu lake
Hamna mkalifu duniani hapa bora mimi nili forge wengine waliochota pesa za taasisi je?

Mkuu acha tu, kila mtu ana pungufu lake
Ni kweli ila kutenda dhambi huku ukijua kabisa na huenda ukawa unawaumiza wengine ni dhambi kubwa sana.

Mara nyingi wezi mafisadi huwa wanawacheka wasio wezi kwa kuwa hawajafanya maendeleo makubwa kwa hela za wizi na huwakejeli kuwa walikuwa wazembe.



Wewe upo wapi?
 
Ni kweli ila kutenda dhambi huku ukijua kabisa na huenda ukawa unawaumiza wengine ni dhambi kubwa sana.

Mara nyingi wezi mafisadi huwa wanawacheka wasio wezi kwa kuwa hawajafanya maendeleo makubwa kwa hela za wizi na huwakejeli kuwa walikuwa wazembe.



Wewe upo wapi?
Sikuwahi kuiba, ila tu niliforge cheti basi
 
Back
Top Bottom