Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,468
- 911,184
- Thread starter
- #121
Kweli ndugu rutta, nchi za kigeni hawaleti misaadi wakiwazningatia fukara, pesa zote za misaada haifikii mikononi mwa mafukara, hulisha mafisadi tu na familia zao. maskini wasipofaidika tusikie nini. Tazama incisive writing kutoka kwa mwandishi moja
http://www.nation.co.ke/oped/Opinion...s/-/index.html
Kabaridi ukoloni mambo leo bado tatizo la siye tuliotawaliwa na mabosi wetu........ni vigumu wao kuamini tunaweza..............kabaridi