Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umesema kweli mkuu, nasimamisha kwanza ushuhuda wangu ili tuingie huko hii leo. Asante kwa maoni hayaMtoa mada Nyenyere tunataka utupe tactical za kufuata au kufanya ilikuepukana na hii dhambi sisi kama wanadamu ujuavyo sifa yetu kubwa ni tamaa .Hapa Kuna kuwa na changamoto Sana haswa kwa vijana wa Sasa kulingana na dunia tunayoishi Sana tufuate taratibu zipi ilikuepuka hili
Kama kumtamani mtu umekwisha zini nae hapa Kila siku nitakuwa nazini maana sio kwa kutamani kule hasa kuna mmaza nikimuonaga tu nammindi sana mpaka nafsi inanisuta lkn nifanyaje nishinde hii zambi Kama Demu nimemchunia siongei nae sahiv . Ebu tupe hizo codes
Ni kama unataka umpige chabo kimwandiko mwandiko [emoji1][emoji1][emoji1]Huo ushuhuda utatoa saa ngapi sasa
Kwa uchache nataka kujua Punyeto imezungumziwa kwenye Kifungu gani ndani ya Biblia.Naam, kama una swali mahali niulize tujadili kibiblia.
Mungu habadiliki, ni Yeye yule jana leo na hata milele. Ukiona mahubiri ya kujemea dhambi ni ya kinafiki, basi you don't have God. Jaribu kuwatoa watoto wako kwenye ngono kisa unajidanganya ni mahitaji ya binadamu. Ni heri ungejiuliza kwa jina dunia ya sasa imewaka tamaa za hovyo kiasi hiki kuliko ilivyokuwa hapo awali. Kusema ni mahubiri ya kinafiki, ni kumwota Mungu mnafiki!!
Well said, natamani niandike kitu ila najikuta nafuta maana wanaJf wenzangu hawana dogo hawachelewi kukuattack kwa suala uliloandika mmu mkipishana hoja kwenye jukwaa la mapishiInawezekana kabisa, wapo WENGI TU wanaishi bila punyeto. Naweza kukuambia neno moja, nitaweka mada soon kuhusu origin ya haya mambo. Kuanzia hapo tutajadili vema, ila INAWEZEKANA KABISA KUACHA AMA KUISHI BILA KUFANYA HAYO, tena mwili ukiwa huru kabisa na kuyahesabu mambo yote kuwa ni upuuzi. Sisemi kuishi kwa kujitesa kwa hamu, no, ni kwamba hamu yote inatoweka kabisa. Tatizo watu wanaoishi kwa EXPERIENCE ZAO kuliko kuitazama kweli. Kwa hiyo hapa tunapambana na EXPERIENCE VS TRUTH.
Daah unasimamisha tenaUmesema kweli mkuu, nasimamisha kwanza ushuhuda wangu ili tuingie huko hii leo. Asante kwa maoni haya
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]ankoo usinifokeeNi kama unataka umpige chabo kimwandiko mwandiko [emoji1][emoji1][emoji1]
Hata female pia, nyeto ni nyeto tuHizo nyeto ni kwa ajiri ya male pekee yao au mpaka female nao pia inahawusu?
female wanapigaje mkuuHata female pia, nyeto ni nyeto tu
Sijui mkuufemale wanapigaje mkuu
Kumbe ulikuwa unauliza huku unajuawanawake wagum sana kukubali japo wao ndo wapga nyeto wakubwa kuliko me, mi nadhani kwa kua umesema kweli mungu atakufanyia wepesi kujitoa katika hili janga.
Kuacha kwangu mwisho wiki 3 baada ya hapo lazma nishtue kdogo..kaz sana kuacha Mungu anisaidiewanawake wagum sana kukubali japo wao ndo wapga nyeto wakubwa kuliko me, mi nadhani kwa kua umesema kweli mungu atakufanyia wepesi kujitoa katika hili janga.
usikate tamaa mungu ni mwema kuna siku utaacha, kikubwa ni kuikazia nia yako pia nakumshirikisha mungu katika nia ya kuacha jambo hili.Kuacha kwangu mwisho wiki 3 baada ya hapo lazma nishtue kdogo..kaz sana kuacha Mungu anisaidie