Nguvu nilizowekeza kwenye ujana wangu nakula Matunda yake sasa

Nguvu nilizowekeza kwenye ujana wangu nakula Matunda yake sasa

Kabisa, na mimi nilizingatia pia nisi nenepe

Maana hamnaga unene wenye afya na namshukuru Mungu afya yangu ipo vizuri kabisa ila kuumwa kwa hapa na pale kumo pia

Shukran mkuu 👐
Hakika uliupiga mwingi mkuu hongera Sana. Huwa nakaa natafakari maisha ya uzee kiukweli huwa sipati picha halisi yatakuaje Kama nitafika huko ila nikiwaza nguvu zitapungua nachoka kabisa.
 
Hakika uliupiga mwingi mkuu hongera Sana. Huwa nakaa natafakari maisha ya uzee kiukweli huwa sipati picha halisi yatakuaje Kama nitafika huko ila nikiwaza nguvu zitapungua nachoka kabisa.
Kuna wazee wako fiti sana mbona we jali afya yako tu, utaona utakavyo ufurahia uzee wako

Anza sasa hivi kujali afya yako hutojutia kabisa mkuu,
 
Huwezi jua A to Z ya mtu hata kama niseme niongeze maneno

Ila vitu vya muhimu nimeweka mbona
Sio kuhusu kukujua in person bali ungesema mbinu ulizotimia, changamoto ulizopata, jinsi ulivyozitatua mpaka kifika ulipo. Nàdhani hapo ungesaidia wengi.

Ni mawazo yangu mzee wangu. Pia samahani kama nimekukwaza kwa namna yoyote ile.
 
Salaam kwenu wote,

Mimi ni mgeni humu ila ningependa kushare kisa kidogo cha maisha ya ujana wangu,

Nimezaliwa 1953

Kusema kweli mwenyezi Mungu alinijalia sana mimi, kwenye elimu ya darasani nilikuwa vizuri sana nikafanikiwa kumaliza chuo mwaka X kipindi hicho

Bahati nzuri nikapata kazi yangu kwenye kampuni Y, nili fanya kwa miaka 3 kabla ya kuhamishwa kupelekwa kwenye kituo kingine

Ambapo nilipata mshahara na marupu marupu matamu kweli,

Nilitumikia hiyo nafasi kwa miaka 35

Mpaka nilivyostaafu rasmi 2016, namshukuru Mungu sana kwa kunijaalia akili ya kuona mbele, na kuweza kupanga hatma ya maisha yangu,


Niliweza kujiingiza kwenye kuwekeza kwenye vitega uchumi, mbalimbali

Ambavyo ndo vinanilea sasa hivi

nawashaurini vijana mtakaosoma hiki kisa tafadhali tafadhali tumieni muda wenu vizuri, msije mkajuta baadae mkiona mzee ni masikini jua haikuja hivi hivi, likewise mkiona mzee ni tajiri jua ni tu watu walijitoa haswa haswa,

Zingatia:
[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]

-TUMIENI UJANA WENU VIZURI,
-NARUDIA TENA TUMIENI UJANA WENU
VIZURI,
-NARUDIA TUMIENI UJANA WENU VIZURI


MSIJE
MKAJUTA KWENYE UZEE WENU, MAANA MUDA UTAKUWA UMEKUTUPA MKONO NA NDIPO MARADHI YATAKAVYOANZA KUKUSHAMBULIA,

Kwangu mimi navyoona umri wa kuweka nguvu ni (25-55) hapa ndo inabidi ufanye uwekezaji mkubwa na uchakarike sana

Lakini kumbukeni pia kumtanguliza Mungu kwenye kila mfanyacho, ili azidi kuwabariki,

Mimi namshukuru Mungu wanangu 4 wapo vizuri kila mtu yupo kwao NA FAMILIA ZAO

Mimi nalea wajukuu tu wakija likizo,

Hivyo ni faraja sana kwangu,

Namshukuru Mungu kwa kunijaalia uzee mzuri, japo haikuwa rahisi mpaka kufikia hapa nilipo,

Muwe na jpili njema [emoji114][emoji114][emoji114][emoji114][emoji114]
@KIBABU_53 Ombea wazee wenzio nao maana wazee wengi wan panic attack kwenye kila kitu
 
Sio kuhusu kukujua in person bali ungesema mbinu ulizotimia, changamoto ulizopata, jinsi ulivyozitatua mpaka kifika ulipo. Nàdhani hapo ungesaidia wengi.

Ni mawazo yangu mzee wangu. Pia samahani kama nimekukwaza kwa namna yoyote ile.
Usihofu hujanikwaza hata

Changamoto kuu niliyoipata ni kupata ule ujasiri wa uthubutu basi, kabla ya hapo nilikuwa muoga sana ila ile courage ndo ilikuwa msaada wangu

Nilianza na appartment kwanza mkuu, na savings

Ila 2016 nilivyostaafu nilikuwa na muda mwingi ndo nikajiingiza kwenye (kilimo cha mboga, ufugaji,)

Hapa nilitumia miaka 3 mpaka kuwa stable changamoto kuu ni usimamizi bora, na inabidi uwe na elimu nzuri kuhusu hili suala,

Sema haikunipa shida maana ilikuwa small scale hivyo ilikuwa rahisi ku menage
 
Salaam kwenu wote,

Mimi ni mgeni humu ila ningependa kushare kisa kidogo cha maisha ya ujana wangu,

Nimezaliwa 1953

Kusema kweli mwenyezi Mungu alinijalia sana mimi, kwenye elimu ya darasani nilikuwa vizuri sana nikafanikiwa kumaliza chuo mwaka X kipindi hicho

Bahati nzuri nikapata kazi yangu kwenye kampuni Y, nili fanya kwa miaka 3 kabla ya kuhamishwa kupelekwa kwenye kituo kingine

Ambapo nilipata mshahara na marupu marupu matamu kweli,

Nilitumikia hiyo nafasi kwa miaka 35

Mpaka nilivyostaafu rasmi 2016, namshukuru Mungu sana kwa kunijaalia akili ya kuona mbele, na kuweza kupanga hatma ya maisha yangu,


Niliweza kujiingiza kwenye kuwekeza kwenye vitega uchumi, mbalimbali

Ambavyo ndo vinanilea sasa hivi

nawashaurini vijana mtakaosoma hiki kisa tafadhali tafadhali tumieni muda wenu vizuri, msije mkajuta baadae mkiona mzee ni masikini jua haikuja hivi hivi, likewise mkiona mzee ni tajiri jua ni tu watu walijitoa haswa haswa,

Zingatia:
👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇

-TUMIENI UJANA WENU VIZURI,
-NARUDIA TENA TUMIENI UJANA WENU
VIZURI,
-NARUDIA TUMIENI UJANA WENU VIZURI


MSIJE
MKAJUTA KWENYE UZEE WENU, MAANA MUDA UTAKUWA UMEKUTUPA MKONO NA NDIPO MARADHI YATAKAVYOANZA KUKUSHAMBULIA,

Kwangu mimi navyoona umri wa kuweka nguvu ni (25-55) hapa ndo inabidi ufanye uwekezaji mkubwa na uchakarike sana

Lakini kumbukeni pia kumtanguliza Mungu kwenye kila mfanyacho, ili azidi kuwabariki,

Mimi namshukuru Mungu wanangu 4 wapo vizuri kila mtu yupo kwao NA FAMILIA ZAO

Mimi nalea wajukuu tu wakija likizo,

Hivyo ni faraja sana kwangu,

Namshukuru Mungu kwa kunijaalia uzee mzuri, japo haikuwa rahisi mpaka kufikia hapa nilipo,

Muwe na jpili njema 👐👐👐👐👐
Sasa Hapo umeshauri nini?? Zaidi ya bla bla nyiiingi mara ukalipwa vizuri mara hiki hujashauri lolote.
 
Mawazo yako ni mazuri, unaweza kuwa na mawazo mazuri lakini huna mtaji,huna KAZI nzuri, wewe ulibahatika kupata KAZI nzuri yenye mshahara mnono mshukuru Mungu
Ni kweli kabisa, ila usikate tamaa

Kwenye vizazi vya sahivi nadhani ni bora utumie akili nyingi kuliko nguvu, sisi enzi zetu ukitumia nguvu nyingi unatoboa kirahisi tu
 
We dogo JF umeijua juzi tu then ubishi Mwingi .
Cheki lilivyo pumbavu unaambiwa uonyeshe unasema if umejua juzi mbona umejaa kamasi wewe nimekuambia nionyeshe hizo comment. Hayupo mtu aliye busy kutafuta maisha akashinda mitandaoni angalia hata waanzilishi wa jf. Uache upumbavu nikajua ushaacha ujinga wako kumbe bado
 
Back
Top Bottom