Nguvu ya Punyeto na kujichua katika Ulimwengu wa Roho

Unamfanyia teleportation Nikki Minaj au Kajala kitandani bila yeye kujua.Unajipigia selfie mnachoka pamoja yeye anashangaa mbona leo nimechoka.

Sasa imagine wanafanya wangapi kwa image yake.hahaha!
 

Mkuu umeongea mambo mazito sana, nashukuru wewe ni mwamini Mungu. Nitakujibu hapa:

Mjadala upo na wataalamu wa afya wamepishana sana juu ya hili. Unajua sababu? Kuna nguvu inayoleta confusion kati yao. Ni sawa na habari za ushoga, wako wanaosema hauna madhara, wengine wanasema una madhara!! So tuseme nini??

Lakini kwa suala la wewe kujiona uko sawa, ni kwamba hata wanaotoa watoto kama kafara za kupata mali hujiona wako sawa, anayefuga majini naye atakuambia mbona yananipa mali? Nilisema unapofanya tendo hilo hayo mapepo yanavuna nguvu zako, hivyo utafanya mambo yako pale utakapopatana nayo. Ndio maana wapo wanaosex na majini mahaba na wapo kwenye ndoa zao, huku wengine yakiwazuia hata kuoa na kuharibu mimba. Kikubwa ni kwamba upo kifungoni na IKO SIKU utakumbuka hili.

Jiulize, iweje wewe una mke halafu uwe na hamu ya kujichua? Unaona ni jambo la kawaida? Pia hao watoto wenu waweke vema mbele za Mungu, kwani watakuja kuwa wadau wakubwa pia. Hilo ni agano na mapepo ambalo wewe unaliimarisha kila unapojichua, nao watakuja kuliendeleza hivyo hivyo, labda wawe katika Kristo.

Halafu kuna suala la wewe kutamba una fellowship huku unapiga punyeto. Mbona watu wanazini na wanakwenda makanisani? Siku ukijua kuwa mwili wako ni hekalu la Roho Mtakatifu utaacha kumpigia punyeto huyo Roho. Imekubidi kushughulikia hicho kifungo, kwani kimekuua kiroho nawe umetiwa upofu. Usisubiri mpaka mambo yaharibike ndipo uvchukue hatua.

Ukisema hakuna madhara jua kuwa unapotea, usingoje mpaka yakukute. Tembea mijini leo hii, habari za vumbi la kongo nk, pia vijiwe vya kutibu nguvu za kiume vimejaa mno. Ukienda watakuambia SABABU YA PUNYETO. Mbona haya mambo yapo wazi? Wanawake wa leo wanadai hawaridhishwi, sababu wanaume wanapiga punyeto na wao wanajochua, hivyo emotions zimehama!!
 
Makala nzuri sana...
 
Swali kuu nililotaka kukuuliza liko na mrengo Kama huu, Ila yote kwa yote hayo Ni maswala ya Imani tu. Nadhani umeeleza Vizuri japo niongeze nadhani lengo kuu la kukutana kimwili Ni kuijaza dunia tu hakuna exemption. Sisi wanadamu tumekua watu wa kujiongeza na kutunga visheria vyetu ambavyo tumeona Ni sawa kulingana na mawazo yetu ndio Mana likaja hata suala la kuona tunakutana kimwili kwaajili ya kustarehesha nafsi zetu ambacho Ni nje ya lengo.
Back to to the topic ,Hilo swala na kupanda mnazi Kama wadau wanavyoliita Ni matokeo ya binadamu huyu ambaye aliona tendo Ni kwaajili ya starehe ndio anakuja na staili tofauti tofauti za kujiletea Raha , ikiwa Ni pamoja na kua yupo tayari kutumia kitu chochote iwe mdomo pua kuruka ukuta mikono au chochote atakachoona kinafaa ili apate raha hivyo kuondoa lengo la awali kua tendo Ni kwaajili ya kujaza dunia tu.
Sasa nimalizie maoni yangu kwa kusema hayo maswala ya kua sijui ROHO KUUNGANA Ni Imani tu hakuna tofauti ya mpiga punyenga na yule anayekutana na mwanamke wakiwa na cond*m au wa oral na njia nyingine zote ambazo shahawa hazitaingia sehemu iliyotakiwa kuingia yatakua Ni matumizi mabaya ya shawaha.
 
Kuna ubaya Gani mtu kujishika sehemu zake kwa starehe zake binafsi?, Kati ya madhara ya Punyeto na uzinzi yepi yana Unafuu?
Kuliko mtu kuhatarisha Afya yake na future yake kwenye uzinzi, mi naona Bora kujishika aisee.. it's fun and less expensive!!
Hakuna punyeto inayofanyika hewani tu, ni lazima kwanza uweke akilini sura ya mwanamke mzuri uliyemjaza moyoni mwako, inaweza kuwa una mfahamu au ulimuona kwenye Porn Videos .

Sasa wakati unanyetuka unavuta sura yake akilini mwako na kuona kama vile uko naye kitandani na unamfanyia unayotamani kwa wakati huo huku sasa ile sura yake akilini (nafsini) inatuma hisia mwilini na ndio mkono wako au sexy toys unaanza kusugua uume/uke wako huku wakati huo huo unaitafakari sura ya yule Mdada / mkaka unayevutiwa naye....

Sasa hapa hisia zinaongezeka na kufikia kileleni (climax)ndiyo shahawa zinatoa (ejaculation) .

Hii ni ngono kamili kwa sababu mleta mada kashaelezea zinaa inaanzia kwanza rohoni...alafu matokeo nwilini

Yesu alisema "Amwangaliaye mwanamke kwa kumtamani amekwisha kuzini naye"
 
Na hapa ndipo nitakapo kua na maoni ya tofauti na wewe, hilo sio tendo la kuridhishana. Ukishawaza habari za kuridhishana hapa ndio tunapalilia habari za hata punyenga,hata mpanda mnazi ana lengo la kuridhika tu. Sisi Kama wanyama wengine wote aliowaweka Mungu hapa duniani aliweka sex kwaajili ya kuijaza dunia baas.
 

Sijaelewa hasa ni kwa vipi ni kuridhishana. Sidhani kama nimeaema sex ni kwa ajili ya kuridhishana tu. Nimeeleza kirefu kuwa sex ni tendo la kiroho zaidi kuliko kimwili.

Huo mtazamo wako wa kuijaza dunia ni binafsi na ni wa kimwili zaidi. Lakini sex ina aspects nyindi zaidi kuliko hilo ambalo ni end product mojawapo. Kuna uzi nimeelezea sana kuhusu haya mambo ya sex, nakushauri udome huko tujadili. Hapa ni kama mwendelezo tu
 
Mkuu kuacha nyeto ni ngum sana hasa ukiwa hauna demu, mm na jamaa yang mmoja tulianza Nofap challenge , Mimi niliweza kukaa siku 47 bila kupiga nyeto mfumo wa mwili ulibadilika mnoo nikawa na stress nyingi balaa, jamaa yangu yeye aliishia siku ya 25 aka relapse
... Badae mimi nilivyo relapse yeye akawa amefikisha siku 30+ lakin story zake zilinifanya nianze kumuona kashaanza kuchanganyikiwa akawa kwenye stori zetu hataka niingize mada ya dem yoyote nikiingiza tu story ya dem anabadilika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…