JITU LA MIRABA MINNE
JF-Expert Member
- Mar 28, 2015
- 726
- 476
Mwanamke ni kiumbe kinachoonekana ni dhaifu kwa mawazo yetu lakini shetani akimtizama mwanamke anaona ni mtu makini ambae anaweza kubomoa au kujenga dunia
REFFERENCE (Mwanamke)
1.Aliongea na shetani katika bustani ya Edeni akashawishiwa kula tunda akala akamshawishi na Bwana wake wakala uharibifu ukaanzia hapo wakapigwa laana(Uharibifu wa dunia ukatokea hadi leo tunakula kwa jasho na kuzaa kwa uchungu)
2 .Mke wa Ayubu alipoona mateso yanazidi kwa mumewe kupigwa matukio na shetani kila siku kuumwa umwa wanatumia pesa nyingi kwa matibabu hakuna kupona huku mali zake zinapukutika wife wake akaona isiwe tabu tusije tukafa maskini alimshawishi Ayubu kuwa amkufuru Mungu ili afe alijua atarithi mali na wenda hata angepata bwana wa kumuoa wakala maisha (Malengo ya shetani na Mke wa Ayubu yalikua mamoja)shetani nae alikua na lengo ampige matukio ayubu ili amsaliti Mungu kisha yeye apate pointi 3
3.Esther kwa wasomaji wa bibilia alipoambiwa achague zawadi aliomba kichwa cha Yohana(Zote hila za kishetani mwanamkwe anatumika injili isisonge mbele)
4.Samson na Delila ,Delila alitumika kumuangusha Samson(Zote hila za kishetani kati ya shetani na Delila)
5.Sara na Ibrahimu ,Sara alimshawishi Ibrahimu achukue housegirl azae nae matokeo pakawa na mtoto wa housegirl na mtoto wa sara vuta nikuvute zikaanzia hapo zikazaliwa imani 2 majanga yaliyotokea sasa hivi hakura rangi tumeacha kuziona hapo kuna vizaz 2 fatilia bible
Bado upo ushahidi mwingi wa wanawake kupiga matukio ya hatari na kuangamiza dunia
yapo matukio mengi sana tukumbushane
MZIGO UNAENDELEA
Wanawake ndio wanaoongoza kwenda kwa waganga mara kwa mara
Ukiona mwanaume anaenda kwa waganga anatafta pesa mwanamke ni kupendwa hasa kumshika mwanaume
Mwanamke umemuoa kwa sherehe kubwa na heshima juu akifika ndani anataka akutawale (ukiona mwana mke anataka kukutawala ujue atakutenganisha na ndugu wazaz wako lazima avutie upande wake)
(Mara nyingi huwa wanapambana kuvunja ndoa zao wenyewe bila kujua) kwa kua jeuri ,kiburi kusikiliza mashoga,nguvu ya ushawishi wa kishetani
NOTE (Weka lamination haya maneno yangu)
Ndani ya mwanamke kuna nguvu ya ushawishi toka kuumbwa kwa dunia alitumika kuangamiza ndoa yake akiwa bustani ya Edeni,kwa kumsikiliza shetani akala iphone
Wanawake baadhi badilikeni jua shetani anawawinda ili kuangamiza familia,taifa na dunia
Wanaume kuweni na akili kupitiliza jua mkeo yupo mbele shetani pembeni yake kumjaza uongo,kumshawishi mambo mengi aangamize dunia
REFFERENCE (Mwanamke)
1.Aliongea na shetani katika bustani ya Edeni akashawishiwa kula tunda akala akamshawishi na Bwana wake wakala uharibifu ukaanzia hapo wakapigwa laana(Uharibifu wa dunia ukatokea hadi leo tunakula kwa jasho na kuzaa kwa uchungu)
2 .Mke wa Ayubu alipoona mateso yanazidi kwa mumewe kupigwa matukio na shetani kila siku kuumwa umwa wanatumia pesa nyingi kwa matibabu hakuna kupona huku mali zake zinapukutika wife wake akaona isiwe tabu tusije tukafa maskini alimshawishi Ayubu kuwa amkufuru Mungu ili afe alijua atarithi mali na wenda hata angepata bwana wa kumuoa wakala maisha (Malengo ya shetani na Mke wa Ayubu yalikua mamoja)shetani nae alikua na lengo ampige matukio ayubu ili amsaliti Mungu kisha yeye apate pointi 3
3.Esther kwa wasomaji wa bibilia alipoambiwa achague zawadi aliomba kichwa cha Yohana(Zote hila za kishetani mwanamkwe anatumika injili isisonge mbele)
4.Samson na Delila ,Delila alitumika kumuangusha Samson(Zote hila za kishetani kati ya shetani na Delila)
5.Sara na Ibrahimu ,Sara alimshawishi Ibrahimu achukue housegirl azae nae matokeo pakawa na mtoto wa housegirl na mtoto wa sara vuta nikuvute zikaanzia hapo zikazaliwa imani 2 majanga yaliyotokea sasa hivi hakura rangi tumeacha kuziona hapo kuna vizaz 2 fatilia bible
Bado upo ushahidi mwingi wa wanawake kupiga matukio ya hatari na kuangamiza dunia
yapo matukio mengi sana tukumbushane
MZIGO UNAENDELEA
Wanawake ndio wanaoongoza kwenda kwa waganga mara kwa mara
Ukiona mwanaume anaenda kwa waganga anatafta pesa mwanamke ni kupendwa hasa kumshika mwanaume
Mwanamke umemuoa kwa sherehe kubwa na heshima juu akifika ndani anataka akutawale (ukiona mwana mke anataka kukutawala ujue atakutenganisha na ndugu wazaz wako lazima avutie upande wake)
(Mara nyingi huwa wanapambana kuvunja ndoa zao wenyewe bila kujua) kwa kua jeuri ,kiburi kusikiliza mashoga,nguvu ya ushawishi wa kishetani
NOTE (Weka lamination haya maneno yangu)
Ndani ya mwanamke kuna nguvu ya ushawishi toka kuumbwa kwa dunia alitumika kuangamiza ndoa yake akiwa bustani ya Edeni,kwa kumsikiliza shetani akala iphone
Wanawake baadhi badilikeni jua shetani anawawinda ili kuangamiza familia,taifa na dunia
Wanaume kuweni na akili kupitiliza jua mkeo yupo mbele shetani pembeni yake kumjaza uongo,kumshawishi mambo mengi aangamize dunia