let the caged bird sings
JF-Expert Member
- Sep 19, 2020
- 3,699
- 8,857
Hivi inakuwaje mtu[ngozi nyeusi mzawa wa ujiji] unaitwa:-
JOHNSON DONALD?.
Yaani jina kama vile unaangia Muvi za Kimarekani!!.
Yaani, mi nikukutana na mtu kwa Mara ya kwanza, majina yake yote ndiyo yataamua nimpe mkazo ama nimpotezee.
COSSANI NDAVILABHONA.
IDALE MADUHU.
MSHAIJI KHAMISI.
MASUNGA MACHIMU.
MLOKOZI KAMZIMA.
MAYALA BUPYENA.
KAYEBHA MAIKO
MASANJA NDAMA YAPE.
jamaa zangu hawa wa karibu wanafanya vizuri sana kiuchumi katika kijiji chetu na hawana ujinga ujinga wa Hollywood.
JOHNSON DONALD?.
Yaani jina kama vile unaangia Muvi za Kimarekani!!.
Yaani, mi nikukutana na mtu kwa Mara ya kwanza, majina yake yote ndiyo yataamua nimpe mkazo ama nimpotezee.
COSSANI NDAVILABHONA.
IDALE MADUHU.
MSHAIJI KHAMISI.
MASUNGA MACHIMU.
MLOKOZI KAMZIMA.
MAYALA BUPYENA.
KAYEBHA MAIKO
MASANJA NDAMA YAPE.
jamaa zangu hawa wa karibu wanafanya vizuri sana kiuchumi katika kijiji chetu na hawana ujinga ujinga wa Hollywood.