Nguvu ya Biashara ya Forex, Ujasusi na yaliyo nyuma ya pazia

Nguvu ya Biashara ya Forex, Ujasusi na yaliyo nyuma ya pazia

Patience mkuu... jumatatu sehemu ya pili inakuwa hapa.
The Bold, kupitia post yako ya pili no 516, nimejua kwa nini soko limekuwa gumu hasa kipindi hiki cha mwisho wa mwaka. Umenisaidia sana aksante.

Pia uliahidi kila baada ya siku moja unashusha. Sasa leo nasubiria ushushe maana kwa ratiba yako ni jumamosi, jumatatu na leo jumatano natarijia mwendelezo.

Ufafanuzi mkuu
 
Nilitegemea sehemu ya tatu Leo nimengoja mwisho nimekubali matokeo sijui alhamis labda
 
Andiko zuri mkuu, je ni vitabu gani vilivokupa uwezo wa kuwa smart hivo ambavyo unaweza pebdekeza kwa kijana anayetaka kuwa smart kama wewe asome??
 
kwa mtu ambar amewahi kusoma international finance na treasury management ataelewa sana haya yanayosemwa hapa
 
Andiko zuri mkuu, je ni vitabu gani vilivokupa uwezo wa kuwa smart hivo ambavyo unaweza pebdekeza kwa kijana anayetaka kuwa smart kama wewe asome??
Usmart wa mtu hauhitaji kusoma sana....
Speak when there is a crucial reason to do that.. mengne PM
 
Sitegemei kitu kipya kwa hizo episode zingine zinazokuja kwamba zitamsaidia nini mlaji mpya zaidi ya kumvuta kuingia kwenye huo mkahawa. Na wiwa kusema hivi kwa sababu huwezi kumharibia mwajiri wa mchumba/mkeo wako zaidi ya kumfagilia ili kulinda mkate wako na familia yako.

Kinachoniumiza mimi ni kwanini akaunti za hawa wanafunzi broker anaziunguza wakati anajua kabisa hawa ni wanafunzi ambao wanahitaji muda wakuelewa hiyo pips, tena wanafunzi wakitanzania ambao uwezo wao wa kudig taarifa ni mdogo na computer wamejifunza theoretical zaidi ya practical.

Kwanini broker asiwe hapa Tanzania ili iwe rahisi kwa serikali kuhakiki hii biashara, Halafu kuna kaupepo fulani hivi kahii biashara na wanaijeria, wanaijeria wamekuwa wengi sana kwenye hii biashara ya forex hasa kipindi hiki ambacho vyuma vimekaza na uwezo wa kununua grisi hakuna. Watanganyika kazi tunayo mpaka kufika nchi ya ahadi.
Mkuu njoo Pm
 
Ngoja na mimi nifuatilie habari za role model wangu, George Soros
 
Siku hiz hater ni wanaume watu wazima mnatia aibu wanaume suruali
 
Back
Top Bottom