let the caged bird sings
JF-Expert Member
- Sep 19, 2020
- 3,699
- 8,857
Wakati yeye ni DeadstoneNilishangaa Mtanzania mwenzangu anaitwa Livingstone
Jina la kitabu ili.. Author wa hicho kitabu ni mama mmoja hivi mweusi na kama ujuavyo vile weusi tumebalikiwa kwa uzuri.
Ukiwa nchi za Kusini hivi.. Mfn mdogo South Africa.Ni kasumba tu ya kuiga Wazungu. Unaacha Mila yako unafuata zao, huo ni ukichaa.
NTULI KAPOLOGWEHivi inakuwaje mtu[ngozi nyeusi mzawa wa ujiji] unaitwa:-
JOHNSON DONALD?.
Yaani jina kama vile unaangia Muvi za Kimarekani!!.
Yaani, mi nikukutana na mtu kwa Mara ya kwanza, majina yake yote ndiyo yataamua nimpe mkazo ama nimpotezee.
COSSANI NDAVILABHONA.
IDALE MADUHU.
MSHAIJI KHAMISI.
MASUNGA MACHIMU.
MLOKOZI KAMZIMA.
MAYALA BUPYENA.
KAYEBHA MAIKO
MASANJA NDAMA YAPE.
jamaa zangu hawa wa karibu wanafanya vizuri sana kiuchumi katika kijiji chetu na hawana ujinga ujinga wa Hollywood.
Pelepeche MwaipumbuNTULI KAPOLOGWE
[emoji24][emoji24][emoji24]si ni JIWE HAI?Nilishangaa Mtanzania mwenzangu anaitwa Livingstone
Alivyo fala, ako na jina lenye broken English hapa JF. Alafu bado anazodoa majina ya watu.Na ukajiita let the caged bird sings humu. Quite ironic. Wenye majina wanaweza singizia walipewa na wazazi, na hawakuwa na namna.