Nguvu ya upendo haina ni ya ajabu , upendo unashinda vita hata mpinzani wako awe na silaha zenye nguvu kupita zote

Nguvu ya upendo haina ni ya ajabu , upendo unashinda vita hata mpinzani wako awe na silaha zenye nguvu kupita zote

Sky Eclat

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2012
Posts
57,761
Reaction score
216,011
Upendo ni asili ya mtu mweusi, hata wakoloni walipofika Afrika walishangaa kuona upendo mkubwa katika jamii yetu. Mjane wa kaka alitafutiwa mume katika ukoo ule wa mune wake ili watoto walelewe kwenye ukoo na wasipate shida. Mgonjwa aliyeshindwa kulima familia yake ilikula bila wasiwasi. Jamii ilimchangia chakula mpaka matokeo ya ugonjwa yafikie hatima yake.

Upendo ndiyo ulimfanya Mwalimu Nyerere kupigania kulikomboa bara la Afrika. Aliwalaza macho Makaburu pamoja na pesa na tekinolojia waliokuwa nayo. Heshima ya Nyerere katika Afrika haita kaa ipotee.

Baada ya uchaguzi 2015, idadi ya wabunge na madiwani wa upinzani ilikua kubwa. Mbinu kubwa ilitumika kuwanunua wanasiasa hawa. Kama tu angetokea mwenye hekima na kuwapatia madiwani milioni 50 za kubadilisha mazingira ya wazee, watoto yatima, walemavu na wajane katika mtaa wake na matokeo yaonekane. Hata kuwajengea nyumba Bora za gharama nafuu,

Hii ingekua silaha bora ya kuushinda upinzani kuliko kulipa madeni ya wanasiasa na kuwapa pesa kwaajili ya matumbo yao.
 
Upendo ni asili ya mtu mweusi, hata wakoloni walipofika Afrika walishangaa kuona upendo mkubwa katika jamii yetu. Mjane wa kaka alitafutiwa mume katika ukoo ule wa mune wake ili watoto walelewe kwenye ukoo na wasipate shida. Mgonjwa aliyeshindwa kulima familia yake ilikula bila wasiwasi. Jamii ilimchangia chakula mpaka matokeo ya ugonjwa yafikie hatima yake.

Upendo ndiyo ulimfanya Mwalimu Nyerere kupigania kulikomboa bara la Afrika. Aliwalaza macho Makaburu pamoja na pesa na tekinolojia waliokuwa nayo. Heshima ya Nyerere katika Afrika haita kaa ipotee.

Baada ya uchaguzi 2015, idadi ya wabunge na madiwani wa upinzani ilikua kubwa. Mbinu kubwa ilitumika kuwanunua wanasiasa hawa. Kama tu angetokea mwenye hekima na kuwapatia madiwani milioni 50 za kubadilisha mazingira ya wazee, watoto yatima, walemavu na wajane katika mtaa wake na matokeo yaonekane. Hata kuwajengea nyumba Bora za bei nafuu,

Hii ingekua silaha bora ya kuushinda upinzani kuliko kulipa madeni ya wanasiasa na kuwapa pesa kwaajili ya matumbo yao.
Nani aliyenunuliwa ambae wewe ulishudia akipewa pesa? Kama sio umbea na uongo wa kwenye kahawa.

Chadema mgekuwa na upendo mgekula na kugawana ruzuku huku mikoani na wilayani viongozi wana njaa? Matapeli wa kisiasa.
 
Nani aliyenunuliwa ambae wewe ulishudia akipewa pesa? Kama sio umbea na uongo wa kwenye kahawa.

Chadema mgekuwa na upendo mgekula na kugawana ruzuku huku mikoani na wilayani viongozi wana njaa? Matapeli wa kisiasa.
Relax
 
1 Wakorintho 13:3
Tena nikitoa mali zangu zote kuwalisha maskini, tena nikijitoa mwili wangu niungue moto, kama sina upendo, hainifaidii kitu.

Nami na-edit kidogo na kusema.
Nijapotumia akili yangu yote kujenga mabarabara, madaraja, mabwawa ya umeme, ma-flyover, mabombadier na mengine mengi, kama nisipowapenda watu kisa hawakunichagua, au walichagua wabunge wa upinzani na nikawanyima maendeleo kwa utoto wa namna hiyo japo Mimi Ni mzee, hainisaidii kitu.
 
Nani aliyenunuliwa ambae wewe ulishudia akipewa pesa? Kama sio umbea na uongo wa kwenye kahawa.

Chadema mgekuwa na upendo mgekula na kugawana ruzuku huku mikoani na wilayani viongozi wana njaa? Matapeli wa kisiasa.
Matapeli wanaweza jaza nyomi mikoa yote kwenye mikutano yao Bila wasanii wala mafuso ya kuwasomba?Acha basi kuwadhalilisha watanzania-wapiga kura walioamua kuifuata Chadema kwa moyo mmoja.Acha chuki na husuda zako zisizo na mashiko .
LET LOVE LEAD!
 
Matapeli wanaweza jaza nyomi mikoa yote kwenye mikutano yao Bila wasanii wala mafuso ya kuwasomba?Acha basi kuwadhalilisha watanzania-wapiga kura walioamua kuifuata Chadema kwa moyo mmoja!
Hata kwenye msafara wa mamba na kenge wanakuwemo. Umesahau ulivyokuwa unadeki barabara 2015.
 
Ukifuatilia hoja za wafia CCM humu Sasa wamechoka,wamelegea ndembendembe,wanafoka!
Nichangie yao si ya akili Tena Bali inaongozwa na Moyo!
Mfuatilie Jane Lowasa na Chagu wa Malunde hapa
 
Upendo ni asili ya mtu mweusi, hata wakoloni walipofika Afrika walishangaa kuona upendo mkubwa katika jamii yetu. Mjane wa kaka alitafutiwa mume katika ukoo ule wa mune wake ili watoto walelewe kwenye ukoo na wasipate shida. Mgonjwa aliyeshindwa kulima familia yake ilikula bila wasiwasi. Jamii ilimchangia chakula mpaka matokeo ya ugonjwa yafikie hatima yake.

Upendo ndiyo ulimfanya Mwalimu Nyerere kupigania kulikomboa bara la Afrika. Aliwalaza macho Makaburu pamoja na pesa na tekinolojia waliokuwa nayo. Heshima ya Nyerere katika Afrika haita kaa ipotee.

Baada ya uchaguzi 2015, idadi ya wabunge na madiwani wa upinzani ilikua kubwa. Mbinu kubwa ilitumika kuwanunua wanasiasa hawa. Kama tu angetokea mwenye hekima na kuwapatia madiwani milioni 50 za kubadilisha mazingira ya wazee, watoto yatima, walemavu na wajane katika mtaa wake na matokeo yaonekane. Hata kuwajengea nyumba Bora za bei nafuu,

Hii ingekua silaha bora ya kuushinda upinzani kuliko kulipa madeni ya wanasiasa na kuwapa pesa kwaajili ya matumbo yao.
Upendo haubagui,upendo haunyanyasi.
Upendo huleta haki na haki huleta amani.
Tumtoe huyu aliejaribu kutoa upendo wetu
 
Binadamu anapokosa upendo hana tofauti na funza kwenye mzoga. Tudumishe upendo Baina yetu kwani upendo ni kama akiba yako ndani ya bank
 
Nani aliyenunuliwa ambae wewe ulishudia akipewa pesa? Kama sio umbea na uongo wa kwenye kahawa.

Chadema mgekuwa na upendo mgekula na kugawana ruzuku huku mikoani na wilayani viongozi wana njaa? Matapeli wa kisiasa.
Naona ulitaka uone kwenye TBCCCM ndiyo ungeamini.

Wenye akili wanaelewa hizo mambo.
 
Upendo ni asili ya mtu mweusi, hata wakoloni walipofika Afrika walishangaa kuona upendo mkubwa katika jamii yetu. Mjane wa kaka alitafutiwa mume katika ukoo ule wa mune wake ili watoto walelewe kwenye ukoo na wasipate shida. Mgonjwa aliyeshindwa kulima familia yake ilikula bila wasiwasi. Jamii ilimchangia chakula mpaka matokeo ya ugonjwa yafikie hatima yake.

Upendo ndiyo ulimfanya Mwalimu Nyerere kupigania kulikomboa bara la Afrika. Aliwalaza macho Makaburu pamoja na pesa na tekinolojia waliokuwa nayo. Heshima ya Nyerere katika Afrika haita kaa ipotee.

Baada ya uchaguzi 2015, idadi ya wabunge na madiwani wa upinzani ilikua kubwa. Mbinu kubwa ilitumika kuwanunua wanasiasa hawa. Kama tu angetokea mwenye hekima na kuwapatia madiwani milioni 50 za kubadilisha mazingira ya wazee, watoto yatima, walemavu na wajane katika mtaa wake na matokeo yaonekane. Hata kuwajengea nyumba Bora za bei nafuu,

Hii ingekua silaha bora ya kuushinda upinzani kuliko kulipa madeni ya wanasiasa na kuwapa pesa kwaajili ya matumbo yao.
Ccm na rushwa ni sawa na shetani na mzinifu
 
Magufuli alichagua njia ya chuki, ametukera na kutukwaza watanzania, sasa tunamtumbua kama alivyokuwa anawatumbua wenzake kwa mbwembwe.
 
Back
Top Bottom