kichakaa man
JF-Expert Member
- Oct 20, 2011
- 5,500
- 5,164
Inaonesha unapenda sana kuvua nguo angalia usije kubakwa tuHuu ndio unafiki tunaopiga vita sasa.
Weka hapa huo ushahidi tuamini.
Bila shaka hukumpigia cm, Bali ulimuomba kwa maandishi.
Weka evidence nivue nguo zote hapa Kariakoo.
Irrelevant content, thanks 4 trying. By the way, hao watu wa Forex pale JANGID wanachase maembe au?, na hawa devoted followers wana-expect nini kama si pesa ya bure bila kuivujia jasho ( bila kuzalisha mali/ huduma yeyote ile).Hukuielewa movie.. The root of its all is people chasing {$€£} money... Ndio maana inawablind.. Life is not only chasing money.. People dd live waay before money.. And today primarily we still need more or less the same basic needs.. Food, Shelter and Clothing.. How much money do one need to get all these at a comfortably basic level...
Vitu vinavyotufanya tuhitaji sana pesa sometimes ni ujinga tu wa jamii za kileo.. Fashion being one of them... (Self entitlement) In return tutajuta (sisi)..if not the next generation.
Inatosha kwa kujaribu. Its an achievement.Irrelevant content, thanks 4 trying.
Acha mipasho, jibu hoja yangu sensibly and logically.Mbona unatoa povu hivyo vip nani kakutomasa huko
Mxiiiuu...hovyoooosalute
Japo si kila mtu anaweza kufanya forex but hii kitu ni zaidi ya ajira. Naweza kusema nami ni mnufaika mkubwa na ambapo sitamani ajira yoyote hapa nchini.Aisee nyie watu nyinyi....mnakuwa mnajua vitu fulani ila mnakaa navyo mioyoni mnaangalia tu raia wanatapatapa!
Kijana wangu kumbe uko verified....Uandishi Mzuri wa kuvutia; safi sana mkuu Habib. Ontario mdogo mdogo unaingia katika vitabu vya historia!
Hata foreverliving walikuwa wanatuma fake mercenaries kuja kutoa shuhuda humu JF.Japo si kila mtu anaweza kufanya forex but hii kitu ni zaidi ya ajira. Naweza kusema nami ni mnufaika mkubwa na ambapo sitamani ajira yoyote hapa nchini.
Unajua nimesoma sana posts zako but nimeona mimi sio level yako, ya nini kunijibu mjinga mimi?Hata foreverliving walikuwa wanatuma fake mercenaries kuja kutoa shuhuda humu JF.
Jamaa anakipaji tena kikubwa. Lakini jambo moja ni kuwa stori zingine anatoa mitandaoni sio baada ya kusoma vitabu.Jamaa una kipaji kikubwa hongera. Lakini hongera zaidi kwasababu ni moja ya vijana wachache Tanzania wanaosoma vitabu.
Story zake nying anatoa mindaon sema kipaji chake ni uwezo wa kuchambua na kufanya presentation katika namna ambayo inakuwa rahis hata mwenye kichwa kigumu kuelewaJamaa anakipaji tena kikubwa. Lakini jambo moja ni kuwa stori zingine anatoa mitandaoni sio baada ya kusoma vitabu.
Una akili sana wewe mutu.Nimesoma hiyo paragraph ya utangulizi tu. Hivi ni akina nani hao walikupa maombi mengi ya kukutaka utie neno? Wewe kama umeamua kuandika kitu andika, sio utake watu waone kana kwamba unawafanyia fadhila kubwa au kana kwamba una umuhimu flani hivi..; either way, ur gud at beating around the bush and never getting to the point.
=====================================
Hili tangazo la biashara linasema kwamba;
1.) Office za Forex Tanzania zinazoendeshwa na 'Ontario' zipo JANGID TOWER.
2.) Kwa kufanya hii biashara in a 'clever manner' unaweza kufanikiwa kama 'George Soros'. (He made a BN $ eventually).
3.) Forex bussiness wanayoendesha hapo JANGID ina vibali vyote serikalini, hivyo ni halali na ina-baraka zote toka serikalini (hata hao wahindi wamesha-sort out vibali vyao)
[Malizia kipengele namba 4,5,6,7 na 8 za hili tangazo. Ukishidwa nitakusaidia
4.) .........
===================================