Nguvu ya Biashara ya Forex, Ujasusi na yaliyo nyuma ya pazia

Nguvu ya Biashara ya Forex, Ujasusi na yaliyo nyuma ya pazia

Hahah.., haina haja ya kutambiana mafanikio, na sitafanya hivyo. Ila elewa mantiki ya comment kabla ya kujibizana na mtu.
Kwa watu wanaofikiri clearly bila utandu vichwani mwao watagundua haya.
Hili tangazo la biashara linasema kwamba;

1.) Office za Forex Tanzania zinazoendeshwa na 'Ontario' zipo JANGID TOWER.

2.) Kwa kufanya hii biashara in a 'clever manner' unaweza kufanikiwa kama 'George Soros'. (He made a BN $ eventually).

3.) Forex bussiness wanayoendesha hapo JANGID ina vibali vyote serikalini, hivyo ni halali na ina-baraka zote toka serikalini (hata hao wahindi wamesha-sort out vibali vyao)
[Kama huna akili za panya, malizia namba 4,5,6,7 na 8za hili tangazo. Ukishidwa nitakusaidia
4.) .........

Best of luck slave rat..
Huwezi kujitambia kitu usichokua nacho, huna mafanikio yoyote labda ujitambie ya wazazi au ndugu zako. Haters hawafanikiwi kamwe.
 
Short, sweet and powerful.

Hua nakubali sana nguvu ya kalamu yako chief. Lkn niwe tu muwazi, hii kitu umekosea sana kutupa vipande kama movie za Kinaijeria. I am really waiting for part 2, 3, 4 and 5. Thanks again for sharing ur talent with us. Stay blessed!!
Wale wenye negative attitude juu ya The bold wapitie na hii comment pia.
 
Mkuu The bold we endelea kuchanja mbuga hawa panzi hawajaanza kuwepo leo, walikuwepo kabla na hata baada ya hawa wataibuka wengine, ni vizuri kuona wala hutikisiki na unaendelea ku-share vingi na sisi.
Kabisa chief...
Walikuwepo tangu thread ya kwanza miaka miwili iliyopita but we still here kicking a** [emoji123]
 
The bold,
Shukrani kwa makala zako za simulizi za kipekee ktk lugha ya Kiswahili zinazoelezea matukio muhimu ulimwenguni kama hili la "Black Wednesday".

Maana Jamiiforums inabidi liwe jukwaa linalotoa mwanga kuelewa matukio makubwa kama haya na kuelimisha pia kwa lugha yetu adhimu ya Kiswahili.
 
Huwezi kujitambia kitu usichokua nacho, huna mafanikio yoyote labda ujitambie ya wazazi au ndugu zako. Haters hawafanikiwi kamwe.
We malizia hizo missing points kwenye hili tangazo, kama una akili za panya sema; mipasho na kulialia kutafuta uonewe huruma hakutakusaidia; other wise scram slave rat!
 
We malizia hizo missing points kwenye hili tangazo, kama una akili za panya sema; mipasho na kulialia kutafuta uonewe huruma hakutakusaidia; other wise scram slave rat!
Nimekwambia tayari wewe ni mganga njaa sina cha kujifunza kwako sababu huna mafanikio yoyote zaidi ya ku-hate wanaofanikiwa so sina haja ya kupita unapotaka nipite.
 
Hahah.., haina haja ya kutambiana mafanikio, na sitafanya hivyo. Ila elewa mantiki ya comment kabla ya kujibizana na mtu.
Kwa watu wanaofikiri clearly bila utandu vichwani mwao watagundua haya.
Hili tangazo la biashara linasema kwamba;

1.) Office za Forex Tanzania zinazoendeshwa na 'Ontario' zipo JANGID TOWER.

2.) Kwa kufanya hii biashara in a 'clever manner' unaweza kufanikiwa kama 'George Soros'. (He made a BN $ eventually).

3.) Forex bussiness wanayoendesha hapo JANGID ina vibali vyote serikalini, hivyo ni halali na ina-baraka zote toka serikalini (hata hao wahindi wamesha-sort out vibali vyao)
[Kama huna akili za panya, malizia namba 4,5,6,7 na 8za hili tangazo. Ukishidwa nitakusaidia
4.) .........

Best of luck slave rat..
Mkuu mbona hilo ni jambo la kawaida sana kwenye kazi za fasihi,wazungu wanaita product placement.mbona hata muvi nyingi zinamatangazo ndani yake.mfano mzuri ni The Transformers.etc.Fanani naye anahitaji kuweka mkono kinywani.
 
Back
Top Bottom