Hardlife
JF-Expert Member
- Apr 11, 2021
- 2,758
- 6,299
Ngwea alikuwa na Talents 2. Nyingine ni BASKETBALL [emoji459].Ngwea alikua na TALENTS isiyo kua ya kawaida by P. FUNK MAJANI
wewe hujui hata music [emoji444][emoji444][emoji445][emoji445] huwezi hata tengeneza midundo hata hit song lyrics Moja una ji brother sugar cane kua ni Music tycoons......
Man gwea alikua na kipaji kikubwa sana na aliweza kuli change game la music [emoji444][emoji445][emoji445] Kwa kadri ya alivyo taka......
The BEST student wa BASKETBALL mashindano ya UMISETA MWANZA 2000 akiwa Form IV