Kuanzia hapo ashki zilikuwa zinanijia asubuhi, mchana na jioni. Nikajikuta nashindwa tena kujizuia. Nimeendelwa na hali hii mpaka nilifikia kipindi naweza kukwepa kwenda kazini ili nitumie muda mwingi kujiridhisha. Then nilipata nafasi ya masomo UK. Niseme wazi tu, utamu ulizidi hata siku moja nikiwa kwenye bustani ya Hyde Park, nilitafuta angle moja nikaanza kyjipa raha. Kuna mambo mawili yalikuwa yakiendelea bila mimi kujua, kwanza kuna wadada wawili walikuwa wakupita jirani na kichaka nilichokuwa wakaniona wakasimama kunitazama, pili kuna jamaa mmoja mwarabu (ila raia wa huko UK) alikuwa akinicheki kytoka angle fulani mimi nikiwa sijui. Sasa yule mwarabu alinijia nilipomaliza, akaniambia: You're beautiful, will you be my girlfriend? Nilipigwa na butwaa na nikaondoka kwa hasira bila kumjibu. Nikiwa ndani ya bustani bado nikasikia king'ora cha gari ya polisi, kumbe wananifuata mimi. Wakanichukua mpaka kituoni, mashitaka yakiwa indecent exposure. Kumbe wale wadada wawili waliponiona walipiga simu polisi, kisha polisi wakaja!!
Khantwe,
yuzazifu,
Sic March,
Mgonga Like,
Ismoo,
extra life,
wiz hov,
SHIMBA YA BUYENZE