Nguvu ya Punyeto na kujichua katika Ulimwengu wa Roho

Umewahi kusikia habari za spiritual wife na spiritual husband? Sijui unaishi kwenye ulimwengu upi, lakini kwa mtu wa mwilini mambo ya rohini ni upuuzi.
 
Unaamini hakuna watu wanaishi normal life pasipo kupiga nyeto? Hali uliyopitia ndicho kifungo chenyewe, wewe uko gerezani afu unasemq hutaki chakula cha bwana jela? Utakula ni nini basi wakati huna uhuru?
 
Basi Kumbe nawe una mitazamo yako tu kuhusu sex, mi nilichosema general formula Ni kua sisi binadamu Kama wanyama wengine wote sex Ni kwaajili ya kuijaza dunia tu hayo mengine Ni mitazamo yetu tu ukiwemo yako na ndio inayopelekea haya Mambo mengine yote kuendelea
 
Unaamini hakuna watu wanaishi normal life pasipo kupiga nyeto? Hali uliyopitia ndicho kifungo chenyewe, wewe uko gerezani afu unasemq hutaki chakula cha bwana jela? Utakula ni nini basi wakati huna uhuru?
Mkuu yani uwe rijali huna demu alaf usipige nyeto? Hapo huwez ukawa mzima ase vile vichocheo ni vibaya sana usipo vipunguza kwa nyeto unaweza ukabaka hata dada yako..
Mm napiga nyeto mara 1 1 ili niwe normal
 
Umewahi kusikia habari za spiritual wife na spiritual husband? Sijui unaishi kwenye ulimwengu upi, lakini kwa mtu wa mwilini mambo ya rohini ni upuuzi.
Ndio shida ya kubwa ya Imani Ipo hapa , Yan Ukiwa na Imani na Jambo lako Basi wote wasiokua pamoja nawe hawaishi. Huyo spiritual Yuko na sura gani? Sio kusikia
 
Story yangu:
Nilianza kupiga punyeto nikiwa mwajiriwa. Hapo ni baada ya kutoka kidato cha sita. Siku moja nikiwa na kwenda kwenye public toilet sikujua kama alikuwamo mwajiriwa mwenzangu akiwa amesahau kufunga mlango. Nilishika kitasa kwa haraka sana nikafungua mlango, nilijikuta uso kwa uso na jamaa akigumia kwa raha MBELE YA MACHO yangu. Sikuwahi kufuatilia mambo haya katika maisha yangu, hivyo nilupatwa na butwaa halafu nikamwomba msamaha, naye akaniomba msamaha nikatoka ilu amalize kujiweka sawa. Ni kuanzia hapo akili yangu haikuwa sawa tena, yaani kukawa na nguvu ya hatari sana inanisukuma nijaribu japo mara moja kuona ilivyo. Mwishowe niliamua nionje kidogo, nakiri wazi kuwa hiyo ndio sikunilipokoma kuishi kama MIMI, that was the end of me!!

Khantwe, yuzazifu, Sic March, Mgonga Like, Ismoo, extra life, wiz hov
 
Mapenzi ni muhin asikuambie mtu, nyeto inatusaidia sana
 
Mfano mnaishi mbali wewe na mkeo/mchumba wako, ukampigia nyeto mkeo/mchumba wako katika hisia ili tu usishawishike uka cheat je ni kosa,
 
Nimecomment kabla hata sijasoma Uzi mwenyewe Ngoja Sasa ndo niusome big up Sana director Nyenyere
 
Haya mambo yanayofundishwa hapa na Bwana Nyenyere kama huna Imani ya dini yoyote hutaweza kuelewa,definetly lazima utapinga tu,lakini kama unaamini kuwa kuna ulimwengu wa roho na ulimwengu wa mwili utamuelewa vizuri sana na haya yote yamo kwenye Biblia na misahafu,anachofanya yeye ni kufafanua zaidi...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…