- kANA -
JF-Expert Member
- Apr 17, 2017
- 4,072
- 10,514
Duh!Ahahah
Na mm acha niendeee kusapray mayai yangu kwenye hotel. Soo naongeza project yangu ya kuku wa nyama.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh!Ahahah
Na mm acha niendeee kusapray mayai yangu kwenye hotel. Soo naongeza project yangu ya kuku wa nyama.
asante kwa jibu zuri kwa mkengeefu ndg yetu.Nashukuru kwa maana umesoma kuanzia kichwa cha habari mpaka nukta ya mwisho.
Karibu sana.
Jumatatu mbaliItaendela kila baada ta siku moja.
Yaani mfano hii sehemu ya pili nitaweka Jumatatu.
Pamoja kamaradi...Nafuatilia mada mkuu , "keen intuitive power" Inakusaidia kufahamu mengi yasionekana na wengi.
Naamini huyo mzee aliyekuita anafaham mengi ktk pande zote mbili
Huwezi kujitambia kitu usichokua nacho, huna mafanikio yoyote labda ujitambie ya wazazi au ndugu zako. Haters hawafanikiwi kamwe.Hahah.., haina haja ya kutambiana mafanikio, na sitafanya hivyo. Ila elewa mantiki ya comment kabla ya kujibizana na mtu.
Kwa watu wanaofikiri clearly bila utandu vichwani mwao watagundua haya.
Hili tangazo la biashara linasema kwamba;
1.) Office za Forex Tanzania zinazoendeshwa na 'Ontario' zipo JANGID TOWER.
2.) Kwa kufanya hii biashara in a 'clever manner' unaweza kufanikiwa kama 'George Soros'. (He made a BN $ eventually).
3.) Forex bussiness wanayoendesha hapo JANGID ina vibali vyote serikalini, hivyo ni halali na ina-baraka zote toka serikalini (hata hao wahindi wamesha-sort out vibali vyao)
[Kama huna akili za panya, malizia namba 4,5,6,7 na 8za hili tangazo. Ukishidwa nitakusaidia
4.) .........
Best of luck slave rat..
Wale wenye negative attitude juu ya The bold wapitie na hii comment pia.Short, sweet and powerful.
Hua nakubali sana nguvu ya kalamu yako chief. Lkn niwe tu muwazi, hii kitu umekosea sana kutupa vipande kama movie za Kinaijeria. I am really waiting for part 2, 3, 4 and 5. Thanks again for sharing ur talent with us. Stay blessed!!
Kabisa chief...Mkuu The bold we endelea kuchanja mbuga hawa panzi hawajaanza kuwepo leo, walikuwepo kabla na hata baada ya hawa wataibuka wengine, ni vizuri kuona wala hutikisiki na unaendelea ku-share vingi na sisi.
Nipo nipo mkuuMkuu tumemiss makala zako umepotelea wapi?
And that's what men do. Keep up the good work boss.[emoji109]Kabisa chief...
Walikuwepo tangu thread ya kwanza miaka miwili iliyopita but we still here kicking a** [emoji123]
We malizia hizo missing points kwenye hili tangazo, kama una akili za panya sema; mipasho na kulialia kutafuta uonewe huruma hakutakusaidia; other wise scram slave rat!Huwezi kujitambia kitu usichokua nacho, huna mafanikio yoyote labda ujitambie ya wazazi au ndugu zako. Haters hawafanikiwi kamwe.
Nimekwambia tayari wewe ni mganga njaa sina cha kujifunza kwako sababu huna mafanikio yoyote zaidi ya ku-hate wanaofanikiwa so sina haja ya kupita unapotaka nipite.We malizia hizo missing points kwenye hili tangazo, kama una akili za panya sema; mipasho na kulialia kutafuta uonewe huruma hakutakusaidia; other wise scram slave rat!
Mkuu mbona hilo ni jambo la kawaida sana kwenye kazi za fasihi,wazungu wanaita product placement.mbona hata muvi nyingi zinamatangazo ndani yake.mfano mzuri ni The Transformers.etc.Fanani naye anahitaji kuweka mkono kinywani.Hahah.., haina haja ya kutambiana mafanikio, na sitafanya hivyo. Ila elewa mantiki ya comment kabla ya kujibizana na mtu.
Kwa watu wanaofikiri clearly bila utandu vichwani mwao watagundua haya.
Hili tangazo la biashara linasema kwamba;
1.) Office za Forex Tanzania zinazoendeshwa na 'Ontario' zipo JANGID TOWER.
2.) Kwa kufanya hii biashara in a 'clever manner' unaweza kufanikiwa kama 'George Soros'. (He made a BN $ eventually).
3.) Forex bussiness wanayoendesha hapo JANGID ina vibali vyote serikalini, hivyo ni halali na ina-baraka zote toka serikalini (hata hao wahindi wamesha-sort out vibali vyao)
[Kama huna akili za panya, malizia namba 4,5,6,7 na 8za hili tangazo. Ukishidwa nitakusaidia
4.) .........
Best of luck slave rat..
Is this a well choreographed 'movie' ?Short, sweet and powerful.
Hua nakubali sana nguvu ya kalamu yako chief. Lkn niwe tu muwazi, hii kitu umekosea sana kutupa vipande kama movie za Kinaijeria. I am really waiting for part 2, 3, 4 and 5. Thanks again for sharing ur talent with us. Stay blessed!!