Nguvu ya upendo haina ni ya ajabu , upendo unashinda vita hata mpinzani wako awe na silaha zenye nguvu kupita zote

Nguvu ya upendo haina ni ya ajabu , upendo unashinda vita hata mpinzani wako awe na silaha zenye nguvu kupita zote

Matapeli wanaweza jaza nyomi mikoa yote kwenye mikutano yao Bila wasanii wala mafuso ya kuwasomba?Acha basi kuwadhalilisha watanzania-wapiga kura walioamua kuifuata Chadema kwa moyo mmoja.Acha chuki na husuda zako zisizo na mashiko .
LET LOVE LEAD!
Graph Theory una akili sana, mithili ya ile ya Tundu Lissu. Nimeipenda sana nukuu yako ambayo umei-edit. Hurrah! Long live Tundu Lissu
 
Upendo ni asili ya mtu mweusi, hata wakoloni walipofika Afrika walishangaa kuona upendo mkubwa katika jamii yetu. Mjane wa kaka alitafutiwa mume katika ukoo ule wa mune wake ili watoto walelewe kwenye ukoo na wasipate shida. Mgonjwa aliyeshindwa kulima familia yake ilikula bila wasiwasi. Jamii ilimchangia chakula mpaka matokeo ya ugonjwa yafikie hatima yake.

Upendo ndiyo ulimfanya Mwalimu Nyerere kupigania kulikomboa bara la Afrika. Aliwalaza macho Makaburu pamoja na pesa na tekinolojia waliokuwa nayo. Heshima ya Nyerere katika Afrika haita kaa ipotee.

Baada ya uchaguzi 2015, idadi ya wabunge na madiwani wa upinzani ilikua kubwa. Mbinu kubwa ilitumika kuwanunua wanasiasa hawa. Kama tu angetokea mwenye hekima na kuwapatia madiwani milioni 50 za kubadilisha mazingira ya wazee, watoto yatima, walemavu na wajane katika mtaa wake na matokeo yaonekane. Hata kuwajengea nyumba Bora za bei nafuu,

Hii ingekua silaha bora ya kuushinda upinzani kuliko kulipa madeni ya wanasiasa na kuwapa pesa kwaajili ya matumbo yao.
Ebwanaaeee......Lissu analipwa fadhila na wananvhi kwa upendo wake. Alipigwa risasi akitetea haki za wananchi. Mwanzoni hatukuelewa kabisa. Sasa ni 🔥🔥🔥🔥
 
Upendo ni asili ya mtu mweusi, hata wakoloni walipofika Afrika walishangaa kuona upendo mkubwa katika jamii yetu. Mjane wa kaka alitafutiwa mume katika ukoo ule wa mune wake ili watoto walelewe kwenye ukoo na wasipate shida. Mgonjwa aliyeshindwa kulima familia yake ilikula bila wasiwasi. Jamii ilimchangia chakula mpaka matokeo ya ugonjwa yafikie hatima yake.

Upendo ndiyo ulimfanya Mwalimu Nyerere kupigania kulikomboa bara la Afrika. Aliwalaza macho Makaburu pamoja na pesa na tekinolojia waliokuwa nayo. Heshima ya Nyerere katika Afrika haita kaa ipotee.

Baada ya uchaguzi 2015, idadi ya wabunge na madiwani wa upinzani ilikua kubwa. Mbinu kubwa ilitumika kuwanunua wanasiasa hawa. Kama tu angetokea mwenye hekima na kuwapatia madiwani milioni 50 za kubadilisha mazingira ya wazee, watoto yatima, walemavu na wajane katika mtaa wake na matokeo yaonekane. Hata kuwajengea nyumba Bora za bei nafuu,

Hii ingekua silaha bora ya kuushinda upinzani kuliko kulipa madeni ya wanasiasa na kuwapa pesa kwaajili ya matumbo yao.
Walipokea ushauri mbovu kuwahi kutokea.CCM kwa fedha ilizopoteza ndani ya miaka hii mitano kwa kuwanunua na kuhujumu wapinzani,wangezipeleka kununua dawa na kuzisambaza nchi nzima kampeni yao ingekuwa nyepesi mno.Maamuzi mabovu yanawagharimu.Wangemtibia nazo Lissu wangekuwa wamezima mashambulizi wanayoyapata.
Aibu yao ni iwe juu yao.
 
Walipokea ushauri mbovu kuwahi kutokea.CCM kwa fedha ilizopoteza ndani ya miaka hii mitano kwa kuwanunua na kuhujumu wapinzani,wangezipeleka kununua dawa na kuzisambaza nchi nzima kampeni yao ingekuwa nyepesi mno.Maamuzi mabovu yanawagharimu.Wangemtibia nazo Lissu wangekuwa wamezima mashambulizi wanayoyapata.
Aibu yao ni iwe juu yao.
Baada ya Magufuli kuwa Rais alisema MSD ndiyo atakuwa msambazaji wa madawa. Pasi kufanya tathmini ya uwezo wa MSD katika kutekeleza jukumu hilo. MSD nao wanasema madawa yalisambazwa lakini hawakupokea malipo kutoka serikalini. Ajabu ikaja katikati ya mabadiliko haya Daudi Bashite akawa mmilki wa duka kuu la jumla la madawa Dar.
 
Baada ya Magufuli kuwa Rais alisema MSD ndiyo atakuwa msambazaji wa madawa. Pasi kufanya tathmini ya uwezo wa MSD katika kutekeleza jukumu hilo. MSD nao wanasema madawa yalisambazwa lakini hawakupokea malipo kutoka serikalini. Ajabu ikaja katikati ya mabadiliko haya Daudi Bashite akawa mmilki wa duka kuu la jumla la madawa Dar.
msd imekuwa msambazaji wa dawa na vifaa tiba vinavyotolewa na wanaoitwa Mabeberu kama ALU,F/P supplies,ARV's,Anti TB/Leprosy,Vaccines nk.Dawa za matibabu ni madeni,zimekopwa na serikali na mzunguko na uwezo wa kununua umekuwa mdogo,wameweka washitiri kila mkoa lakini hawana uhuru wa kusambaza hadi msd ikose/ishindwe kitu ambacho hawapo tayari kukiri maana hawaruhusiwi kukiri hilo.
Usanii unahitaji mtaji pia,CCM imelegea kil idara.Magu anaenda likizo ya pili ndani ya mwezi moja wa kampeni,hali ni tete huko field.
 
Baada ya Magufuli kuwa Rais alisema MSD ndiyo atakuwa msambazaji wa madawa. Pasi kufanya tathmini ya uwezo wa MSD katika kutekeleza jukumu hilo. MSD nao wanasema madawa yalisambazwa lakini hawakupokea malipo kutoka serikalini. Ajabu ikaja katikati ya mabadiliko haya Daudi Bashite akawa mmilki wa duka kuu la jumla la madawa Dar.
He Tena!
 
Back
Top Bottom