'Nguvu ya umma' kumstaafisha siasa za Kenya Raila Amollo Odinga...


Kabaridi ukoloni mambo leo bado tatizo la siye tuliotawaliwa na mabosi wetu........ni vigumu wao kuamini tunaweza..............kabaridi
 

CHIGANGA ningelisema Raila tosha usingelisema ninachuki.................labda nianze na masahihisho...siyo kweli Kenya haijawahi kuwa na Waziri Mkuu. PM wao wa kwanza alikuwa ni Jomo kenyatta.

wewe kusema Raila tosha ni maoni na sioni kama unachuki dhidi ya wagombea wengineo.................sasa sijui mimi ambaye ninaona Raila hatoshi niwe ninachuki? Yote ni maoni tu ya kutabiria kijacho sasa sijui chuki dhidi ya mtu nisiyemfahamu binafsi zitokee wapi............................mimi nimempima kwa vipimo vyangu na wewe utuelimishe.......

nikipatia ni sawa nikikosea nayo ni sawa tu kwani haya ni maoni ya maono yajayo................sisi siyo watabiri.......

na wewe ukipatia ni sawa na ukikosea ni sawa pia huna uhaja wa kukimbia kwa lolote lile.......................nami sina uhaja wa kufanza hivyo.......kuhusu umri wa mzambia na Kenya zipo tofauti......rudia kusoma mada hii na ninachoona ni kuwa uchaguzi wa kenya ni wa generational change..............Kibaki/Moi?Kenyatta walikuwa viongozi wazee na wapigakura wanataka kijana...............................again hayo ni maoni yangu binafsi yawezekana ni kweli au la..............lakini kama sioni kama wewe basi ninachuki sasa itabidi sote tuwe hivyo maana sote tunaoni tu...............alamsiki
 

Kabaridi tusamehe hapa TZ utamaduni wa maoni bado ni mpya kabisa kwahiyo tutajikanyaga hivyo hivyo hadi tujue kutembea........................ukitoa maoni tofauti na mwingine aonavyo wewe unachuki................badala ya yeye kumtetea mtu wake anabakia kukushambulia uliyeoni...................na kusahau maoni yenyewe ndiyo yaliyotukutanisha..............na kwa kufanza hivyo hata mtu wao wanashindwa kumtendea haki.............
 
I know the history of Kenya since independence,ni kweli ukabila upo! Lakini Raila anapewa nafasi sana

sungusungu jiongoze vizuri kwenye mada suala siyo kama hapewi nafasi au la.................ila anasuasua katika azma yake hii kwa sababu nilizozianisha..............kama angelikuwa mwanasiasa khodari ile political map ya 2007 angelibakia nayo leo hii angelikuwa hana mpinzani.

lakini raila has a tendency to cannibalize himself right before the election.....................he has burnt too many bridges now the chicken have come home to roost............
 
Last edited by a moderator:
I know the history of Kenya since uhuru,ukabila upo! Raila bado anaweza kuingoza kenya.

maybe sungusungu kauli yako ya awali itakukumbusha kuwa umesahahu ulikotoka ni wapi, uko wapi na waelekea wapi..........

Ni kwel huyo Bwana simwelewi kikubwa amesite mambo ya ukabila sana.Hajui wakenya kwenye mambo ya msingi ukabila ni pembeni.Raila ndo chaguo la Wakenya wengi.
 
Last edited by a moderator:
Don't make the wazungu ur role models!

sungusungu frankly speaking whatever we do is a mere photocopy of mzungu..................so automatically they are our role models..................hata hi demokrasia si tumeiga tu kwao? letu liko wapi?
 
Last edited by a moderator:

Rutta Hivi ndivyo hata pale mitaani kama kibera slums na mathare watu huchinjana wakati wa uchaguzi kwa kokosa kuvumiliana. kukandamiza huru wa maoni naona ndugu zetu kutoka wengine wanajifunza haraka.
 
Rutta Hivi ndivyo hata pale mitaani kama kibera slums na mathare watu huchinjana wakati wa uchaguzi kwa kokosa kuvumiliana. kukandamiza huru wa maoni naona ndugu zetu kutoka wengine wanajifunza haraka.

Kabaridi Amollo ujumbe wake umejaa migongano....juzi kule Nyeri alikuwa akiomba msamaha kwa makosa ambayo hakuyataja.............leo akiwa Kakagema ndani ya bustani ya......................amedai aliowaomba msamaha jana yake ndiyo chanzo cha uongozi mbovu Kenya........................anadai Kenya umasikini wake ni kwa sababu ya uongozi mbovu na yeye yumo serikalini.....................wengine wote ndani ya serikali ni wabovu isipokuwa yeye na wapambe wake...............khalafu anadai katiba ya Kenya inamtegemea yeye kuitekeleza na hata kudai sheria zilizopitishwa ni CORD itazitekeleza....................akisahau kuwa tayari sheria Kibaki kesha kuzipitisha.................na yeyote atakayeshinda atazisimamia kwani kaapa kuheshimu katiba iliyopo.......

jingine analilaumu bunge ambalo yeye ni PM kwa kupitisha mafao makubwa ya viongozi -eyeye ni mnufaikaji mkubwa na mafao tajwa!-na sijui kwanini jana hakuweko kuyasemea hayo Bungeni..............where it matters most..............................this guy is fake..................na wapigakura are not as stupid as he is.................
 
Mtoa uzi ni mshabiki na hajui siasa za kenya. Ni sidhani kama amewahi kuwa kenya for the last one year akaona mambo yakoje. Jamani tujifunze kutoa uzi wa yale tuliyo na mwanga nayo sio kila jambo unalitolea uzi.
 
"6) Kumtegemea Obama na ICC kumpa Uraisi!

Huu ni sehemu ya upumbavu mkubwa kichwani mwa Odinga"
Kwa maneno haya mtoa uzi ni msomi au mwanafunzi ya Marehemu Shekh Yahya? Unajuaje upumbafu uliomo kwenye kichwa cha mtu bila ya yeye kusema au kutenda hivyo? Huu uzi umeniudhi
 

Ni kweli ndugu rutta, cha kushangaza ni kuwa vituko vya siasa ndio huongoza siasa na wanasiasa sio uadilifu wa kutumikia mwanachi wa kawaida.

Katiba mpya mpaka sasa kibaki kuidhinisha na kuweka saini haibadilishi chochote kwenye maisha ya mkenya wa kawaida maana serikali ikiwemo pia ndani ile ya 'mseto'/mkate nusu wanaitekeleza kinafiki.

Hawa wabunge walivotia juhudi kupinga local tribunal wangetumia jitihada hiyo kutekeleza katiba. Katiba ni stakabathi ya kumbukumbu ya viongozi kujitafutia sifa za ukombozi wa pili wa taifa la kenya. Kusema kuwa jubilee ina wale waliopinga katiba is quite vague. Maana hata Yule bibie Bishop Margaret wanjiru aliipinga katiba na sasa yuko kwa CORD. laini hiyo haina maana kabisa. Ni siasa ambazo hazina mshiko na za kupitisha muda!

Hizi kelele zinapoendelea za katiba, wakimbizi wamo bado makambini wengine wakiongezwa kutokana kwa kufurushwa kutoka msitu wa mau. Ikiwa serikali ya mkate nusu imeshindwa kuwajibika hawa wote ni wa kupewa pension kutoka kwa rais VP na pm kujikimu katika kustaafu kwao. We need fresh leadership.

Raila aomba wananchi msamaha kule mkoa wa kati kwa uongozi duni na pia kwa kutapeli wakenya knowing they are going back to retire to their respective constituencies.
 

Kabaridi naona Tinga anakimbilia vyombo vya kura za maoni ili kuwakatisha tamaa Jubilee asichojua itakula kwake maana hiyo sasa itawahamasiha vijana kujitokeza kwa wingi kuhakikisha wanampatia tiketi ya moja kwa moja aelekee kustaafu moja kwa zote......................poor Tinga..........
 

Mpitagwa nani aliyesonga ugali wa ICC? Jibu ni tinga na hiyo pasi alimpasia nani...Obama...................the Luo connection.......usifikiri hatuwaoni. mada hatuzianzishi ili kukufurahisha wewe toa khoja za kubeza siyo kutuelezea hisia zako. Nobody cares how you feel.................
 
Mtoa uzi ni mshabiki na hajui siasa za kenya. Ni sidhani kama amewahi kuwa kenya for the last one year akaona mambo yakoje. Jamani tujifunze kutoa uzi wa yale tuliyo na mwanga nayo sio kila jambo unalitolea uzi.

Mpitagwa hizo "sidhani" zako hazitakusaidia................onyesha jinsi ambavyo unadhani siasa za kenya sizijui na wewe onyesha ujuaji wako badala ya kujikita kwenye mahitimisho ambayo hayatoi mwnaga wowote ule.......................lengo ni kuamsha mijadala siyo kuhisia-hisia wenzio wakati hata hunijui lini nilikuwa nairobi. muulize Kabaridi ambaye yuko nairobi anaafiki hizi khoja zangu soma taratibu.........
 
Last edited by a moderator:

Mkuu ajabu ni kwamba this is akin to rigging. Na such are the small small recipes ambazo zinakua applied ndio mazingara ya taharuki na vita iweze tekelezwa na wale watakaoshindwa uchaguzi. Kama wakenya we have been monitoring matamshi ya wanasiasa.. kama kuna moja alisema mwezi wa machi ni wakati wa kivumbi na ingali tume ya National cohesion inapoteza muda kupata mishahara bila kutekeleza chochote..

Let AG the kenya advice kibaki to sign that bill ya remenuration of perks and hefty allowance ambayo wamebuni PS. waende nyumbani wakastaafu waachie vijana the current generation take leadership.
 


Leo Uhuru park uhuru kawatolea nje Infotrack ile idadi ni more than two million........................Raila anatia huruma.....yaani hata ile pensheni Kibaki kaitupilia mbali haipo tena.........................
 
Leo Uhuru park uhuru kawatolea nje Infotrack ile idadi ni more than two million........................Raila anatia huruma.....yaani hata ile pensheni Kibaki kaitupilia mbali haipo tena.........................

naona this infotrack is a tribal outfit, inaonekana kwenye muundo wa wanakampuni na hata kwenye intensity ya kusisitiza Raila atapata 50+1. Amewapa Peter keneth 3% yawezekana walifanya utafuti kwa kabila lao Pekee.
 
naona this infotrack is a tribal outfit, inaonekana kwenye muundo wa wanakampuni na hata kwenye intensity ya kusisitiza Raila atapata 50+1. Amewapa Peter keneth 3% yawezekana walifanya utafuti kwa kabila lao Pekee.


Kabaridi Infotrack ni ndugu zak e Raiala analia hapa chini watendaji wakuu wa huu utapeli:-

 
amecopy kwenye blog moja ya wakikuyu ndio kaja ku paste huku,kama unabisha rutta sema.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…