Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AmenAsante sana kwa Elimu mzuri unayo endelea kutupatia humu Jf mwenyezi mungu akubariki mkuu.
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Mkuu, huu ndio uongo uliojazwa kwenye bongo za watu wa siku hizi. Principle ni moja tu, unaongozwa kutoka ndani ama nje? Tutalijadili hili, ila kwa sasa niseme tu, watu wanaendeshwa na kuona na sio kutokea kwenye roho zao. HAPA NDIPO CHANZO CHA TATIZO. Hii ndio dhambi ya Adam na HawaHili ni suala pana sana na linalogusa wengi. Ili kuwasaidia vijana mkuu Nyenyere ukipata muda jaribu kufafanua zaidi. Mfano:
Kijana rijali ambaye hajaoa afanyeje? Azini? Apige nyeto? Kuzini na nyeto ni kipi kina unafuu kiroho (kama upo?). Najua hali tengamanifu ni kujizuia mpaka mtu aoe lakini katika uhalisia wake na mazingira haya ya kisasa, ni kijana gani rijali anaweza kufanya hivyo?
Ukija kuleta mada ya kuacha nyeto angalia pia na suala hili. Yawezekana kweli kijana rijali kukaa tu miaka na miaka bila ngono eti akisubiri mpaka aoe? Kama haiwezekani, kijana huyu afanye nini kama hawezi kuzini na kupiga nyeto?
#Uwazinaukweli
Usisahau kunitag kwenye hiyo mada mkuu [emoji1545][emoji1545][emoji1545]Mkuu, huu ndio uongo uliijazww jwenye bongo za watu wa siku hizi. Principle ni moja tu, unaongozwa kutoka ndani ama nje? Tutalijadili hili, ila kwa sasa niseme tu, watu wanaendeshwa na kuona na sio kutokea kwenye roho zao. HAPA NDIPO CHANZO CHA TATIZO. Hii ndio dhambi ya Azam na Hawa
Hili ni suala pana sana na linalogusa wengi. Ili kuwasaidia vijana mkuu Nyenyere ukipata muda jaribu kufafanua zaidi. Mfano:
Kijana rijali ambaye hajaoa afanyeje? Azini? Apige nyeto? Kuzini na nyeto ni kipi kina unafuu kiroho (kama upo?). Najua hali tengamanifu ni kujizuia mpaka mtu aoe lakini katika uhalisia wake na mazingira haya ya kisasa, ni kijana gani rijali anaweza kufanya hivyo?
Ukija kuleta mada ya kuacha nyeto angalia pia na suala hili. Yawezekana kweli kijana rijali kukaa tu miaka na miaka bila ngono eti akisubiri mpaka aoe? Kama haiwezekani, kijana huyu afanye nini kama hawezi kuzini na kupiga nyeto?
#Uwazinaukweli
Kwetu sijui kama kuna data zo zote...Kwahiyo Wanawake wanafanya nyeto au kujichua maana mimi hata sijui?
Kuanzia hapo ashki zilikuwa zinanijia asubuhi, mchana na jioni. Nikajikuta nashindwa tena kujizuia. Nimeendelwa na hali hii mpaka nilifikia kipindi naweza kukwepa kwenda kazini ili nitumie muda mwingi kujiridhisha. Then nilipata nafasi ya masomo UK. Niseme wazi tu, utamu ulizidi hata siku moja nikiwa kwenye bustani ya Hyde Park, nilitafuta angle moja nikaanza kyjipa raha. Kuna mambo mawili yalikuwa yakiendelea bila mimi kujua, kwanza kuna wadada wawili walikuwa wakupita jirani na kichaka nilichokuwa wakaniona wakasimama kunitazama, pili kuna jamaa mmoja mwarabu (ila raia wa huko UK) alikuwa akinicheki kytoka angle fulani mimi nikiwa sijui. Sasa yule mwarabu alinijia nilipomaliza, akaniambia: You're beautiful, will you be my girlfriend? Nilipigwa na butwaa na nikaondoka kwa hasira bila kumjibu. Nikiwa ndani ya bustani bado nikasikia king'ora cha gari ya polisi, kumbe wananifuata mimi. Wakanichukua mpaka kituoni, mashitaka yakiwa indecent exposure. Kumbe wale wadada wawili waliponiona walipiga simu polisi, kisha polisi wakaja!!Story yangu:
Nilianza kupiga punyeto nikiwa mwajiriwa. Hapo ni baada ya kutoka kidato cha sita. Siku moja nikiwa na kwenda kwenye public toilet sikujua kama alikuwamo mwajiriwa mwenzangu akiwa amesahau kufunga mlango. Nilishika kitasa kwa haraka sana nikafungua mlango, nilijikuta uso kwa uso na jamaa akigumia kwa raha MBELE YA MACHO yangu. Sikuwahi kufuatilia mambo haya katika maisha yangu, hivyo nilupatwa na butwaa halafu nikamwomba msamaha, naye akaniomba msamaha nikatoka ilu amalize kujiweka sawa. Ni kuanzia hapo akili yangu haikuwa sawa tena, yaani kukawa na nguvu ya hatari sana inanisukuma nijaribu japo mara moja kuona ilivyo. Mwishowe niliamua nionje kidogo, nakiri wazi kuwa hiyo ndio sikunilipokoma kuishi kama MIMI, that was the end of me!!
Khantwe, yuzazifu, Sic March, Mgonga Like, Ismoo, extra life, wiz hov
Mm hata atoe semina Yesu na Muhhamad kwa pamoja siwezi acha CHAPUTA. Ukweli ni kwamba usipokua na mke na ukawa hupigi punyeto unaweza nukavumilia hata mwaka kama upo bize na mambo yako. Ila siku ukashikwa na nyege baruti hapo lazma 1. Utambaka mwanamke yeyote karibu yako. 2 Utabaka hata kuku au ngombe. Solution ni ukihisi hamu jifungie piga kimoko endelea na mishe. Kwanza mm punyeto naipendea ukimaliza akili inakwambia mambo si ndio haya mwanangu, ungeenda lodge kulipa 30K bado ungempa mwanamke 20K hujamlisha chakula ungejikuta ushatumia laki leo kiboya alafu demu mwenyewe hajui kukatika. Alafu kingine mm sipendi ukimgonga demu unachoka sana, lazma kesho magoti yaumie sana hata mazoezini huendi. Kila dk kumuuliza manamke umefika anajibu bado ww huku unajiumiza miguu tu kumlizisha mtoto wa mwenzio. Puli unapiga kimoja unalala wala hujikunji goti.
Inawahusu pia mkuuKwetu sijui kama kuna data zo zote...
View attachment 1535859
Tunakuja huko, unaanza mzizi kwanza ndipo tunakuja kwenye matokeo.Mimi nafikiri bro swala la ukweli na uwazi ndiyo kiwe kipaombele, yaani kijana au aambiwe kabisa ukifanya hili kutakuwa na matokeo haya na haya
Ukimwambia mtu maswala ya roho inakuwa ngumu kuelewa japo inawezekana, na kwa wakati flani wakombozi na watoa shule au wanaoshauri maswala haya unakuta na wao wamewahi kufanya
Kwa mantiki hiyo basi hata hawa washauriwa na wanaokatazwa ni lazima tu watafanya, ila watazidiana kiwango cha ufanyaji
Huo sio ukweli mkuu, uko addicted. Tuwe pamoja, naamini utaacha kabisa na utajishangaaMm hata atoe semina Yesu na Muhhamad kwa pamoja siwezi acha CHAPUTA. Ukweli ni kwamba usipokua na mke na ukawa hupigi punyeto unaweza nukavumilia hata mwaka kama upo bize na mambo yako. Ila siku ukashikwa na nyege baruti hapo lazma 1. Utambaka mwanamke yeyote karibu yako. 2 Utabaka hata kuku au ngombe. Solution ni ukihisi hamu jifungie piga kimoko endelea na mishe. Kwanza mm punyeto naipendea ukimaliza akili inakwambia mambo si ndio haya mwanangu, ungeenda lodge kulipa 30K bado ungempa mwanamke 20K hujamlisha chakula ungejikuta ushatumia laki leo kiboya alafu demu mwenyewe hajui kukatika. Alafu kingine mm sipendi ukimgonga demu unachoka sana, lazma kesho magoti yaumie sana hata mazoezini huendi. Kila dk kumuuliza manamke umefika anajibu bado ww huku unajiumiza miguu tu kumlizisha mtoto wa mwenzio. Puli unapiga kimoja unalala wala hujikunji goti.
Hapa nilittaka kuwasha kamoja, naona mkuyenge umelala baada ya kusoma Uzi huu[emoji16][emoji16][emoji16]
Baadaye ulete njia ya kuacha Basi kiongozi. Huenda ukatusaidia waathirika wa kupanda mnazi.
Tunakuja huko, unaanza mzizi kwanza ndipo tunakuja kwenye matokeo.
Kuna makala moja nilisoma kutoka chanzo chakuaminika kabisa kinashauri kwa mwezi at least upige angalau mara 21 kwa ajilo ya afya yakoHizi habari za kujichua zimezua mjadala mkubwa sana nyakati zetu hizi.
Kila mtu anazungumzia athari zake kwa jinsi alivyo amishwa au alivyo experience.
Athari za kiroho kama alivyooanisha hapa mleta mada, na kwa namna hio hio kulingana na imani ya mtu.
Zipo pia athari za kiafya kama wazemavyo wataamu wa afya, lakini pia wataalamu wengine tena walio rasmi wamepinga vikali uwepo wa athari za kiafya kutokana na kujichua.
Wataalamu wengine wa akili nao wamesema kuna athari zitokanazo na kujichua zinaathiri akili, lakini wengine wanakataa na wote wana hoja.
Sijaweza kujua ni kitu gani kimetusibu vijana waleo mpaka kujikuta washirika wa kujichua kwa kiasi kikubwa vile.
Mimi kwa takribani miaka 15 na kuzidi ninafanya hivi lakini nikiambiwa nionyeshe athari moja wapo ya zinazotajikana sinazo.
Nimeoa na ninawatoto wawili wenye afya.
Ninafanya kazi za watu sijaweza kuharibu.
Ibada na hudhuria na fellowship kwenye kanisa letu, kwa maana hio hofu ya Mungu niko nayo.
Na performance ya kujieleza mbele za watu niko nayo pia.
Mimi nawalaumu wanawake wao ndio chanzo cha vijana wengi kuharibika maybe. Kwa sababu ya lifestyle yao walio iga mfano mavazi urembo kujiamini nk.
Hii imepelekea mwanaume kukosa kujiamni na kusimama na mwanamke na kuona bora akajichue kuliko kupigiana makelele na mademu.
Mwisho athari za kujichua ziwe za kiroho kiakili na kiafya haziko general ndugu mleta mada.
Isemekanavyo...wanawake ndio kinaraNdugu mwandishi ninayo heshima kukuomba kama ikukupendeza nikuulize swali la nani mvumbuzi wa punyeto na kuna style ngapi za kuipiga hii punyedoo na ni makundi gani katika jamii yanaonekana kubobea kwenye punyedoo