Nguvu ya Punyeto na kujichua katika Ulimwengu wa Roho

Nguvu ya Punyeto na kujichua katika Ulimwengu wa Roho

Honestly nimejichua sana,na after hiyo situation najionaga mpumbav sana na kujutia nilichokifanya.But, source ya hichi kitu ni mazingira tunayokuwepo(upweke, kuangalia au kuona maudhui yanayohamasisha ngono,nk)...nina mwaka wa pili sasa cjanyetuka wala kukutana kimwili na mwanamke yeyote,japokuwa natesekaga sana kuishinda nafsi.Kucheza games na vitu kama hizo pamoja na kujiweka karibu na ibada kumenisave sana kuepuka hili jambo... KIKUBWA NI KUAMUA TUU....
Umewezaje mkuu hah
 
Ushuhuda unaendelea...

Niseme wazi Mwenyezi Mungu amenipa uwezo mkubwa sana darasani. Ni kwamba katika maisha yangu masomoni, mwalimu afundishapo, anapofika mwisho wa kipindi basi nami nimemaliza, nasubiri mtihani tu!! Sisahau neno hata kidogo, hivyo katika maisha yangu ya masomo sikuwahi kusoma tuition.

Neema hii iliendelea hata kazini pia, nikiwa napendwa sana na watu wote viongozi na wafanyakazi wenzangu. Sasa kumbuka kujichua kulianza nikiwa kazini. Kadri siku zilivyozidi kusonga, nikawa napoteza mvuto kwa wenzangu, halafu moyo wa kufanya kazi ukawa unapotwa. Ghafla nikajikuta natamani tu kujichua japo mara moja kila siku, halafu baada ya hapo huishiwa nguvu za kimwili na kiroho. Mabaki kulala tu siku nzima, siwazi lolote kuhusu maisha.

Hali iliendelea hivyo hata nikiwa sisikii hamu ya kuwa na mwanamke zaidi ya kujichua. Ndipo nikaingia kwenye kutazama picha za ngono na pia kutembelea beach kila siku kutafuta wanawake wanaoongelea ili nijichue. Hayo yakawa maisha yangu rasmi.

Mungu anitokea kwa mara ya kwanza maishani

Kuna kipindi nilipata pesa nyingi tu kazini, nikaamua nianze uwekezaji ili niache kazi. Nilikuwa sipendi tena kazi yeyote maana ilininyima uhuru wa kujichua nitakapo. Ni kwamba nilisafiri kwenda nje ya nchi kikazi, nikiwa huko pamoja na mwenzangu mmoja aitwaye Maulid (jina halisi kabisa kama ni member humu atakumbuja) tukaamua siku moja kuanza kuichunguza Biblia kama yanayofundishwa ni kweli. Kisa chote ilikuwa kutaka kujua kwa nini kuna madhehebu mengi ya Kikristo wakati Biblia ni moja tu. Basi ikawa kila siku jioni husoma sura kadhaa huku tulijadiliana kulinganisha na mafundisho ya sunday schools na mainstream churches kama RC, KKKT nk. Ninayo mafundisho tele (audio) ya askofu Zachary Kakobe. Naomba kukiri wazi, hiki ni kipindi pekee maishani mwangu ambacho sitokisahau kamwe. Kwa mara ya kwanza Mingu alizungumza nami wazi wazi.

Ilikuwa katika kusoma neno, basi kila eneo ambalo huonekana lina utata hata kuwa na mitazamo tofauti, mimi hupokea mafunuo hapo hapo na kuelewa maana pasipo kuuliza mtu. Tena nikimshirikisha yeyote, hakuna aliyeweza kupinga. Mbali na hapo, ikawa usiku kila nilalapo, basi roho yangu husafiri sehemu mbalimbali na kushuhudia mambo yafanywayo na WATU NINAOWAFAHAMU KABISA. (Wakati wa usiku tulikuwa na desturi ya kusali pamoja kwenye ukumbi, pamoja na Wakristo wengine kila mtu kwa lugha yake. Wakuu, siku moja nilishangaa nanena kwa lugha, just from no where. Sikuwekewa mikono wala sikuwahi kuomba lugha mpya, hapana. Kuanzia siku hiyo, sikuwahi kupata hamu ya kujichua, ama kutoka na mwanamke tena. Hapo ndipo haswa safari zangu katika ulimwengu wa roho zilianza.

(Labda niseme tu, nimetoka katika familia ya KIKATOLIKI, fundamentalists. Baba ni former seminarian, alikwenda mpaka daraja ya ushemasi, mama alikuwa mpostulant akifukuzia usista. Mimi pia nimesoma shule ya seminari kisha Kanisa walinioenda sana wakataka niwe padre. Namkumbuka Padre Julius Tengi pale Tabora alivyokazania niende major seminari, nikasema kabisa).

Mfano siku moja nikiwa nimejilaza kitandani niko macho kabisa saa nne usiku, Roho alinichukua mpaka kwenye kikao cha wachawi, tena wawili kati yao ni wafanyakazi wenzangu (hawa tulisafiri nao kikazi kama timu moja. Mmoja tulikuwa tukilala chumba kimoja na mwingine chumba tofauti). Basi mimi nilisimama kando nikitazama kinachofanyika lakini wao hawanioni. Walikuwa wachawi wengi sana lakini nikiwatambua wazi wazi hao wawili tu. Niliamka kwa mshituko mkubwa majira ya saa kumi alfajiri, nikastuka zaidi nilipomkuta huyo jirani yangu ndio kwanza anafuta miguu apande kitandani kulala, ni kama ametoka sehemu fulani. Hata hivyo yeye alihisi kuna kitu nimeona, akaniuliza nimeona nini? Mimi nilikataa katakata keamba ni ndoto tu ambayo siikumbuki, alinishurutisha sana nikakataa. Basi niliamua kutoka nje kama nakwenda chooni, huko ndio nikaogopa zaidi kwa nilichokiona. Yule mfanyakazi mwingine alikuwa akichota maji kwenda kuoga, amevaa VILEVILE nilivyomwona kwenye kikao cha wachawi!! Haraka nilirudi ndani nikalala.

Asubuhi huyu jirani yangu alinifuata akaanza kulalamika kwamba kuna wachawi wengi hivyo hatulali vizuri. Mimi nilimwambia sijaona tatizo na ninapata usingizi vema tu. Aliendelea kunifuatilia kama siku tatu hivi, mwishowe aliniambia wazi, KUNA KITU UMEKIONA USIKU, ILA UNANIFICHA, BASI TUTAONA!!

Basi katika kipindi hicho chote, hamu ya kujichua iliisha kabisa, nikawa namtafakari Mungu tu muda wote. Hiki ni kipindi pekee nilipokuwa na amani kubwa maishani. Mungu aliweza kunionyesha matatizo mbalimbali ya wafanyakazi wenzangu, ikawa nawapigia simu kuwaeleza. Mfano, "mkeo ni mgonjwa, usimpeleke hospitali, omba tu kesho atakuwa mzima!" Na kweli ilikuwa hivyo, kilichowashangaza wengi ni mimi kujua matatizo yao binafsi na kuwaeleza hali nikiwa nje ya nchi. Ndugu zangu, Mungu amewahi kunitumia katika viwango hivyo, tena nikiwa mchanga tu katika neno.

Anguko langu

Nikiwa huko nje, kila Jumapili tulikuwa tunakusanyika Watanzania kufanya ibada ya pamoja. Basi nilishangaa aliyekuwa mchungaji wetu siku moja kuniambia kwamba Jumapili ijayo mimi ndio nitahubiri. Sikuwahi maishani mwangu kuhubiri, lakini alisisitiza sana. Basi nilijiandaa huku nikiwa na wasiwasi na hofu kubwa mno. Jumapili ikafika, nami nikadima kwenye madhabahu hali nikiwa na hofu. Kilichofuatia Mungu mwenyewe ndio anajua, kwani nilihubiri kwa zaidi ya saa moja katika uweza wa Roho Mtakatifu. Nilijikuta natiririka tu, hata mwisho wa mahubiri nusu ya Kanisa walikuwa, wakilia machozi. Baada ya ibada, walinifuata watu, kila mmoja akisema hayo mahubiri nilimkusudia yeye na anajuta sana moyoni mwake. Mimi nilibaki kushangaa tu nisijue nini kinaendelea.

Basi ghafla roho ya mchungaji ilibadilika, akanichukia sana na kuniambia wazi, sitoruhusiwa tena kusimama madhabahuni. Nami kuanzia siku hiyo nikaacha kujihudhurisha kanisani, nikawa mzito hata kudoma neno kwani nilishajawa kiburi. Kilichofuata no anguko kuu. Usiku nikiwa nimelala, siku moja niliota ndoto nikiwa natembea njiani huku mbea akinifuata kila niendako. Tena siku mbili baadaye niliota nokiwa njiani nayembea mbwa akawa ananifuata, nikijaribu kumwacha namwona nyuma yangu. Kuanzia hapo nilishikwa na hamu ya kupiga punyeto, nikajikuta nimerejea tena. Maono yangu yakazimija ghafla. Mwezi mmoja baadaye saa 10 alfajiri nikiwa usingizini ilizungumza sauti wazi wazi ikisema, "SI UMENIKATAA MIMI, BASI SAWA." Niliamka kwa mshituko mkubwa huku moyo ukienda mbio, nikaanza kulia nikisema, hapana sijakukataa Baba. Lakini huo ndio ulikuwa mwisho wa maono yangu. Hii ni kweli kabisa wakuu. Learn from me.

Umaskini na punyeto

Niliporudi Tz nikiwa na pesa za kutosha (zaidi ya m80) nilianza uwekezaji. Kwanza nilifungua mradi wa nguruwe, kisha nikanunua Isuzu Journey mbili nikazifanya daladala (Gongolamboto- Temeke), nikanunua eneo (20 acres Tundwi Songatini), nikanunua 12 acres Morogoro Masika, ekari mbili Kisarawe, nikaanza biashara ya kununua dhahabu huku nadoma masters. Wakuu, nonavyoongea nanyi hivi leo, hakuna hata kimoja kiliendelea. Mbaya zaidi, nilikaa na mkurugenzi wa Oryx Tz kuhusu kuanzisha kituo cha mafuta akanipa support kubwa mno, mimi nilitakiwa kufanya sehemu ndogo tu, haikuwezekana!! Nilikutanishwa na marketing manager wa Vodacom niwe wakala mkuu wa mpesa Tanga na Morogoro, lakini nilipotoka ofisini nikaona ni upuuzi!?

Nikisema hakuna kilichoendelea ni kwamba, kilakukicha asubuhi, naacha kwenda kwenye appointment, badala yake nafunga safari kwenda coco beach kujichua. Nitakaa huko hadi waje wanawake kuogelea ndipo nijichue. Nikawa nachukia miradi yote niliyoianzisha. Nikawa nachukia masomo, nikaamua sihitaji yote hayo. Ilikuwa usiku nikilala, ifikapo alfajiri basi napatwa na ashki ya hatari sana, hapo sina tena control ya mwili, ratiba zote zinakufa, naenda kujichua.

Basi nguruwe walizaana wakawa wengi mno, zaidi ya arobaini, lakini siku moja nilichukua uamuzi nikaenda NIKAWAGAWA BURE kwa wafugaji wengine. Nikagawa na mabanda. Daladala moja niliiuza, nyingine ilikuwa ikibadilisgwa seat cover maeneo ya mzambarauni. Basiniliiacga huko bila kuifuatilia MWAKA MZIMA. Nilipokwenda siku moja, nikaluta niliyemkabidhi alikuwa sana, akawa anauza spare ili kujitibu mpaka basi lote likaisha! Yeye pia hakupona akawa amefariki. Kwenye dhahabu ilikuwa vituko, nanunua gram 300,nikifika sokoni zinakuwa gram 200. Nilikuwa hasara kubwa nisijue imetoka wapi.

Maisha yangu yakawa ya ajabu tu, kazini wakawa wanaishi nami kwa kunivumilia tu kutokana na rekodi zangu za mwanzo. Pepo lililovaa sura yangu halikutaka maendeleo yangu, katika ulimwengu wa roho lilisimama kupinga kila jambo. Mfano nikitaka elimu, lenyewe linakwenda mbele yangu (kwa sababu ndilo mimi mwenyewe katika ulimwengu wa roho), linasema hatuhitaji elimu sisi. Nikitaka fedha, linapinga katika ulimwengu wa roho kwamba hatuhitaji fedha nyingi. Zonatosha zilizopo. Nikitaka ndoa linakataa, najikuta sina hamu ya mwanamke, hata wa kusini naye tu, yaani sisimamishi kwa mwanamke, labda kama najichua. PUNYETO NI KIFUNGO CHA UMASKINI, hata ukiona mafanikio, iko siku yatapukutika yote usijue nini kimetokea. nakusihi ndugu, ACHA KABISA KUWSIKILIZA HAWA WANAOJIGAMBA KWAMBA WANAPIGA PUNYETO NA HAKUNA MADHARA. NI MAWAKALA WA NGUVU ZA GIZA HAWA, KWELI HAIMO NDANI YAO. PUNYETO NI KUKABIDHI NAFSI YAKO IENDESHWE NA NGUVU ZA GIZA, NI AGANO LITAKALOUA MAISHA YAKO NA VIZAZI VYAKO!!

Kama mnafikiri nadangaya, tafuteni thread za wauza madini, uanzishaji vituo vya mafuta nk. Mtaona michango yangu humo, sio utani!!

Morg, Khantwe, yuzazifu, Sic March, Mgonga Like, Ismoo, extra life, wiz hov, SHIMBA YA BUYENZE
Ohh God heal me
 
Honestly nimejichua sana,na after hiyo situation najionaga mpumbav sana na kujutia nilichokifanya.But, source ya hichi kitu ni mazingira tunayokuwepo(upweke, kuangalia au kuona maudhui yanayohamasisha ngono,nk)...nina mwaka wa pili sasa cjanyetuka wala kukutana kimwili na mwanamke yeyote,japokuwa natesekaga sana kuishinda nafsi.Kucheza games na vitu kama hizo pamoja na kujiweka karibu na ibada kumenisave sana kuepuka hili jambo... KIKUBWA NI KUAMUA TUU....
Big up Sana kaka kumbe ni upumbavu sana
 
Huu Uzi naweza sema ni uzi Bora kwa mwaka huu naupa award .Umenifungua kwa kiasi kikubwa juu ya masterbation umenifundisha nisichojua juu ya master pia kupitia mwanzilishi wa hii mada mungu ambariki Sana sna kaokoa wengi kupitia uzi wake tumekombolewa wengi toka katika hii laana hakika now we are new creatures
 
Huu Uzi naweza sema ni uzi Bora kwa mwaka huu naupa award .Umenifungua kwa kiasi kikubwa juu ya masterbation umenifundisha nisichojua juu ya master pia kupitia mwanzilishi wa hii mada mungu ambariki Sana sna kaokoa wengi kupitia uzi wake tumekombolewa wengi toka katika hii laana hakika now we are new creatures
Me kwangu ni uzi bora wa mwaka

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Kweli Punyeto ni laana na si dhambi tu
Reference to me..
Kila nikamaliza najutia na kujiona Mtu nisiefaa kwa lolote yaan Mtupu pure mtupuu kabisa
Lakini pia kila nikifanya punyeto nikimaliza najiona kabisa nimeondosha nguvu zangu yaan nakua kama zombie zombie tu sijielewi, majuto mengi sana moyoni na hata ukiwa mbele ya watu unajihisi kama u mtupu hata kama huna aibu ila internally you feel as you are naked.
Ila ukiacha kujichua hata mwezi, kwanza kwa sisi waumini hata ukiomba kwa Mungu unaona Moyo wako una Amani na Sala yako imefika kabisa ila sasa jichue alafu uombe yaan unajiona kama unatimiza tu wajibu bila matokeo yeyote
Ukiacha kwa Mda unaona mwili unarudi safi kabisa na nguvu za mwili na rohoni unakua nazo yaan full Amani. Kujichua huwezi kua na Afya bora Daima.
Mwisho Mtu anaejichua yeyote hata mwili wake hauna Nuru,uwe na hela uwe huna hela, ule mboga saba au moja huwezi kua na nuru. Ni mtupu rohoni na mwilini hata kama utajiona una kila kitu na kweli baraka za Mungu haziwezi kua juu yako hata kama utapata kama unavyohisi ni baraka bado huwezi kudum na vikidum huwezi kua na furaha navyo yaan lazima misukosuko ikuandame.
Shukrani kaka.
Dah kweli tupu kaka
 
Mr nyerere ww ulitokaje kwenye uu mtego?
Mkuu, hii ni vita ngumu mno!! Lakini iko siri moja tu, ukifanya juhudi zako mwenyewe HUWEZI KAMWE. Mimi nilijaribu mara kadhaa, lakini baada ya muda nilirejea kwa kishindo mpaka pale nilipoamua kwa kumaanisha moyoni, kisha nikaanza kumlilia Mungu. Tangu wakati huo sikuwahi kurejea tena, ikafikia kipindi nikitafakari yaliyopita nabaki kujishangaa ilikuwaje nikasikia raha katika hilo.

Kama wewe ni mwamini, kufunga kwa kumaanisha kuacha ni hatua ya pili muhimu.

1. Chukua uamuzi thabiti kwamba hutaki tena kujichua

2. Badili mfumo wako wa maisha. Acha kabisa kusoma literatures ambazo zitaamsha hisia za ngono ndani yako. Acha kabisa kuangalia TV program ambazo zinatukuza ngono na utupu (nudity), mfano miziki ya kisasa, big brother, vitabu vya hadithi za mapenzi nk. Yote haya yapo kukufanyia MIND PROGRAMMING. Epuka kabisa maongezi yanayohusu mambo ya ngono nk. Ni vema ukatumia muda wako mwingi kukaa peke yako huku ukisoma na kutafakari habari za Mungu. Kumbuka unapofanya haya, unaamsha hisia za ngono ambazo kwako huja kwa tamaa ya kujichua. Epuka kutembelea maeneo ambayo yana mambo ya uchi na utupu, mfano beach, night club, baa za wavaa nusu uchi nk. Kifupi, CHUNGA SANA UNAULISHA NINI MOYO WAKO.

3. Hii ni hatua muhimu sana. Unatakiwa kuua mwili wako. Kadri mwili unavyokuwa na nguvu ndivyo dhambi ya kujichua inayotawala. Nguvu ya mwili ni katika chakula. Unyime mwili chakula uone jinsi nguvu yake inavyotoweka mara na nguvu ya roho kuamka. Fanya funga, japo siku 21 hivi. Nakuhakikishia utarejea hali yako ya kawaida kabisa.

3. Baada ya funga usirudi tena katika mfumo wako wa maisha. Kwamba utakuwa umezaliwa na mwili mpya kabisa wenye kuongozwa na roho yenye mawazo mapya na mtazamo tofauti kabisa wa dunia hii. HII NDIO MAANA HASA YA KUZALIWA MARA YA PILI. Unaua mwili wa kwanza unaoongozwa na kila unachokiona duniani, unazaliwa mwili mpya ambao haufuati pattern ya dunia hii. Hatua hizi zitakuweka mbali na marafiki zako wa awali kwa sababu hautaendana nao tena. Ndipo ikasemwa "NALIKUJA KULETA UPANGA." Ukiona mtu anasema anamcha Mungu halafu anasifiwa sana na wana wa dunia hii, mfano mchungaji Lusekelo, basi jua wazi Mungu hayupo hapo. Kwamba mtu habadilishwi na mafundisho yake bali anafurahishwa sana nayo, basi hayo ni kwa namna ya dunia hii.


Mkuu, badili mfumo wako wa maisha nawe utakuwa hai, kama hubadili basi japo unaishi lakini tayari umekufa katika dhambi.
 
Mr nyerere ww ulitokaje kwenye uu mtego?
Mathayo 12
29 Ama awezaje mtu kuingia ndani ya nyumba ya mtu mwenye nguvu na kuviteka vyombo vyake, asipomfunga kwanza yule mwenye nguvu? Ndipo atakapoiteka nyumba yake.


Kumbe ukitaka kuiteka nyumba yako (roho) ni lazima kwanza umfunge mwenye nguvu (mwili) , bila hivyo utapoteza muda na nguvu zako bure.

Timeumnwa kuongozwa na roho, lakini mwili umekuwa na nguvu hata kuiteka roho. Sasa ni lazima kufunga ili kuondoa nguvu za mwili ndipo roho iamke, hapo NAKUHAKIKISHIA ITAISIKIA SAUTI YA MUNGU MAISHANI MWAKO, nawe utashangaa kuonja wema wa Bwana.

Zaburi 34
5 Wakamwelekea macho wakatiwa nuru, Wala nyuso zao hazitaona haya.

6 Maskini huyu aliita, Bwana akasikia, Akamwokoa na taabu zake zote.

7 Malaika wa Bwana hufanya kituo, Akiwazungukia wamchao na kuwaokoa.


Malaika wa Bwana ataanza kukutembelea usiku ukiwa umelala na atakujulisha mambo mengi, wala hutaogopa neno tena.

8 Onjeni mwone ya kuwa Bwana yu mwema; Heri mtu yule anayemtumaini.

Nawe jaribu kufanya hivyo ili uushuhudie wema wa Bwana. Usiwe mtu wa kusikiliza ahuhuda tu, NAKUHAKIKISHIA UTASHANGAA KUTEMBELEWA NA MALAIKA NA KUSEMA NA ROHO YAKO.

12 Ni nani mtu yule apendezwaye na uzima, Apendaye siku nyingi apate kuona mema?

13 Uuzuie ulimi wako na mabaya, Na midomo yako na kusema hila.

14 Uache mabaya ukatende mema, Utafute amani ukaifuatie.

15 Macho ya Bwana huwaelekea wenye haki, Na masikio yake hukielekea kilio chao.


Fanya hayo kwa moyo safi kisha rudi hapa jukwaani UNIITE MWONGO

AMINA
 
Mathayo 12
29 Ama awezaje mtu kuingia ndani ya nyumba ya mtu mwenye nguvu na kuviteka vyombo vyake, asipomfunga kwanza yule mwenye nguvu? Ndipo atakapoiteka nyumba yake.


Kumbe ukitaka kuiteka nyumba yako (roho) ni lazima kwanza umfunge mwenye nguvu (mwili) , bila hivyo utapoteza muda na nguvu zako bure.

Timeumnwa kuongozwa na roho, lakini mwili umekuwa na nguvu hata kuiteka roho. Sasa ni lazima kufunga ili kuondoa nguvu za mwili ndipo roho iamke, hapo NAKUHAKIKISHIA ITAISIKIA SAUTI YA MUNGU MAISHANI MWAKO, nawe utashangaa kuonja wema wa Bwana.

Zaburi 34
5 Wakamwelekea macho wakatiwa nuru, Wala nyuso zao hazitaona haya.

6 Maskini huyu aliita, Bwana akasikia, Akamwokoa na taabu zake zote.

7 Malaika wa Bwana hufanya kituo, Akiwazungukia wamchao na kuwaokoa.


Malaika wa Bwana ataanza kukutembelea usiku ukiwa umelala na atakujulisha mambo mengi, wala hutaogopa neno tena.

8 Onjeni mwone ya kuwa Bwana yu mwema; Heri mtu yule anayemtumaini.

Nawe jaribu kufanya hivyo ili uushuhudie wema wa Bwana. Usiwe mtu wa kusikiliza ahuhuda tu, NAKUHAKIKISHIA UTASHANGAA KUTEMBELEWA NA MALAIKA NA KUSEMA NA ROHO YAKO.

12 Ni nani mtu yule apendezwaye na uzima, Apendaye siku nyingi apate kuona mema?

13 Uuzuie ulimi wako na mabaya, Na midomo yako na kusema hila.

14 Uache mabaya ukatende mema, Utafute amani ukaifuatie.

15 Macho ya Bwana huwaelekea wenye haki, Na masikio yake hukielekea kilio chao.


Fanya hayo kwa moyo safi kisha rudi hapa jukwaani UNIITE MWONGO

AMINA

Thanks Mr nyerere
 
Mkuu, hii ni vita ngumu mno!! Lakini iko siri moja tu, ukifanya juhudi zako mwenyewe HUWEZI KAMWE. Mimi nilijaribu mara kadhaa, lakini baada ya muda nilirejea kwa kishindo mpaka pale nilipoamua kwa kumaanisha moyoni, kisha nikaanza kumlilia Mungu. Tangu wakati huo sikuwahi kurejea tena, ikafikia kipindi nikitafakari yaliyopita nabaki kujishangaa ilikuwaje nikasikia raha katika hilo.

Kama wewe ni mwamini, kufunga kwa kumaanisha kuacha ni hatua ya pili muhimu.

1. Chukua uamuzi thabiti kwamba hutaki tena kujichua

2. Badili mfumo wako wa maisha. Acha kabisa kusoma literatures ambazo zitaamsha hisia za ngono ndani yako. Acha kabisa kuangalia TV program ambazo zinatukuza ngono na utupu (nudity), mfano miziki ya kisasa, big brother, vitabu vya hadithi za mapenzi nk. Yote haya yapo kukufanyia MIND PROGRAMMING. Epuka kabisa maongezi yanayohusu mambo ya ngono nk. Ni vema ukatumia muda wako mwingi kukaa peke yako huku ukisoma na kutafakari habari za Mungu. Kumbuka unapofanya haya, unaamsha hisia za ngono ambazo kwako huja kwa tamaa ya kujichua. Epuka kutembelea maeneo ambayo yana mambo ya uchi na utupu, mfano beach, night club, baa za wavaa nusu uchi nk. Kifupi, CHUNGA SANA UNAULISHA NINI MOYO WAKO.

3. Hii ni hatua muhimu sana. Unatakiwa kuua mwili wako. Kadri mwili unavyokuwa na nguvu ndivyo dhambi ya kujichua inayotawala. Nguvu ya mwili ni katika chakula. Unyime mwili chakula uone jinsi nguvu yake inavyotoweka mara na nguvu ya roho kuamka. Fanya funga, japo siku 21 hivi. Nakuhakikishia utarejea hali yako ya kawaida kabisa.

3. Baada ya funga usirudi tena katika mfumo wako wa maisha. Kwamba utakuwa umezaliwa na mwili mpya kabisa wenye kuongozwa na roho yenye mawazo mapya na mtazamo tofauti kabisa wa dunia hii. HII NDIO MAANA HASA YA KUZALIWA MARA YA PILI. Unaua mwili wa kwanza unaoongozwa na kila unachokiona duniani, unazaliwa mwili mpya ambao haufuati pattern ya dunia hii. Hatua hizi zitakuweka mbali na marafiki zako wa awali kwa sababu hautaendana nao tena. Ndipo ikasemwa "NALIKUJA KULETA UPANGA." Ukiona mtu anasema anamcha Mungu halafu anasifiwa sana na wana wa dunia hii, mfano mchungaji Lusekelo, basi jua wazi Mungu hayupo hapo. Kwamba mtu habadilishwi na mafundisho yake bali anafurahishwa sana nayo, basi hayo ni kwa namna ya dunia hii.


Mkuu, badili mfumo wako wa maisha nawe utakuwa hai, kama hubadili basi japo unaishi lakini tayari umekufa katika dhambi.
Nime nyanyua mikono yangu juu Darasa lipo kwenye pin point

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Mathayo 12
29 Ama awezaje mtu kuingia ndani ya nyumba ya mtu mwenye nguvu na kuviteka vyombo vyake, asipomfunga kwanza yule mwenye nguvu? Ndipo atakapoiteka nyumba yake.


Kumbe ukitaka kuiteka nyumba yako (roho) ni lazima kwanza umfunge mwenye nguvu (mwili) , bila hivyo utapoteza muda na nguvu zako bure.

Timeumnwa kuongozwa na roho, lakini mwili umekuwa na nguvu hata kuiteka roho. Sasa ni lazima kufunga ili kuondoa nguvu za mwili ndipo roho iamke, hapo NAKUHAKIKISHIA ITAISIKIA SAUTI YA MUNGU MAISHANI MWAKO, nawe utashangaa kuonja wema wa Bwana.

Zaburi 34
5 Wakamwelekea macho wakatiwa nuru, Wala nyuso zao hazitaona haya.

6 Maskini huyu aliita, Bwana akasikia, Akamwokoa na taabu zake zote.

7 Malaika wa Bwana hufanya kituo, Akiwazungukia wamchao na kuwaokoa.


Malaika wa Bwana ataanza kukutembelea usiku ukiwa umelala na atakujulisha mambo mengi, wala hutaogopa neno tena.

8 Onjeni mwone ya kuwa Bwana yu mwema; Heri mtu yule anayemtumaini.

Nawe jaribu kufanya hivyo ili uushuhudie wema wa Bwana. Usiwe mtu wa kusikiliza ahuhuda tu, NAKUHAKIKISHIA UTASHANGAA KUTEMBELEWA NA MALAIKA NA KUSEMA NA ROHO YAKO.

12 Ni nani mtu yule apendezwaye na uzima, Apendaye siku nyingi apate kuona mema?

13 Uuzuie ulimi wako na mabaya, Na midomo yako na kusema hila.

14 Uache mabaya ukatende mema, Utafute amani ukaifuatie.

15 Macho ya Bwana huwaelekea wenye haki, Na masikio yake hukielekea kilio chao.


Fanya hayo kwa moyo safi kisha rudi hapa jukwaani UNIITE MWONGO

AMINA
Nisipo badilika round hii,basi nime rogega vilivyo

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom