Nguvu ya Biashara ya Forex, Ujasusi na yaliyo nyuma ya pazia

Huu ndio unafiki tunaopiga vita sasa.
Weka hapa huo ushahidi tuamini.
Bila shaka hukumpigia cm, Bali ulimuomba kwa maandishi.
Weka evidence nivue nguo zote hapa Kariakoo.
Inaonesha unapenda sana kuvua nguo angalia usije kubakwa tu
 
Irrelevant content, thanks 4 trying. By the way, hao watu wa Forex pale JANGID wanachase maembe au?, na hawa devoted followers wana-expect nini kama si pesa ya bure bila kuivujia jasho ( bila kuzalisha mali/ huduma yeyote ile).
 
Waungwana naombeni mniambie Part 2 ipo post namba ngapi niifuate maana nimeitafuta huko ndani nakutana na matusi tu
 
Jamaa una kipaji kikubwa hongera. Lakini hongera zaidi kwasababu ni moja ya vijana wachache Tanzania wanaosoma vitabu.
Jamaa anakipaji tena kikubwa. Lakini jambo moja ni kuwa stori zingine anatoa mitandaoni sio baada ya kusoma vitabu.
 
Una akili sana wewe mutu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…