Bakhresa, GSM, Mo Dewji na wafanyabiashara wachache hapa Tanzania wamechana msamba, ni ndoto za abunuwasi kudhani unaweza fika hapo kwa kuacha kitu cha uhakika unachoweza fanya bila backup plan, connections, resources, n.k. utashangaa mtu anaacha kazi na hajawahi kufanya biashara eti hakuna tajiri alieajiriwa, iga ufe
Diamond ni msanii aliefanikiwa lakini ni kundi la asimilia 0.01 ya wasanii wa Tanzania walioweza kufikia hapo, ukifanya maamuzi ya kuacha kitu cha uhakika au chenye nafuu ya uhakika uwe msanii una nafasi ndogo sana kufika stage za kina Mario achilia mbali kabisa kina Diamond, fikiri nje ya box fanya cha uhakika kilichokomboa wengi iwe ni kilimo, biashara, ajira, n.k. kama ni muziki weka plan b.
na kuna vitu vingi sana ambavyo wachache wamefikia levels hizo, nguvu ya wachache isije kukuharibia maisha
Diamond ni msanii aliefanikiwa lakini ni kundi la asimilia 0.01 ya wasanii wa Tanzania walioweza kufikia hapo, ukifanya maamuzi ya kuacha kitu cha uhakika au chenye nafuu ya uhakika uwe msanii una nafasi ndogo sana kufika stage za kina Mario achilia mbali kabisa kina Diamond, fikiri nje ya box fanya cha uhakika kilichokomboa wengi iwe ni kilimo, biashara, ajira, n.k. kama ni muziki weka plan b.
na kuna vitu vingi sana ambavyo wachache wamefikia levels hizo, nguvu ya wachache isije kukuharibia maisha