Nguvu ya Punyeto na kujichua katika Ulimwengu wa Roho

Nguvu ya Punyeto na kujichua katika Ulimwengu wa Roho

Honestly nimejichua sana,na after hiyo situation najionaga mpumbav sana na kujutia nilichokifanya.But, source ya hichi kitu ni mazingira tunayokuwepo(upweke, kuangalia au kuona maudhui yanayohamasisha ngono,nk)...nina mwaka wa pili sasa cjanyetuka wala kukutana kimwili na mwanamke yeyote,japokuwa natesekaga sana kuishinda nafsi.Kucheza games na vitu kama hizo pamoja na kujiweka karibu na ibada kumenisave sana kuepuka hili jambo... KIKUBWA NI KUAMUA TUU....
Ebwana safi sana....! Wewe ni mtu mwenye uwezo wa hali ya juu wa kuweza kuendesha hisia zako, vipi hali yako baada ya miaka miwili uliyoishi kwa usafi huo? Kuna mabadiliko gani umeyahisi kwako?
 
Sisi wabongo shida sana. Mtu anaiponda puli kisa uongo wa kiroho. Mtu ameoa lakini hajui hata kuna k za aina ngapi je mkeo K ikiwa kavu unafanyaje. Kutwa kuwapaka wanawake mimate wakati mafuta lainishi yapo. Mwanamke ukimpaka mimate au kumnyonya huko chini unamletea bacteria chotara kwenye K mwisho wa siku lazma aumwe UTI sugu tu. Watu wanaacha kufatilia je wao wanandoa wanafanya healthy sex au ndio chomeka niweke wanawaza mpiga nyeto ambae hamna madhara ambayo anayopata. Mm binafsi na mwaka wa 23 huu napiga punyeto na mashine haijawahi kulala kizembe
Lakini ukikutana na she. Unakojoa in 3seconds.!!!! Hamna mwanaume apo Siku ukioa utagongewa mkeo ,hacha uwo ujinga
 
Tangu kuanzishwa uzi huu, wamejitokeza wakuu kuupinga kwa nguvu zote huku wakipaza sauti zao kujaribu kuwahadaa wengine kwamba punyeto ni jambo jema. Namshukuru Mungu kwa sababu ya wale walioguswa na huu ujumbe na moja kwa moja wakaamua kuchukua hatua. Kwa Mungu hakuna kuwahi wala kuchelewa, hapo hapo ulipoanzia atakufanya upya nawe utakuwa na amani katika siku zako zilizosalia hapa duniani. Napenda kuwatia moyo kwa ujumbe huu mfupi:

Luka 18
35 Ikawa alipokaribia Yeriko, mtu mmoja kipofu alikuwa ameketi kando ya njia, akiomba sadaka;


>> Sisi sote tumekuwa vipofu kwa sababu hatujaona siri za ufalme wa Mungu. Licha ya Kristo kujidhihirisha kwetu, bado hatukuikubali kweli na kujidhani tunaona. Lakini Yeye asemaye: (Yohana 9
39 Yesu akasema, Mimi nimekuja ulimwenguni humu kwa hukumu, ili wao wasioona waone, nao wanaoona wawe vipofu.

40 Baadhi ya Mafarisayo waliokuwapo pamoja naye wakasikia hayo, wakamwambia, Je! Sisi nasi tu vipofu?

41 Yesu akawaambia, Kama mngekuwa vipofu, msingekuwa na dhambi; lakini sasa mwasema, Twaona; basi dhambi yenu inakaa
).

Kwa hiyo tatizo sio kuwa tu vipofu, bali ni kukubali kwamba sisi ni vipofu!!

36 na alipowasikia makutano wakipita, aliuliza, Kuna nini?

37 Wakamwambia, Yesu wa Nazareti anapita.

38 Akapiga kelele, akisema, Yesu, Mwana wa Daudi, unirehemu.


>> Sasa mimi ni chombo tu, nimetumika kufikisha ujumbe wa ufalme wa Mungu. Wale waliosikia, wengine wameuliza kuna nini? Hawa ni wale waliojigundua kuwa ni vipofu na hawakuwahi kuiona nuru ya Kristo. Pale walipojibiwa kuna neno la Kristo linapita hapa jukwaani, wakaamua kupaaza sauti wakiomba rehema ya Mungu. Wakatambua mara kuwa wanahitaji msaada wapate kuona, wanahitaji rehema ya Mungu, sio macho!! Kwamba wametambua wamemwasi Mungu na kutumbukia gizani, hivyo dawa si macho, bali ni huruma ya Mungu ili awatoe gizani kwani wamekuwa vipofu hawawezi tena kuona njia.

39 Basi wale waliotangulia wakamkemea ili anyamaze; lakini yeye alizidi sana kupaza sauti, Ee Mwana wa Daudi, unirehemu.

>> Hapa liko tendo linaloendelea hata sasa. Mtu akiisikia sauti ya Kristo na kuamua kupaza sauti akimwita, WALIOTANGULIA, wale wanaodhani wanaona wala si vipofu, hujaribu sana kumkemea mtu huyu. Hujaribu kumnyamazisha, hawataki Kristo ampe attention, wamemmiliki Kristo. Ni namna ya mabaunsa wa leo makanisani. Ni aina ya wale waliowahi kusikia habari za Kristo na kudhani wamemjua vema. Ni vipofu wakubwa wa kiroho, wakimlinganisha Kristo na kile wanachokiamini wao.

40 Yesu akasimama, akaamuru aletwe kwake; na alipomkaribia, alimwuliza,

41 Wataka nikufanyie nini? Akasema, Bwana, nipate kuona.

42 Yesu akamwambia, Upewe kuona; imani yako imekuponya.

43 Mara hiyo akapata kuona, akamfuata, huku akimtukuza Mungu. Na watu wote walipoona hayo walimsifu Mungu.


>> Lakini Kristo Yesu anashughulika na mtu mmoja mmoja. Ukimwita kwa kukusudia hayuko mbali. Atakuja kwako na swali lake kwako ni moja tu, UNATAKA NIKUFANYIE NINI? Hapa ndipo penye imani ya watakatifu, usibebwe na imani ya wengi. Jenga uhusiano wako na Mungu huku ukikusanyika kumsifu na kumtukuza.

Acha kusikiliza sauti za pembeni pale unapoamua kumtafuta Kristo, kwani wengi hujitokeza na kukuvunja moyo. Ndivyo ilivyo hata sasa, ukiamua kiachana na mfumo wa dunia hii, ndipo sasa sauti za upinzani zitaamka dhidi yako. Ni kipindi kigumu mno chenye kila aina ya majaribu. Unajua ni kwa nini huwa hivi?

SIRI: Pale unapokuwa kwenye ufalme wa giza, shetani hana shughuli na wewe kwa sababu tayari keshakupata, ndio maana utaona kama unaishi vizuri tu. Huwezi kumhangaikia mkeo kumtongoza akupe unyumba, lakini asiye mkeo huyo atakufanya ulipe gharama kubwa kumpata. Ndio maana mwanamke ataendelea kuwa mgumu kumpata mpaka pale atakaposajiliwa kwenye ufalme wa giza, ambako huvikwa bango usoni pake. Hapo ndipo kila mwenye kumhitaji husoma bango alilovikwa mwanamke huyu na kujua gharama zake. Akiwa tayari kuzilipa atampata kirahisi tu.

Ndivyo ilivyo kwa mwanamume mzinzi, huyu tayari kavikwa bango kwenye paji la uso. Hutokwa kwa gharama ndogo tu. Mwanamke akiacha mapaja nje, tayari macho hutiwa upofu, mwanamke akimlegezea macho akili huhama. Ni aina ya msukule ingawa anajidhani yuko hai. Kiukweli anaishi katika giza na hawezi kamwe kutoka humo mpaka apate mtu wa kummulikia mwanga aweze kuona njia.

Kwa hiyo ukiamua kumfuata Kristo tarajia vita kali sana, kutoka ndugu na jamaa wanaokuzunguka. Kumbuka Kristo alikuja kuleta upanga!! Shetani hawezi kukuacha kirahisi, utashangaa hata mambo ya dhambi uliyokuwa ukiyasotea siku za nyuma, ghafla yamekuwa mepesi mno kuyapata. Afu utaona kule unakojaribu kuhamia kumegeuka ukame na hakuna maisha. Ukiona hivyo tambua kwamba uko kwenye njia sahihi na kwamba hayo majaribu ni ya muda tu ili kuimarisha imani yako. Kwamba umeshatambua dunia na anasa zake si chochote, umepata kitu cha thamani kubwa zaidi ya hivyo. Ukisimamia ukiri huo, Kristo atakushika mkono na kukutoa katika bonde la uvuli wa mauti na kukuingiza kwenye malisho ya majani mabichi.

Kikubwa hapa, usijenge imani kwa mwanadamu kamwe, sisi tunapeana habari njema azinazookoa tu, lakini kazi ya kuokoa hufanywa na Roho Mtakatifu mwenyewe. Kwa maana hiyo sisi tumekuwa mabalozi wa ufalme wa Mungu. Balozi hawezi kuwakilisha matakwa yake ila ya yeye aliyempeleka. Hivyo usiseme, napenda sera za balozi wa Uingereza, bali useme, napenda sera za serikali ya Uingereza.

Amani ya Kristo ipitayo fahamu zetu ikae nanyi daima.

Amina.
 
Lakini ukikutana na she. Unakojoa in 3seconds.!!!! Hamna mwanaume apo Siku ukioa utagongewa mkeo ,hacha uwo ujinga
Huo ni uongo kabisa. Mm binafsi namgonga mwanamke hadi anasema leo inatosha. Alafu nikimaliza naenda bafuni kumalizia kimoja changu. Nguvu za kiume hazina mahusiano na punyeto.
 
Huo ni uongo kabisa. Mm binafsi namgonga mwanamke hadi anasema leo inatosha. Alafu nikimaliza naenda bafuni kumalizia kimoja changu. Nguvu za kiume hazina mahusiano na punyeto.
Nimepitia post zako vzur tu,ndo maana wanasemaga muongo anasahau mapema alivoongopa, kuna sehem umesema ulikutana na dem ana joto ata kabla ya kuingiza ukakojoa ,uongo!!!!!!

Kwanza Kwa inavoonekana kutokana na maelezo yako ni kama hauna ata demu wa kusingiziwa.

Kuna sehem umesema ety ukifanya mapenzi magoti yanauma, ahahahahaa mzee ayo ni madhara moja wapo ya puli.

Kuna sehem umesema ety unaishi maisha ya rahaa una mda wa kujisumbua kuomba ata no.uko barabarani,maana yake Kwa sasa mwanamke unamuona kama ni kitu cha kawaida ,ayo ni matokeo ya puli mzee.


Itafika wakati demu atakuvulia mashine ishindwe kusimama , alafu akiondoka itasimama upige puli.

Wewe hauishi maisha ya rahaa ila unaishi maisha ambayo utakuja kuyajutia badae,

Puli ni upuuzi ni ujinga, ndo maana unaweza piga puli lakin ukimaliza unaanza kujilaumu.


Mpaka sasa ww huwezi mridhisha mtoto wa kike coz umezoe ukipiga puli unakojoa Kwa dk1 ata kwenye shoo ni ivoivo.

Alfu jinsi unavojitapa Kwa kuwa mpiga puli uwo ni upuuzi mtupu na ni ushamba ata sio ujanja.
 
Sisi wabongo shida sana. Mtu anaiponda puli kisa uongo wa kiroho. Mtu ameoa lakini hajui hata kuna k za aina ngapi je mkeo K ikiwa kavu unafanyaje. Kutwa kuwapaka wanawake mimate wakati mafuta lainishi yapo. Mwanamke ukimpaka mimate au kumnyonya huko chini unamletea bacteria chotara kwenye K mwisho wa siku lazma aumwe UTI sugu tu. Watu wanaacha kufatilia je wao wanandoa wanafanya healthy sex au ndio chomeka niweke wanawaza mpiga nyeto ambae hamna madhara ambayo anayopata. Mm binafsi na mwaka wa 23 huu napiga punyeto na mashine haijawahi kulala kizembe
Kama baba yako yu hai (I pray iwe hivyo), tafuta namna ya kumshirikisha hiyo healthy sex uliyochagua uone atakavyo sikitika kwa matendo yako. Wazee wetu ni washauri muhimu sana maishani, hebu tuwatumie katika mema.

Lakini pia si kila mtu atapokea ujumbe huu, hasa kwa walio kwenye vifungo vikali kama wewe. Ni aibu kubwa kwamba miaka 23 baadaye, bado tu unatafuta kujua yupi ni mwanamke mkavu na yupi ana maji ili upate kuchagua mke. Hivi mpaka hapo hujioni kuwa una kasoro? Umekutana na wanawake wangapi hadi hii leo na bado hujaona mwenye maji mengi? Ni kwamba unatumikishwa na ulimwengu wa giza pasipo kujua, ama unazungumza kuwapotosha wengine.

Punyeto na kujichua hakujawahi kuwa safe sex, bali ni MATATIZO YA AKILI!! Unajua kwa nini? Kujichua sio NATURAL SEX. Ni sawa na kuingiliana kinyume na maumbile, sio natural. Jambo lolote ambalo haliendani na uasili wake (kwamba linafanywa kinyume na makusudio yake) linahitaji akili nazo zisiwe natural. Akili ikiwa natural utabaini mara moja kuwa unachokifanya sio cha kawaida na utaacha mara moja. Sasa habari za safe sex ni majina tu, kama LGBTQ, same sex marriage, feminism nk. Acha kuwa msukule wa kusujudia ubunifu wa wanadamu wenzako, kuwa mwenyewe.
 
Nimepitia post zako vzur tu,ndo maana wanasemaga muongo anasahau mapema alivoongopa, kuna sehem umesema ulikutana na dem ana joto ata kabla ya kuingiza ukakojoa ,uongo!!!!!!

Kwanza Kwa inavoonekana kutokana na maelezo yako ni kama hauna ata demu wa kusingiziwa.

Kuna sehem umesema ety ukifanya mapenzi magoti yanauma, ahahahahaa mzee ayo ni madhara moja wapo ya puli.

Kuna sehem umesema ety unaishi maisha ya rahaa una mda wa kujisumbua kuomba ata no.uko barabarani,maana yake Kwa sasa mwanamke unamuona kama ni kitu cha kawaida ,ayo ni matokeo ya puli mzee.


Itafika wakati demu atakuvulia mashine ishindwe kusimama , alafu akiondoka itasimama upige puli.

Wewe hauishi maisha ya rahaa ila unaishi maisha ambayo utakuja kuyajutia badae,

Puli ni upuuzi ni ujinga, ndo maana unaweza piga puli lakin ukimaliza unaanza kujilaumu.


Mpaka sasa ww huwezi mridhisha mtoto wa kike coz umezoe ukipiga puli unakojoa Kwa dk1 ata kwenye shoo ni ivoivo.

Alfu jinsi unavojitapa Kwa kuwa mpiga puli uwo ni upuuzi mtupu na ni ushamba ata sio ujanja.
Mkuu, umedadavua vema kabisa. Hayo yote ndio MADHARA YA KUPIGA PUNYETO. Miaka 23 anatumikia mchezo huo, hawezi tena kumsogelea mwanamke kama mwanamume kamili. Mke wake ni mkono wake mwenyewe.
 
Mkuu, umedadavua vema kabisa. Hayo yote ndio MADHARA YA KUPIGA PUNYETO. Miaka 23 anatumikia mchezo huo, hawezi tena kumsogelea mwanamke kama mwanamume kamili. Mke wake ni mkono wake mwenyewe.
Kwasasa wanawake anawadharau kana kwamba anawaona kama wanaume wenzie .

Pili hana ujasiri wa kumsimamisha msichana amtongoze ,na kama hajafikia hatua ii ataifikia tu.

Tatu itafika wakati atatamani kuwa na mtoto lakin hatoweza coz atakuwa anwaogopa wanawake kama ukoma kwa kukwepa aibu ya kumaliza ndani ya dk 1

Mwisho puli ni ujinga ni upuuzi na ni dhambi pia.
 
Mm hata atoe semina Yesu na Muhhamad kwa pamoja siwezi acha CHAPUTA. Ukweli ni kwamba usipokua na mke na ukawa hupigi punyeto unaweza nukavumilia hata mwaka kama upo bize na mambo yako. Ila siku ukashikwa na nyege baruti hapo lazma 1. Utambaka mwanamke yeyote karibu yako. 2 Utabaka hata kuku au ngombe. Solution ni ukihisi hamu jifungie piga kimoko endelea na mishe. Kwanza mm punyeto naipendea ukimaliza akili inakwambia mambo si ndio haya mwanangu, ungeenda lodge kulipa 30K bado ungempa mwanamke 20K hujamlisha chakula ungejikuta ushatumia laki leo kiboya alafu demu mwenyewe hajui kukatika. Alafu kingine mm sipendi ukimgonga demu unachoka sana, lazma kesho magoti yaumie sana hata mazoezini huendi. Kila dk kumuuliza manamke umefika anajibu bado ww huku unajiumiza miguu tu kumlizisha mtoto wa mwenzio. Puli unapiga kimoja unalala wala hujikunji goti.
Ahahahahaaa ety unachoka sana na kila mda kumuuliza demu kama amefika na anakijibu bado.


Alafu unajiita shababi na unabisha ety nyeto haina madhala , kweli ndugu??? Dah!!
 
Kweli bro. Ndio maana nikasema inatemeana na mavurugu. Mfano mm miaka ya nyuma nilikutana na mdada mashine yake yamoto kama tanuli la tofali za kuchoma. Ukiweka tu ujapiga nje ndani tayari ushafika mshindo. Hapo ni kama cals 4 tu zimeenda. Hao wa cals 100 ndio wale wa kudandia madirisha mara ambebe jikoni huku anapiga mashine. Alafu researcher niliemsoma inatemeana alifanya research kwa kundi gani. Mfano mtu akienda kwa wadada wanaojiuza unakuta tayari akili ishajiandaa anafika machine ipo hewani anashika chuchu tako tatu wazungu hawa. Hapo si cals 8 tu zimeenda zimezidi hadi hatua alizopiga kutoka kwake kwenda kwenye danguro.
Dah!! Mashine ya moto?? Kakwambia nan??
 
I can relate to this happenings, initially my in my life I had the capability to see some futuy events or even answer some questions out of my capability,kumbe shetani kaniingilia nikajua kazi ya mkona mmoja,Mambo yakawa siku zote yaenda Kombo,wife kapotea,job nikaacha,Hela hazishiki mkono,nakuwa Na ideas but ikifika implementation sijui Nini hufanyika,sasa nishagundua chanzo,thanks for this information definately it has changed someone's life to the better, thanks mkuu,God bless you.

The same case to me brother, nilipoteza sana. Hapa nilipata partnership na kampuni moja toka Marekani, wakataka nifungue ofisi Tanzania niwe mkurugenzi. Huwezi amini nilifanya yote ikiwamo kwenda wizarani na kupata taratibu zote, kisha nikaanza kuwapuuza. Walihangaika kwa miaka kadhaa kunishawishi kuendelea na hiyo project, lakini WITH NO REASON niliachana nao na sikuwa najibu mail zao. Kila nikiamka nawazia pili tu, nikipiga kichwa kinakuwa cheupe kabisa na nguvu zinaisha, no motivation, mabaki kama msukule. Leo hii nabaki kujiuliza tu ningekuwa wapi? Ooh God..

IMG_20200914_135510.jpg
IMG_20200914_135701.jpg
 
The same case to me brother, nilipoteza sana. Hapa nilipata partnership na kampuni moja toka Marekani, wakataka nifungue ofisi Tanzania niwe mkurugenzi. Huwezi amini nilifanya yote ikiwamo kwenda wizarani na kupata taratibu zote, kisha nikaanza kuwapuuza. Walihangaika kwa miaka kadhaa kunishawishi kuendelea na hiyo project, lakini WITH NO REASON niliachana nao na sikuwa najibu mail zao. Kila nikiamka nawazia pili tu, nikipiga kichwa kinakuwa cheupe kabisa na nguvu zinaisha, no motivation, mabaki kama msukule. Leo hii nabaki kujiuliza tu ningekuwa wapi? Ooh God..

View attachment 1569514View attachment 1569516
Yaani hiyo ya chini ni mojawapo nilipokuwa nawazuga kwamba nililazwa hivyo sikuweza kufanyia kazi. Jamaa hawa walinupenda sana, tangu 2011 walikuwa wakinihangaikia niwatumie bajeti yangu huku waiingize kwenye bajeti ya kampuni, but nikawa nawakwepa kwa sababu, akili ilikuwa kwenye nyeto tu!! Yaani sikuwa na motivation kabisa. I was the walking dead. Ujumbe wao wa mwisho kwangu ni 2018 waliponitakia Christmas njema.
 
Dunia ya sasa safe sex ni nyeto tu. Nyie jikorogeni nawanawake.
 
Ni kweli kabisa, Ila kulingana kwake hakumaanishi zote Zina matokeo ya kufanana.. we chakata Papuchi na mwenzio apige nyeto then mkutane Hospital ndo utaelewa nn nnamaanisha..
Mzee kwani kupiga papuchi ni lazima ufanye na kila mtu? Kwan haiwezekani kuwa kwenye mahusiano na mtu mnayeaminiana??? Hacheni kutafuta sababu za kutetea mambo ya kipuuzi
 
Andiko lako halihusiani na nguvu za giza,kisayansi punyeto Ina madhara kwa mtumiaji kwa kuwa akili yake ikizoea Sana Hilo tendo inamuadhiri kwenye mahusiano na hata wakati mwingine upungufu wa nguvu za kiume....na hata kwa wanawake hamu ya tendo na mwanaume hupungua,lakini hali uliyokutana nayo wewe ndio nguvu za giza na upumbavu ndani yake...wangapi humu wamepiga punyeto mashuleni na kabla hawajaoa na wanaendelea vyema kwenye maisha kwa sasa? Unachofanya ni kuweka uoga kwa watu usiokuwepo na kutaka kushawishi roho za uzinzi kwa vijana wasiooa...kwa akili yako lengo lako ni nini hasa zaidi ya kutaka kuhamasisha ngono? Acha kutisha watu yaliyokutokea hayana uhusiano na punyeto kabisa
Kwaiyo njia ya kujiepusha na uzinzi ni kupiga puli?????
 
Wakuu, andiko hili lina maana nzito sana kwenye maisha yetu hata sasa. Wengi wetu tunapenda kujitanabahisha kuwa tunakipenda kitabu cha muhubiri bila kujali tofauti za kiimani. Ni wakati sasa tukasoma 'kwa tafakari.

Mhubiri 10
¯¯¯¯¯¯¯¯¯¯
⁵ Liko baa nililoliona chini ya jua, nalo ni kama kosa litokalo kwake yeye atawalaye;
⁶ ya kuwa upumbavu huwekwa mahali pa juu sana, nao wakwasi (matajiri) hukaa mahali pa chini.

Ecclesiastes 10 (KJV)
¯¯¯¯¯¯¯¯¯¯
⁵ There is an evil which I have seen under the sun, as an error which proceedeth from the ruler:
⁶ Folly is set in great dignity, and the rich sit in low place.


>> Hili ni kosa ambalo limeendelea kufanywa na watawala. Ni kwamba, ni jambo la kawaida kuona wale wenye utajiri wa ufahamu wakiwekwa chini na "wapumbavu" kupewa nafasi za juu hata katika serikali zetu. Yaani wale ambao ni vilaza hupewa nafasi za juu kuwaongoza wenye utajiri wa hekima!!

Lakini pia andiko hili lina maana pana zaidi. Mtu aliye ndani ya Kristo ni mtawala, sawa sawa na Ufu 5:10. Sasa ukiwakama mtawala waweza kuwa umefanya kosa kwa kuuinua upumbavu juu na kujikuta wewe ambaye ni mtawala upaswaye kuwa tajiri umeshuka chini na kuwa maskini wa kutupwa. Kwamba umemfanya mtumwa awe mfalme mahali pako nawe umegeuka mtumwa!! Huu ndio upumbavu aliouona mhubiri, unataka kuamini zaidi? Hebu malizia mstari huu:

⁷ Mimi nimeona watumwa wamepanda farasi, na wakuu wakienda kwa miguu juu ya nchi kama watumwa.

⁷ I have seen servants upon horses, and princes walking as servants upon the earth.


>> Umeona? Watumwa wamepanda farasi na wakuu wanachapa raba. Aliyepaswa kuwa mkuu amegeuka mtumwa huku mtumwa akigeuka boss. Sasa Mhubiri anasema hili ni kosa la kujitakia, mtawala kalisababisha mwenyewe. Mwanadamu amewekwa kutawala na kuitiisha nchi. Lakini baada ya dhambi kuingia akajikuta ameruhusu roho wachafu kumtawala na hivyo kuwatumikia. Ndipo akaja Kristo ili kumrejwsha mwanadamu kwenye nafasi yake tena kama mtawala.

Tatizo mwanadamu bado anatejwa na ujanja wa roho wachafu na kujikuta akiwatumikia na hivyo kuwafanya wao wafalme. Nao roho wachafu hutumia wanadamu waliokufa kiroho kuwa mawakala wao hapa duniani ili kuitawala dunia badala ya mwanadamu. Ndipo utasikia mtu anafuga majini halafu majini anayodhani anayafuga yanamwekea masharti kibao. Lakini pia ndipo utaona wanaofuata matakwa ya mapepo huonekana kufanikiwa sana kwa nje, lakini kwa ndani ni watumwa wakubwa.

Tukirudi kwenye mada, unapopiga punyeto unajiweka chini ya kongwa la utumwa wa roho zidanganyazo. Unajiondoa kwenye nafasi ya mtawala na kuwa mtumwa. Kuanzia hapo huwezi tena kufanya maamuzi yoyote bali roho wachafu ndio watakuwa wakiamua kwa ajili yako. Ndipo ukipata dili lolote, roho wataingilia kati na kusema hatuhitaji, ukitataka kufanya jambo lolote ghafla roho yako inasinyaa unapotezea. Mtumwa hana mamlaka ya kuamua jambo, ndivyo ilivyo. Kumbuka kuwa mwanadamu alikusudiwa kufanya maamuzi kutokea ndani, yaani rohoni na sio nje yaani mwilini. Sasa kwa aliyejifanya mtumwa huongozwa kwa kutokea nje. Mfano:

tunaamua nani anafaa kuwa mwenza wa maisha kwa kutazama sifa za nje, kazi yake, sura yake, kipato chake nk. Zote hizi ni sifa za nje na zaweza kuwa majuto makuu lijapo suala la sifa za ndani. Pia tumefikia mahali ambapo tunaamua mambo ya kiimani kwa nje, licha ya kwamba tunajua ni IMANI. Tunataka tumwone Mungu kwa macho ya nyama, tunatafiti sifa na matendo yake kwa vigezo vya nje. Hii ndio roho ya upotevu na ndio utumwa.

Tena tunatambua mambo baada ya kuwa yametukia. Pale ukame unapoikumba nchi ndio tunashtuka, yanapotokea maradhi ya mlipuko watu wakafa mdipo tunahangika kutafuta majibu. Lakini kama tungeruhusu kuongozwa na roho,basi tungaliyaona hayo kabla hayajakuwako.


Sasa kupiga punyeto kunaua roho yako na kualika roho wachafu wanaochukua uongozi. Hapo mtawala amegeuka mtumwa na mtumwa amegeuka mtawala.
 
Sisi wabongo shida sana. Mtu anaiponda puli kisa uongo wa kiroho. Mtu ameoa lakini hajui hata kuna k za aina ngapi je mkeo K ikiwa kavu unafanyaje. Kutwa kuwapaka wanawake mimate wakati mafuta lainishi yapo. Mwanamke ukimpaka mimate au kumnyonya huko chini unamletea bacteria chotara kwenye K mwisho wa siku lazma aumwe UTI sugu tu. Watu wanaacha kufatilia je wao wanandoa wanafanya healthy sex au ndio chomeka niweke wanawaza mpiga nyeto ambae hamna madhara ambayo anayopata. Mm binafsi na mwaka wa 23 huu napiga punyeto na mashine haijawahi kulala kizembe
Kwanini usichungulie kwenye chungu kujua ipi ina maji na ipu kavu? Unaponda mambo ya rohoni halafu kumbe mshirikina!! Au hujui kama hayo unayoyapigia debe ndio ya rohoni?
IMG_20200914_174057.jpg
 
Back
Top Bottom