Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
Salam,
Nimekua najiuliza mara nyingi sana kuwa hizi nguvu zinazotumika kushabikia vita au maasi kwenye nchi ambazo wala hazituhusu, si tungezitumia hapa kwetu kukemea maovu? Mfano ni haya yafuatayo
1. Ndani ya kipindi kisichozidi siku 10 yaani kati ya November 25 - December 2 Polisi wetu,wanaolipwa kwa kodi zetu, wameua RAIA wawili wasio na hatia, Mlinzi wa Boardroom Sinza na Mama muuza Mboga huko Iringa, hakuna official statement imetolewa, hakuna chochote it is like walioliwa ni mbwa. ila tuko busy na waarabu/waisrael.
2. kuna wimbi kubwa la vijana wa kihuni kufanya vurugu, wamejeruhi, wameua, wamepora na huwezi kusikia kuna mtu anakemea hili, wote kimya, Vijana hawa kwa sasa wanazidi kuongezeka na mbaya zaidi vyombo vya habari viko kimya au pengine mamlaka husika hazitaki kutoa taarifa, makundi haya kwa sasa yapo Dar, Moro, Katavi (wamepora na kuua) na Arusha. wanaoporwa, kujeruhiwa na kuumizwa ni ndugu zetu.
3. wakati tunaumizwa na haya, anajitokeza Waziri anayejiita Profesa ambaye amekula amevimbiwa anasema VINGOZI wa Tanzania wanabana Matumizi kwa kununua magari ya 2023 ya million 500.
Nilitaka kuendelea kuandika, narudi kwanza........
Nimekua najiuliza mara nyingi sana kuwa hizi nguvu zinazotumika kushabikia vita au maasi kwenye nchi ambazo wala hazituhusu, si tungezitumia hapa kwetu kukemea maovu? Mfano ni haya yafuatayo
1. Ndani ya kipindi kisichozidi siku 10 yaani kati ya November 25 - December 2 Polisi wetu,wanaolipwa kwa kodi zetu, wameua RAIA wawili wasio na hatia, Mlinzi wa Boardroom Sinza na Mama muuza Mboga huko Iringa, hakuna official statement imetolewa, hakuna chochote it is like walioliwa ni mbwa. ila tuko busy na waarabu/waisrael.
2. kuna wimbi kubwa la vijana wa kihuni kufanya vurugu, wamejeruhi, wameua, wamepora na huwezi kusikia kuna mtu anakemea hili, wote kimya, Vijana hawa kwa sasa wanazidi kuongezeka na mbaya zaidi vyombo vya habari viko kimya au pengine mamlaka husika hazitaki kutoa taarifa, makundi haya kwa sasa yapo Dar, Moro, Katavi (wamepora na kuua) na Arusha. wanaoporwa, kujeruhiwa na kuumizwa ni ndugu zetu.
3. wakati tunaumizwa na haya, anajitokeza Waziri anayejiita Profesa ambaye amekula amevimbiwa anasema VINGOZI wa Tanzania wanabana Matumizi kwa kununua magari ya 2023 ya million 500.
Nilitaka kuendelea kuandika, narudi kwanza........