Nguvu ya CHADEMA mitandaoni imeenda wapi?

Nguvu ya CHADEMA mitandaoni imeenda wapi?

Amani iwe nanyi.

Inasikitisha sana ukifuatilia page na post mbalimbali za Chadema wanavyotukanwa kwenye comments na wachangiaji.

Kuna group linaitwa Chadema in Blood kule Facebook yani kila wanachopost ni kutukanwa tu na watu, huko Instagram ndiyo balaa kabisa, njoo JamiiForums hali ni hiyo hiyo!

Nimeangalia comments za kwenye hotuba ya Mbowe aliyoitoa akisema vibaya utawala wa hayati Magufuli, kwa kweli ni huzuni raia walivyomtukana Mbowe. Swali la kujiuliza Chadema imefikaje huku?

Enzi za Dr Slaa ulikuwa unavaa gwanda la Chadema kwa maringo yote, leo tuvae kwa aibu ya kujifichaficha?

Je, Tundu Lissu ameharibu image ya chama baada ya kuanza kutetea mabeberu?

Je, ni Mbowe ameharibu image ya chama baada ya kuwa anaangushwa na Konyagi anasingizia amepigwa na wasiojulikana? Au ule uongo wake wa kuibia familia inapompeleka mahakamani anasingizia amefungiwa akaunti zake na serikali?

Hili wimbi la wafuasi wa Chadema kutukanwa mitandaoni chanzo ni nini?

Kiukweli inahitajika tathimini ya haraka sana kuikoa na kuirudisha Chadema kwa wananchi ili waiamini tena kama zamani.
IMG-20180405-WA0006.jpeg
 
Toka lini ccm mkaitakia mema CHADEMA???
Kwanza kuedelea kumtaja Dk Slaa na CHADEMA ni kuonyesha namna mlivyozoea kufanya siasa nyepesi!
Dk Slaa hata angekuwemo ndani ya CHADEMA mpaka leo kwa style ya utawala wa mwendazake katika hiki kipindi cha miaka 5 wala asingewezafanya lolote, zaidi angeishia kutekwa au kushambuliwa kwa risasi 32 !
Tumeshuhudia viongozi wa upinzani wakizuiwa kufaya mikutano, na hata wale waliofannikiwa kuvuka vikwazo lukuki na kujaribu kuhutubia walishushwa majukwaani katika namna iliyojaa udhalilishaji mkubwa!
Ilifika mahala DC anavamia hadi kikao cha ndani na kukaa kusikiliza kinachajadiliwa ilihali sio mjumbe wa kikao hicho a wala hakualikwa!
Pia unapaswa kutambua kuwa CHADEMA haifanyagi biashara ya kununua watu na kuwaweka mitandaoni wakatukane makda au viongozi wa vyama vingine. kwa hao mliowaandaa humo mitandaoni acha waendelee kufanya kazi mliowatuma, CHADEMA wanajenga chama!
Mkuu Dr slaa bora alivyoondoka Cdm lakini Kama angekuwepo bado yupo chadema kwa utawala wa mfu Magufuli angekuwa wa kwanza KUPIGWA RISASI KABLA YA LISU.
 
Mkuu Dr slaa bora alivyoondoka Cdm lakini Kama angekuwepo bado yupo chadema kwa utawala wa mfu Magufuli angekuwa wa kwanza KUPIGWA RISASI KABLA YA LISU.
Wenye akili hawawezi kubaki chadema
 
Amani iwe nanyi.

Inasikitisha sana ukifuatilia page na post mbalimbali za Chadema wanavyotukanwa kwenye comments na wachangiaji.

Kuna group linaitwa Chadema in Blood kule Facebook yani kila wanachopost ni kutukanwa tu na watu, huko Instagram ndiyo balaa kabisa, njoo JamiiForums hali ni hiyo hiyo!

Nimeangalia comments za kwenye hotuba ya Mbowe aliyoitoa akisema vibaya utawala wa hayati Magufuli, kwa kweli ni huzuni raia walivyomtukana Mbowe. Swali la kujiuliza Chadema imefikaje huku?

Enzi za Dr Slaa ulikuwa unavaa gwanda la Chadema kwa maringo yote, leo tuvae kwa aibu ya kujifichaficha?

Je, Tundu Lissu ameharibu image ya chama baada ya kuanza kutetea mabeberu?

Je, ni Mbowe ameharibu image ya chama baada ya kuwa anaangushwa na Konyagi anasingizia amepigwa na wasiojulikana? Au ule uongo wake wa kuibia familia inapompeleka mahakamani anasingizia amefungiwa akaunti zake na serikali?

Hili wimbi la wafuasi wa Chadema kutukanwa mitandaoni chanzo ni nini?

Kiukweli inahitajika tathimini ya haraka sana kuikoa na kuirudisha Chadema kwa wananchi ili waiamini tena kama zamani.


Ukabila na ubaguzi wao, unawarambisha vumbi. Ile gear ya kujiita kanda ya kasikazini imekwama. Nilisoma JF member mmoja akidadavua juu ya hilo ambayo ilikuwa mbinu ya uchagani kuwavuta Arusha wawaunge mkono, lakini ni kweli kwamba ubaguzi wa kikabila ulioko uchagani ni sumu kwa wengine. Hata wapare wanabaguliwa kwa kuamini wao wako juu mkoa mzima.

Sasa unamkuta mtu anajiandikia, sukuma gang, MATAGA, bhla! bhla! bila hata kuangalia anamfurahisha nani na kumuudhi nani, baadaye anategemea aungwe mkono ashike TZ, Wapi!
 
Mlijindanganya magu ni kamungu kwenu toka afe bado akili haijawarudia
Hakuna nguvu ya mtandaoni. There is no such thing.
Wapinzani wanaishi maisha ya kujidanganya.
Halafu bàadaye wanasema wameibiwa kura kwa sababu Jamii Forum ilisema watashinda

Wenye akili hawawezi kubaki chadema
Yule shetani angempiga risasi kabla ya Lisu.
 
Amani iwe nanyi.

Inasikitisha sana ukifuatilia page na post mbalimbali za Chadema wanavyotukanwa kwenye comments na wachangiaji.

Kuna group linaitwa Chadema in Blood kule Facebook yani kila wanachopost ni kutukanwa tu na watu, huko Instagram ndiyo balaa kabisa, njoo JamiiForums hali ni hiyo hiyo!

Nimeangalia comments za kwenye hotuba ya Mbowe aliyoitoa akisema vibaya utawala wa hayati Magufuli, kwa kweli ni huzuni raia walivyomtukana Mbowe. Swali la kujiuliza Chadema imefikaje huku?

Enzi za Dr Slaa ulikuwa unavaa gwanda la Chadema kwa maringo yote, leo tuvae kwa aibu ya kujifichaficha?

Je, Tundu Lissu ameharibu image ya chama baada ya kuanza kutetea mabeberu?

Je, ni Mbowe ameharibu image ya chama baada ya kuwa anaangushwa na Konyagi anasingizia amepigwa na wasiojulikana? Au ule uongo wake wa kuibia familia inapompeleka mahakamani anasingizia amefungiwa akaunti zake na serikali?

Hili wimbi la wafuasi wa Chadema kutukanwa mitandaoni chanzo ni nini?

Kiukweli inahitajika tathimini ya haraka sana kuikoa na kuirudisha Chadema kwa wananchi ili waiamini tena kama zamani.
Hata wafanye kulia na kugaagaa majukwaani hawawezi kufanikiwa.
 
Tatizo sio CDM, tatizo ni kuwa miaka yote hakujawahi kuwa na upinzani wa kweli zaidi ya upinzani wa misimu...

Walianza kina Mrema enzi ya NCCR, CUF ya Sharrif, CDM ya Slaa/Zitto, CDM ya Mbowe/Lissu na watakuja wengineo...
 
Hakuna nguvu ya mtandaoni. There is no such thing.
Wapinzani wanaishi maisha ya kujidanganya.
Halafu bàadaye wanasema wameibiwa kura kwa sababu Jamii Forum ilisema watashinda
That is being frank!
Kuna tatizo, hadi JF ikawa ni sehemu ya kampeni za kudanganyana. Hata thrd za kusifia Magufuli na CCM zikawa zinafutwa. JF ikajaa thrd za CHADEMA na Lissu tu! Ukiandika uzembe wa Lissu, thrd inafutwa. Watu wakabweteka wakati wanaelewa vijijini hakuna anayejua JF ni nini. Waliposhindwa, ikawa tumeibiwa, hatukubali, ..... bhal! bhla!
 
Kwenye ile kesi ya kubumba last year watu walichanga Millioni 300+ in less than 24 hours !

Ila kwakua MATAGA ulikua unaimba mapambio kijijini kwenu Ikwriri huwezi kujua nguvu ya mitandaoni! Hadi mflame akaizima siku ya uchaguzi
 
Kwenye ile kesi ya kubumba last year watu walichanga Millioni 300+ in less than 24 hours !

Ila kwakua MATAGA ulikua unaimba mapambio kijijini kwenu Ikwriri huwezi kujua nguvu ya mitandaoni! Hadi mflame akaizima siku ya uchaguzi
Usiseme watu, sema wachaga tulichanga, simple!
 
Tatizo la chadema sasahivi hawana sera tofauti enzi za kina wilbrod slaa sasahivi sera ni kumkashfu hayati Magufuli kulalamika Luis kapigwa risasi wanaonewa na serikali wapate huruma za wananchi
 
Back
Top Bottom