thatfunnyboy23
JF-Expert Member
- Dec 25, 2020
- 850
- 1,134
CHAIKila mtu atabeba mzigo wake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
CHAIKila mtu atabeba mzigo wake
Sitakiwi niweke kila kitu wazi, mkuuMzee gani uliyesoma elimu ya mkoloni na huwezi kujielezea vizuri ukaeleweka!
Au ni kijana wa dot com umekuja kwa staili ya kujiita mzee ili upate attention?
Nakubaliana na wewe kwenye kuwekeza.
una mwambia mzee kuwa katoa chai 😂CHAI
Asante baba nimepokea.!!Ni kweli, ila kwa zama hizi tafuta kitu kimoja u focus nacho, vizuri kwa muda wa 5-10 years utaona compound interest yake
Jifunze kufanya kitu 1 repipitively, na pia jua njia nzuri za kujionyesha ili ukuze na watu wakujue ww kupitia hicho kitu ufanyacho
Hivi mkuu na wewe umeamini kabisa hiyo chai kwamba mzee wa miaka70 anakuja kuandika hayo, kuna haja gani adanganye si aseme tu anatoa ushauriVijana wa siku hizi wamewekeeza zaidi kwenye kula matunda kimasihara! Wengi wao hawana kabisa vision ya baadaye.
NakaziaVijana wa siku hizi wamewekeeza zaidi kwenye kula matunda kimasihara! Wengi wao hawana kabisa vision ya baadaye.
Hakuna mzee hapo mkuu. MIAKA70 anafanya nn hapa.una mwambia mzee kuwa katoa chai 😂
Hapana mkurugenzi. Natambua fika huyu ni motivesheni spika! Anawakumbusha tu vijana kuwekeza.Hivi mkuu na wewe umeamini kabisa hiyo chai kwamba mzee wa miaka70 anakuja kuandika hayo, kuna haja gani adanganye si aseme tu anatoa ushauri
Aisee humu wazee tupo bhana! Tena wa jinsia zote! Tuko wengi kweli kweli! Hebu fikiria tu kuna watu wapo humu tangu mwaka 2008! Wakati huo ulikuwa na umri wa miaka mingapi?Hakuna mzee hapo mkuu. MIAKA70 anafanya nn hapa huyo
Hapo mekuelewa mkuu. Ila mkuu ulisha notice wengi watakusikiliza wakina kama una mafanikio? Japo kaongea ukweli ila aàche uongo wa kuzaliwa 1953Hapana mkurugenzi. Natambua fika huyu ni motivesheni spika! Anawakumbusha tu vijana kuwekeza.
Na ofcourse alichokisema ni sahihi. Ukiwekeza katika umri wa ujana, uzee wako unakuwa ni wenye unafuu sana. Yaani huwezi kugeuka kuwa mzigo/tegemezi kwa wengine.
Hilo halithibitishi kwamba umezaliwa 1953 na kucomment kutwa nzima jf🤣🤣huyo jamaa ana matatizo tu binafsi. Ila kaongea pointAisee humu wazee tupo bhana! Tena wa jinsia zote! Tuko wengi kweli kweli! Hebu fikiria tu kuna watu wapo humu tangu mwaka 2008! Wakati huo ulikuwa na umri wa miaka mingapi?
Mbona Andrew Nyerere kazaliwa 53 na tulikua tunachart naye Sana hapa JFHilo halithibitishi kwamba umezaliwa 1953 na kucomment kutwa nzima jf🤣🤣huyo jamaa ana matatizo tu binafsi. Ila kaongea point
Tunachokataa ni UONGO
Huyo anajiita babu yupo JF mpaka saa8 usiku anacomment upumbavu. Mkuu mbona unataka kujitoa akili wakati vitu vipo wazi kabisa baby gani wa miaka 70 usiku saa8 anachat. Hivi shule ukuenda hata pic uoni?Mbona Andrew nyerere kazaliwa 53 na tulikua tunachart naye Sana hapa JF