Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uko kama mimi siyawezi hayo mavitu[emoji2][emoji2][emoji2]jamani
Yeye pekee yake wengine hua tunapuyanga bila ht wanja yaani kwanza nikijiremba hua naloose confidence kabisaa may b niwe na mashosti kungine siwezi
Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Samahani mkuu....
Hivi huyo king Zumaridi anatokea ama anatawala nchi gani..??
Alafu kama king anajipodoa, mbona napata mashaka na tabia zake..[emoji55][emoji849]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Aiseeeee!! Kwa make-up hizi tunapigwa sana.
Kijijini au wale wadada/wanawake wasiohangaika na make-up ndio wazuri hasaHmuda wote na wanapendeza. Hawa wa mawigi ya wahindi ni shida tupu.
Asubuhi ukionana naye bila make- up anatisha na unaweza piga chini mzigo.
Unakuta ana rangi 3 au 4 za soda mwilini, yaani pepsi, fanta orange, supaleta, mirinda,stoney tangawizi n.k. kwa sababu ya kuweka puti kwenye miili yao.
Hawajui kuwa hizo puti zina madhara mwilini au?
Dada/mama zetu tunaomba mjiamini. Mungu hakukosea katika uumbaji wake.
Kha!
[emoji3][emoji3][emoji1]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] amejichubua vibayaa had kababuka ngozi. Woiiiiiiih
[emoji2][emoji2][emoji2]jamani
Yeye pekee yake wengine hua tunapuyanga bila ht wanja yaani kwanza nikijiremba hua naloose confidence kabisaa may b niwe na mashosti kungine siwezi
Sijazoea kujiremba yaani nilivyo ndivyo hvyo hvyoo!!!na ile kutazamwa na watu kwa mshangao kwangu inanikata maini sana!!yaani ukitaka nisijiamini nijirembe Sana'a[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]Kwa nini jamani una lose confidence ukipendeza ?
Kweli kabisaa!poda zenyewe za buku jero full kuchuruzika,Mimi pafyumu au spray mmemaliza!!baada ya hapo mwendo wa wanja nikikumbuka nkisahau basi imeisha hyooooTena na joto la dar [emoji1787][emoji1787][emoji1787] naona wengi wanajipodoa for photoshoot au zile shughuli za usiku, ila mchana na hekaheka za kusaka hela woiii lipstick na wanja zinawakilisha vyema halmashauri ya sura [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Itabidi uzoee kwan hutaki kuonekana mzuri bibie ?Sijazoea kujiremba yaani nilivyo ndivyo hvyo hvyoo!!!na ile kutazamwa na watu kwa mshangao kwangu inanikata maini sana!!yaani ukitaka nisijiamini nijirembe Sana'a[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app