Nguvu ya Punyeto na kujichua katika Ulimwengu wa Roho

Nguvu ya Punyeto na kujichua katika Ulimwengu wa Roho

Kuna ubaya Gani mtu kujishika sehemu zake kwa starehe zake binafsi?, Kati ya madhara ya Punyeto na uzinzi yepi yana Unafuu?
Kuliko mtu kuhatarisha Afya yake na future yake kwenye uzinzi, mi naona Bora kujishika aisee.. it's fun and less expensive!!
 
Hizi habari za kujichua zimezua mjadala mkubwa sana nyakati zetu hizi.
Kila mtu anazungumzia athari zake kwa jinsi alivyo amishwa au alivyo experience.
Athari za kiroho kama alivyooanisha hapa mleta mada, na kwa namna hio hio kulingana na imani ya mtu.
Zipo pia athari za kiafya kama wazemavyo wataamu wa afya, lakini pia wataalamu wengine tena walio rasmi wamepinga vikali uwepo wa athari za kiafya kutokana na kujichua.
Wataalamu wengine wa akili nao wamesema kuna athari zitokanazo na kujichua zinaathiri akili, lakini wengine wanakataa na wote wana hoja.

Sijaweza kujua ni kitu gani kimetusibu vijana waleo mpaka kujikuta washirika wa kujichua kwa kiasi kikubwa vile.
Mimi kwa takribani miaka 15 na kuzidi ninafanya hivi lakini nikiambiwa nionyeshe athari moja wapo ya zinazotajikana sinazo.
Nimeoa na ninawatoto wawili wenye afya.
Ninafanya kazi za watu sijaweza kuharibu.
Ibada na hudhuria na fellowship kwenye kanisa letu, kwa maana hio hofu ya Mungu niko nayo.
Na performance ya kujieleza mbele za watu niko nayo pia.

Mimi nawalaumu wanawake wao ndio chanzo cha vijana wengi kuharibika maybe. Kwa sababu ya lifestyle yao walio iga mfano mavazi urembo kujiamini nk.

Hii imepelekea mwanaume kukosa kujiamni na kusimama na mwanamke na kuona bora akajichue kuliko kupigiana makelele na mademu.

Mwisho athari za kujichua ziwe za kiroho kiakili na kiafya haziko general ndugu mleta mada.
 
Hapa nilittaka kuwasha kamoja, naona mkuyenge umelala baada ya kusoma Uzi huu[emoji16][emoji16][emoji16]

Baadaye ulete njia ya kuacha Basi kiongozi. Huenda ukatusaidia waathirika wa kupanda mnazi.
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38] tuwe pamoja mkuu
 
Nyenyere
Asante kwa kunikaribisha ,mchango wangu ktk hili nikwamba kunavitu binàdamu tunafanya Kwa kujua au kutokujua miongini ni hii tabia ya kujiçhua ,naamini atakayesoma waraka huu ataacha kwa jiña la Aliye Juu.
Amen
Amen
 
Kumwaga nje nayo ni nyeto?
Hapana. Sababu kubwa, tendo la ndoa huanza pale unapotamaniana na mwanamke, mkikubaliana roho zenu zinaungana pamoja ndipo nafsi zinakuwa kitu kimoja. Kuingiziana ni kuleta ushuhuda wa mwili tu kwamba mmeshaungana, lakini kitendo kishafanyika rohoni kitambo. Kwa hiyo nguvu zako ushampa mwanamke tayari.
 
Kuna ubaya Gani mtu kujishika sehemu zake kwa starehe zake binafsi?, Kati ya madhara ya Punyeto na uzinzi yepi yana Unafuu?
Kuliko mtu kuhatarisha Afya yake na future yake kwenye uzinzi, mi naona Bora kujishika aisee.. it's fun and less expensive!!
This is costly!! Unasex na spiritual beings, wewe unaona unajishika na kusikia utamu, kumbe wanakuassist kufikia kukojoa, kisha wanavuna nguvu zako na kukufanya mtumwa. Nitatoa ushuhuda wangu mwenyewe
 
Back
Top Bottom